makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,190
- 81,125
Ni wengi saana, huwa napita katika akaunti yake naona vile anavvyojidai mjuaji.Watu km huyo zakazakazi wapo wengi sana, yaani km namuona vile na uchawi wake...
Halafu ukija kwenye utendaji au namna alivyoingia hapo azam sio kwa uwezo wake unaezakuta kapigiwa pande na mtu au shemeji yake, in short sio uwezo wake ndio umemuweka hapo...
Roho mbaya tu na ujuaji mwingi, takataka kabisa!
Watu hao ni wengi saana katika jamii zetu, ila inabidi tuwazoee tu kwa afya ya miili yetu 😂