Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Ndio tulivyoumbwa na sio kuwa tunashindana na hiyo sehemu.
Ndio maana nimesema mwalimu wa mwanaume ni sehemu zake za siri tu na sio mwanamke mwenye hiyo kitu.
Si ndo mnavyojidanya wakati ukweli mchungu mnaujua na hamtaki kuukubali basi endeleeni hivyo hivyo
 
Ila wanaume mnapenda kushindana na mlikotoka jamani na bado hamjawahi kupashinda siku mkipashinda mtushitue wanawake basi
Hatushindani Napo but ni kitamu so that's why we always want to hit it.
 
I have never cheated and I won't cheat when I get my happiness, my sweetness since I don't want to break her heart. What I will do is to make her looks gorgeous day after day.
Ndugu yangu hata wewe nawe unaongea? Siyo wewe uliyesema all men are polygamous naturally?
 
Ingia kwenye ndoa ndio utoe ushauri mambo ni mengi.
 
Sio kushindana,tunataka kurudi nyumbani.SWEET HOME.
Sasa basi kama ambavyo umetokea kwenye nanii ya mtu mmoja ndivyo ambavyo unatakiwa uingie kwenye nanii ya mtu mmoja pia
 
Adabu iwepo wachepuke tu mpaka mwisho,mpaka wakaukiwe damu
Hasara kwa nani unadhani? Si kwao
Ukiletewa maradhi?

Hasara sio kwao tu, hili jambo ni mtambuka. Ukilifikiria kwa haraka ndio utaona hasara ni kwao tu.
 
Ndiyo mtu anayechepuka naye ni wa kumheshimu sasa?
hivi unajua kuna wanaume wanachepuka ili kulinda ndoa zao kwa kuwapunguzia wake zao kazi imagine mwanaume ambaye kila cku anataka kuduu wakati mke wake hana hamu kabisa kwahyo hata mara 1 kwa mwezi mke anaona ni kero!
 
You missed the point.

Cheating & Polygamy ni vitu viwili tofauti..... Edelyn.
I know that polygamy is an act of a man marrying more than one wife but you know women do not like either of that yaani hatupendi kuongezewa wake wala kusalitiwa so usije sema kuchepuka hakufai ila kuoa wake wengi ndo kunafaa hell no
 
Kwahiyo unataka mama ahangaike na watoto na bado ahangaike na wewe tena kwani wewe hao watoto hauna muda nao?
ha ha ha ha ha nimecheka sana,mumeo atapata tabu kweli kweli.
 
Nampa condom atembee nazo
Nakua sponsor wa zoezi
Ukiletewa maradhi?

Hasara sio kwao tu, hili jambo ni mtambuka. Ukilifikiria kwa haraka ndio utaona hasara ni kwao tu.
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba mkeo akiwa anakupa wakati wowote unaotaka hautachepuka?
Ni kweli itapunguza kwa asilimia kubwa,me ambaye ni mkamilifu kwa siku anaweza akaitaji zaidi ya mara moja lakini kwa ke hawezi
 
hivi unajua kuna wanaume wanachepuka ili kulinda ndoa zao kwa kuwapunguzia wake zao kazi imagine mwanaume ambaye kila cku anataka kuduu wakati mke wake hana hamu kabisa kwahyo hata mara 1 kwa mwezi mke anaona ni kero!
Tatizo wanaume wa siku hizi mnaoa kwa tamaa hamuoi kwa mapenzi tena hivi wewe binadamu gani unataka ufanye kila siku eti kisa umeoa? Kwani ndoa ni kufanya tu? Aisee kwenye swala la ngono kweli shetani amefankiwa kuiteka dunia

Ila kwa huyo mwanamke ambaye hata mara moja kwa mwezi anaona kero mwanaume wake anatakiwa kukaa chini kujaribu kuongea naye ila siyo wale wanaume hata siku nne tu ambazo mkewe yuko kwenye hedhi eti yeye hawezi kuvumilia khaa
 
ha ha ha ha ha nimecheka sana,mumeo atapata tabu kweli kweli.
Kwanini apate taabu? Seriously yaani wanaume mnataka kujifananisha na watoto jamani hebu kuweni na huruma mama ahangaike na watoto let's say wawili au zaidi bado tena ahangaike na wewe mtu mzima unayeweza kujifanyia kila kitu mwenyewe? Kuna vitu lazima wanaume mkubaliane navyo tu kwenye ndoa na kuacha vipite siyo lazima kila pungufu la mkeo ulitafutie sababu ya kuchepuka

Labda kama sijaajiriwa wala sina biashara yoyote nakaa tu ndani kufanya kazi za ndani na kulea watoto na mume ndo anayenitimizia mahitaji yangu yote kiuchumi na ya nyumbani hapo sawa ila kama pesa tunatafuta wote familia tunahudumia wote halafu bado nikirudi nyumbani kazi za ndani na watoto vinaniangalia mimi basi hapo mwanaume utajibeba tu kwa kweli you guys need to find your humanity
 
I know that polygamy is an act of a man marrying more than one wife but you know women do not like either of that yaani hatupendi kuongezewa wake wala kusalitiwa so usije sema kuchepuka hakufai ila kuoa wake wengi ndo kunafaa hell no
Hahahahahah.

If don't want, just play fairly.

If you wanna go for equity make sure that your hands are so clean.

Just play your roles as a wife, respect your man, be a whore to your man in bed uone kama he will cheat.

Tatizo lenu maisha ya ndoa huwa mnayachukulia poa mkishazoeana. Mfano kabla ya ndoa ulikuwa unaepiga Vita manyama uzembe but baada ya kujifungua mtumbo huo ukiambiwa piga mazoezi hutaki.

Haya mbali na hilo before hamjaoana ulikuwa unajituma sana katika mapenzi style nyingi kama nini but baada ya ndoa. Akitaka chuma mboga unamwambia nimechoka na hautaki style za ajabuajabu. Kama una hamu ingiza ukojoe uniache nilale.

Though cheating is a choice.
 
Ni kweli itapunguza kwa asilimia kubwa,me ambaye ni mkamilifu kwa siku anaweza akaitaji zaidi ya mara moja lakini kwa ke hawezi
Hapana huo siyo ukamilifu bali ni udhaifu unajua wanaume hamuelewi hiki kitu kimoja nyie udhaifu wenu ni ngono kwahiyo yule mwanaume mwenye uwezo wa kuizuia tamaa ya ngono huyo ndiyo mkamilifu maana ameweza kukishinda kile kitu ambacho ni udhaifu wenu ila yule ambaye akijihisi hamu tu basi anataka na ni lazima afanye huyo ni dhaifu

Maana amekiembrace kitu ambacho ni udhaifu kwenu na ameprove kwamba kweli ngono ni udhaifu wenu sasa nyie mnajidanganya eti mwanaume mkamilifu ndo anayefanya kila saa na asiyefanya kila saa ndo mkamilifu hapana tunajua kila mwanaume anataka na kumbuka hata majaribu anayeyashinda ndo anaonekana mkamilifu na anayeyashindwa anaonekana ni mdhaifu so men you need to change that mindset
 
Una lako jambo wanawake bil 5.6 wanaume bil 2.2 wengine nani atawapiga mswaki mwanaume wa kuenziwa. Hakuna ati mjinga Mungu ndy kafanya iwe hivyo furahi tu wewe hupendi wenzako wapate huduma?
 
Back
Top Bottom