Ujue Mti chonganishi

Alafu hiii miti imezuka tuuu miaka ya 95 hapa huko nyuma haikuwepo, sijui mwisho wa dunia unakaribia
Kata mara moja kuna familia moja huko moshi walikuwa wameipanda sana vifo vikafululiza wameikata. Ni familia ya wasomi tena wanaojitambua.
 
Kata mara moja kuna familia moja huko moshi walikuwa wameipanda sana vifo vikafululiza wameikata. Ni familia ya wasomi tena wanaojitambua.
Nilishakata zamani, maana nilipanda mbele ya nyumba ikawa inapasua ukuta.
 
Vipi kuhusu huu?
 

Attachments

  • IMG_20200811_181534.jpg
    IMG_20200811_181534.jpg
    220 KB · Views: 29
  • IMG_20200811_181551.jpg
    IMG_20200811_181551.jpg
    183.3 KB · Views: 27
Habar za huu mti ninazo.Yani hata kwa Jirani kama utakuwepo nitaukata na kuuchimbua shwaini huu
 
Inasemekana mti huu kabra haujaupanda inatakiwa uuchinjie kuku na damu ya kuku uiimimime kwenye shimo ambalo unataka uupande,Sijui kunaukweli gani ktk hilo
 
Mkuu mshana kwanza hongera kwa makala zako mbali mbali zinazotupatia elimu,maarifa na kufanya tufukiche akili zetu..Swali langu ni kutaka kujua kama 'mti wa mharadali' nao ni kati ya miti chonganishi??
huu nipe muda ili niweze kuja na majibu sahihi tafadhali
 
Huu uzi wakati naufungua nikajua huu mti utakuwa ni ule tunaoita "mtathara" Ambao zamani kipindi tunakuwa tulijiaminisha kuwa ukiuchoma kama kuni hapo ndani nilazimakiwake, basi nilitamani sana nikauchome staffs yetu ile ya primary ili walimu wadundane...sema siku pata muda...

Ila huu ulioletwa na wazungu nikiboko
 
Huu uzi wakati naufungua nikajua huu mti utakuwa ni ule tunaoita "mtathara" Ambao zamani kipindi tunakuwa tulijiaminisha kuwa ukiuchoma kama kuni hapo ndani nilazimakiwake, basi nilitamani sana nikauchome staffs yetu ile ya primary ili walimu wadundane...sema siku pata muda...

Ila huu ulioletwa na wazungu nikiboko
Duu
 
Mzee naweza kukubaliana na wewe cos kwenye mtaa nilio kulia kuna nyumba ilijengwa na rubani miaka ya tisini mwanzoni ilipandwa hii miti ilivyo komaa tu yule rubani akafa akaacha familia yaani watoto wa nyumba moja wakaanza hadi kushikiana visu kwa sababu za kijinga tu hadi ndugu wakaingilia kati na kuwatenganisha familia nzima hadi mama yao na kuacha nyumba tupu ndio hali ikawa shwari lkn hadi leo hii mpangaji yoyote atakae panga pale lazima afulie kama ni kazi atafukuzwa tu hadi sasa limebaki jengo zuri lkn ni gofu watu wanaliogopa wanao kuja kupanga ni wageni kutoka mbali. Kwa factor hii unsnishawishi na saizi hii miti ni mikubwa haswa.


Kisa cha pili hapo hapo mtaani kuna mkenya alikuja kuwekeza tz na akapata uwanja hapo hapo mtaani na kujenga jumba lake na watoto wote ndani kuwaona ilikua ni wanavyo rudishwa na magari kutoka shule. Nae alipanda hii miti huwezi amini amechoka saizi watoto wanaranda randa tu mitaani hadi wale ambao sio wa kishua nao wanawashangaa maana wamezidi kuzurula. Yaani hadi sio poa

Wakuu hii habari inaweza ikawa kweli bora nyumba ukaizungusha mipera watoto wale hadi wawabebee wenzao shule kuliko hii miti ya kizungu
 

Similar Discussions

24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom