Ujuaji wamkosesha dili la mamilioni mwalimu wa muziki/ nyimbo jijini Dar es Salaam

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,937
26,647
Ni hivi kuna mtoto wa tajiri mmoja aishie Oman mwenye asili ya Zanzibar anafanya project ya uandishi wa nyimbo za kiswahili ili kuona kama nyimbo zinazo tokana na utunzi wake zinaweza ku trend.

Kinacho fanywa na familia hii ya kitajiri ni kama kilicho fanywa na Mzee Bakhressa alipo ianzisha Azam Fc kwa ajili ya kuwafurahisha watoto wake na kuwazuia kujihusisha na mchezo hatari wa mbio za magari baada ya kuchukua uhai wa mmoja Kati ya watoto wa mzee Bakhressa.

So hawa jamaa wa Oman ni familia ya kitajiri, binti kamwambia baba ake anapenda kuandika nyimbo za kiswahili so anataka kufanya project ya kuandika nyimbo za kiswahili, zitumwe Znz/Dar watafutwe waimbaji wafundishwe hizo nyimbo then zirekodiwe kisha zi ingizwe kwenye rotation halafu itazamwe jinsi watu watakavyo zipokea.

Binti yupo so much obsessed na namna nyimbo zake zitakavyo pokelewa na jamii.

Kwamba kiwango cha namna jamii itakavyo zipokea nyimbo ndio itamsaidia kujiona yeye ni mwandishi bora wa nyimbo kwa kiwango gani.

Kazi imefika Znz then Dar, bahati nzuri Nina affiliation na watu walio pewa jukumu la kusimamia hiyo project.

Huku na huku huku na huku tukafika kwa mtu mmoja wa makamo ni mwalimu wa muziki/nyimbo wa muda mrefu na yupo kwenye shule/chuo kimoja cha muziki jijini Dsm .

Huyu mwalimu akapewa audio ya huo wimbo plus maandishi na maelekezo ya aina ya watu wa kuimba wimbo huo, asimamie mazoezi ya wimbo kwa Mwezi mmoja then baada ya Mwezi mmoja twende tukafanye rehearsal ya mwisho kisha kwenda studio kurekodi.

Akapewa na fungu lake.

Siku ya kwenda studio ilikuwa jana mzee tumeenda tumekuta huo wimbo kaubadilisha .

KWANZA kabadilisha melody halafu pili kaongeza Maneno kwenye wimbo.

Mtunzi husika ( dada wa oman)alikuwa very eager to hear about the song hata kabla hauja rekodiwa studio so hao waimbaji wakarekodiwa kisha wimbo akatumiwa dada mtunzi.

Aisee dada wa watu ali fume vibaya sana akisema mimi sija andika wimbo huo na huo sio wimbo wangu siutaki.

Bahati nzuri mimi ni Executive Producer/Executive Record Producer = ni mtu ambae ana organise formation of a song kwa kumobilise all the necessary resources required for a song kama vile mtu anae faa kuimba wimbo huo mtu anae faa kushirikishwa etc.

Jamaa yangu wa Znz alipo nipa wazo la hiyo project na nilivyo usikiliza wimbo niliupenda ( dada wa oman ni mtunzi mzuri sana) mimi niliona huo wimbo ungefaa sana kama ange simama Linah so nilimtafuta Linah nikampa dili la kuufanya huo wimbo na akaurekodi kwenye simu.

Ameuimba vizuri sana. So dada mtoto wa tajiri alipo susa nikamwambia jamaa tumtumie hiyo akapela aliyo rekodi Linah.

Mara tu alipo sikia hiyo akapela ya Linah akasema sisi ni wachawi kwamba tumejuaje kama alitaka wimbo wake uimbwe na sauti hiyo ( ya Linah) akisema kama vile tulikuwa kwenye mawazo yake.

So dada akatuma mzigo wa maana kwa ajili ya kurekodi huo wimbo kumlipa msanii, producer, executive producer na watu wote watakao husika na hiyo project...

Kama huyu Le profeseri wa muziki angefanya kazi aliyo pewa maana yake leo angeondoka na dola elfu nyingi tu kwa kazi hiyo ya kuwasimamia hao waimbaji na angepewa dili la kisimamia nyimbo zote ishirini za huyo dada mtunzi.

Tuli muuliza Le profeseri kwanini ume badilisha melody ya wimbo na kuongeza Maneno yako akasema " ooh niliona wimbo una mapungufu"

Mapungufu my foot. Kujitia ujuaji kumemkosesha mamilioni.

Ujumbe wangu kwenu ninyi waalimu wa muziki na hata baadhi ya maproducer. Mtu anapo kuja kwako akiwa ameandika wimbo wake kqzi yako inatakiwa kuurekodi kama ilivyo kuwa melody yake ile ile na Maneno yake yale yale na kama ni mwalimu wa muziki umepewa kazi ya kuwapa waimbaji mazoezi kazi yako ni kuwapa mazoezi kwa kufuata melody ile ile ya mtunzi.

Ukiweka melody yako au Maneno yako maana yake ni kwamba wewe ndio umeutunga huo wimbo na sio mtunzi...

Wimbo utatoka hivi soon and the song will going to be loved by a billions and billions of people, some of them are not yet born.
 
Ubunifu ndiyo kipimo cha utaalamu
Yani mtu katunga wimbo wake, melody yake halafu wewe unaenda kuubadilisha.

Ni ngumu sana kwa mzee wa miaka 54 kutunga wimbo utakao pendwa na watoto wa mwaka 2000.

Hako kadada Katunzi kamezaliwa mwaka 2003 so hata melody yake na Maneno yake yanawafaa watoto wa age hiyo. Huyu Le profeseri kaweka kabadilisha melody juu chini halafu kaweka Maneno ya kizee ambayo mtoto wa mwaka 2003 akiya sikiliza atahisi kama anafokewa vile.
 
Can't wait kuusikiliza
Nitauleta hapa hapa JF ukitoka. It is very very classic.

U know I am also a Club Deejay so najua nyimbo gani hupendwa na watu gani.

Nyimbo zote ninazo zipendaga mimi zinakuwaga zinapendwaga sana na watu .

So it will be a hit.

Ukitoka tuta uandikia makala pia plus historia ya wimbo Wikipedia na tuta publish hiyo akapela iliyo tumwa na dada wa oman plus akapela ya Linah na akapela ya Le profeseri
 
😂😂😂 professor wa majalalani
Na kazingua kweli aisee yani ni sawa wewe urekodi tangazo lako la biashara ambalo una amini ni bora kabisa ulipeleke redioni ulipie halafu kesho unasikia tangazo limebadilishwa
 
Na Hilo is swala sio kwenye entertainment tu hata kwenye maisha yetu ya kila siku ndoto za wengi zimepotea au kurrudishwa nyuma na Aina hyo ya wajuaji kumbe takataka
Yeah kabisa mkuu . Huyo Le profeseri ni hovyo kabisa yani
 
Ni hivi kuna mtoto wa tajiri mmoja aishie Oman mwenye asili ya Zanzibar anafanya project ya uandishi wa nyimbo za kiswahili ili kuona kama nyimbo zinazo tokana na utunzi wake zinaweza ku trend.

Kinacho fanywa na familia hii ya kitajiri ni kama kilicho fanywa na Mzee Bakhressa alipo ianzisha Azam Fc kwa ajili ya kuwafurahisha watoto wake na kuwazuia kujihusisha na mchezo hatari wa mbio za magari baada ya kuchukua uhai wa mmoja Kati ya watoto wa mzee Bakhressa.

So hawa jamaa wa Oman ni familia ya kitajiri, binti kamwambia baba ake anapenda kuandika nyimbo za kiswahili so anataka kufanya project ya kuandika nyimbo za kiswahili, zitumwe Znz/Dar watafutwe waimbaji wafundishwe hizo nyimbo then zirekodiwe kisha zi ingizwe kwenye rotation halafu itazamwe jinsi watu watakavyo zipokea.

Binti yupo so much obsessed na namna nyimbo zake zitakavyo pokelewa na jamii.

Kwamba kiwango cha namna jamii itakavyo zipokea nyimbo ndio itamsaidia kujiona yeye ni mwandishi bora wa nyimbo kwa kiwango gani.

Kazi imefika Znz then Dar, bahati nzuri Nina affiliation na watu walio pewa jukumu la kusimamia hiyo project.

Huku na huku huku na huku tukafika kwa mtu mmoja wa makamo ni mwalimu wa muziki/nyimbo wa muda mrefu na yupo kwenye shule/chuo kimoja cha muziki jijini Dsm .

Huyu mwalimu akapewa audio ya huo wimbo plus maandishi na maelekezo ya aina ya watu wa kuimba wimbo huo, asimamie mazoezi ya wimbo kwa Mwezi mmoja then baada ya Mwezi mmoja twende tukafanye rehearsal ya mwisho kisha kwenda studio kurekodi.

Akapewa na fungu lake.

Siku ya kwenda studio ilikuwa jana mzee tumeenda tumekuta huo wimbo kaubadilisha .

KWANZA kabadilisha melody halafu pili kaongeza Maneno kwenye wimbo.

Mtunzi husika ( dada wa oman)alikuwa very eager to hear about the song hata kabla hauja rekodiwa studio so hao waimbaji wakarekodiwa kisha wimbo akatumiwa dada mtunzi.

Aisee dada wa watu ali fume vibaya sana akisema mimi sija andika wimbo huo na huo sio wimbo wangu siutaki.

Bahati nzuri mimi ni Executive Producer/Executive Record Producer = ni mtu ambae ana organise formation of a song kwa kumobilise all the necessary resources required for a song kama vile mtu anae faa kuimba wimbo huo mtu anae faa kushirikishwa etc.

Jamaa yangu wa Znz alipo nipa wazo la hiyo project na nilivyo usikiliza wimbo niliupenda ( dada wa oman ni mtunzi mzuri sana) mimi niliona huo wimbo ungefaa sana kama ange simama Linah so nilimtafuta Linah nikampa dili la kuufanya huo wimbo na akaurekodi kwenye simu.

Ameuimba vizuri sana. So dada mtoto wa tajiri alipo susa nikamwambia jamaa tumtumie hiyo akapela aliyo rekodi Linah.

Mara tu alipo sikia hiyo akapela ya Linah akasema sisi ni wachawi kwamba tumejuaje kama alitaka wimbo wake uimbwe na sauti hiyo ( ya Linah) akisema kama vile tulikuwa kwenye mawazo yake.

So dada akatuma mzigo wa maana kwa ajili ya kurekodi huo wimbo kumlipa msanii, producer, executive producer na watu wote watakao husika na hiyo project...

Kama huyu Le profeseri wa muziki angefanya kazi aliyo pewa maana yake leo angeondoka na dola elfu nyingi tu kwa kazi hiyo ya kuwasimamia hao waimbaji na angepewa dili la kisimamia nyimbo zote ishirini za huyo dada mtunzi.

Tuli muuliza Le profeseri kwanini ume badilisha melody ya wimbo na kuongeza Maneno yako akasema " ooh niliona wimbo una mapungufu"

Mapungufu my foot. Kujitia ujuaji kumemkosesha mamilioni.

Ujumbe wangu kwenu ninyi waalimu wa muziki na hata baadhi ya maproducer. Mtu anapo kuja kwako akiwa ameandika wimbo wake kqzi yako inatakiwa kuurekodi kama ilivyo kuwa melody yake ile ile na Maneno yake yale yale na kama ni mwalimu wa muziki umepewa kazi ya kuwapa waimbaji mazoezi kazi yako ni kuwapa mazoezi kwa kufuata melody ile ile ya mtunzi.

Ukiweka melody yako au Maneno yako maana yake ni kwamba wewe ndio umeutunga huo wimbo na sio mtunzi...

Wimbo utatoka hivi soon and the song will going to be loved by a billions and billions of people, some of them are not yet born.
Hongera kwa kupata mamilioni!
 
Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma, nilikiwa nina idea fulani hivi kwenye mchezo wa soka, idea mbili ila zoote ni kuhusu kumbukumbu kwenye michezo,
1. Ni kumzungumzia mchezaji mfano pale nilikuwa nina video ya pele, na maradona dennis bergkamp zilikuwa jikoni, mfano namzungumzia maradona basi zile skills zake zionekane, matukio yanaenda kwa mtiririko, nikisema alifunga goli la mkono basi lionekane, nikisema alifanya hivi, usajili wake napolk, akafanya hivi akaassist, hivyo vyoote vionekane, alipata kadi nyekundu, wamakomde kusema kila chinu, kionekane.
2. Ni kuizungumzia michuano mikubwa iliyofanya vizuri (yenye msisimko) mfano euro,uefa,worldcup,michuano ya africa,michuano ya amerika ya kusini, kwa kuanza nilikuwa nimechagua nianze na euro 2000 na uefa champions league 2005 tola pale mjini Istanbul, fainali iliyotuletea the night of miracle katika dimba la ataturk(hapo na dimba lenyewe nikalielezea kidogo, game kubwa ambazo zishawahi kupigwa hapo na matukio makubwa, kwa uchache kidogo)
Nikaelezea namna ambavyo timu zote zilifuzu, liverpool alianzia preliminary stage(level) na lask LINZ kama sikosei, Nikaelezea hatua kwa hatua, matokeo kuanzia makundi, mtoano mpaka fainali, matukio muhimu mfano game ya robo baina ya inter milan na ac milan kuvunjika pale San siro, golikipa wa ac milan kupigwa na kitu kichwani, yoote hayo matukio yake lazima yaonekane, yakisindikizwa na simulizi.

Nikaenda pale azam tv nikapata nafasi ya kukutana na bwana patrick kahemele, akatizama kazi zoote mbili akazipenda saana, ishu ikaja kwenye copyright video ninazotumia ni kutola YouTube akanieleza jinsi ilivyochangamoto, kisa cha tv kubwa ya kina dialo kugungiwa South Africa na wao kugawana mitambo ndio kuja kuzaliwa startimes mwanza, ikiwa moja ya stesheni boora kwa kipindi hiko.

Jamaa akanielekeza itabidi tukae chini tuone jinsi gani tunapata zile video kwa copyright aidha azam tv wawe wanazinunua zile mimi waniajiri tu, au nizinunue mwenyewe kisha mimi kipindi kiwe mali yangu niwalipe azam tv, mapato ya kipindi yawe ni ya kwangu, ila alivutiwa zaidi na azam tv ndio wawe wamiliki wa hizo video, akapata dharura aliitwa na bwana tido mhando, akanielekeza niemde kwa wa chini yake, wako wawili mmoja jina nimelisahau, mwingine ni zakazakazi, aisee wabongo wakiwa kwenye kinafasi wanajikna mnoooo.

Yule jamaa wa kwanza alinieleza tu kistaarabu maoni yake yalikuwa kama ya KAHEMELE, ishu ni copyrights, so akanishauri niache kuzungumzia wachezaji wa nje, nizungumzie wa ndani, ila hilo halikuwa lengo langu, shida kubwa wachezaji wa ndani kupata video(matukio) yao si rahisi, mfano namuongelea Abdallah kibadeni, nikisema yeye ndio mchezaji aliyeifunga yanga hattrick basi yaonekane hayo magoli aliyofunga, skills zake, nikimzungumzia sunday manara basi matukio asilimia 90 ya manara yaonekane, nikizungumzia yanga kuchukua kombe kule uganda kila mechi ionekane, magoli yalivyofungwa, matukio muhimu kwenye hiyo michuano kuanzia makundi mpaka fainali, japo jamaa alikuwa kavutiwa na utangazaji wangu,akanieleza nimsubiri zaka za kazi sababu alihisi kuwa sijapenda kubadilisha lile wazo.

Maaama yangu, zakazakazi si ndio akaja buana baada ya masaa kama mawili hivi, 😂, cha kwanza akaniambia hiyo idea si ngeni hata yeye anayo, sisi tusikae tu huku nyumbani tukadhani wao pale hawana mawazo mazuri, kisha akaanza kuketa ujuaji kibaooo, yaani ile kukatisha tamaa😂, japo nae pia alinielezea ishu ya hatimiliki, ila si kiutu kabisa nilirudi home nimechooka ukizingatia kipindi hiko nina ukata kinooma, kupanda daladala kutoka ofisini kwao mpaka home kigamboni nilihisi kama nimeambiwa nitembee kwa miguu jangwa la Sahara 😂, baadae nikaja kuona wamejaribu kufanya ila kwa namna isiypendeza, jamaa zangu kadhaa walinipigia simu kuniambia ile idea yako tunaiona azam tv hapa ila si namna kama vile ilivyokuwa kwenye zile video zao(nahisi nao shida ilikuwa ni hatimiliki) kuna video walikuwa wanamzungumzia thierry Henry ila nikaona picha akiwa barca tu.
 
Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma, nilikiwa nina idea fulani hivi kwenye mchezo wa soka, idea mbili ila zoote ni kuhusu kumbukumbu kwenye michezo,
1. Ni kumzungumzia mchezaji mfano pale nilikuwa nina video ya pele, na maradona dennis bergkamp zilikuwa jikoni, mfano namzungumzia maradona basi zile skills zake zionekane, matukio yanaenda kwa mtiririko, nikisema alifunga goli la mkono basi lionekane, nikisema alifanya hivi, usajili wake napolk, akafanya hivi akaassist, hivyo vyoote vionekane, alipata kadi nyekundu, wamakomde kusema kila chinu, kionekane.
2. Ni kuizungumzia michuano mikubwa iliyofanya vizuri (yenye msisimko) mfano euro,uefa,worldcup,michuano ya africa,michuano ya amerika ya kusini, kwa kuanza nilikuwa nimechagua nianze na euro 2000 na uefa champions league 2005 tola pale mjini Istanbul, fainali iliyotuletea the night of miracle katika dimba la ataturk(hapo na dimba lenyewe nikalielezea kidogo, game kubwa ambazo zishawahi kupigwa hapo na matukio makubwa, kwa uchache kidogo)
Nikaelezea namna ambavyo timu zote zilifuzu, liverpool alianzia preliminary stage(level) na lask LINZ kama sikosei, Nikaelezea hatua kwa hatua, matokeo kuanzia makundi, mtoano mpaka fainali, matukio muhimu mfano game ya robo baina ya inter milan na ac milan kuvunjika pale San siro, golikipa wa ac milan kupigwa na kitu kichwani, yoote hayo matukio yake lazima yaonekane, yakisindikizwa na simulizi.

Nikaenda pale azam tv nikapata nafasi ya kukutana na bwana patrick kahemele, akatizama kazi zoote mbili akazipenda saana, ishu ikaja kwenye copyright video ninazotumia ni kutola YouTube akanieleza jinsi ilivyochangamoto, kisa cha tv kubwa ya kina dialo kugungiwa South Africa na wao kugawana mitambo ndio kuja kuzaliwa startimes mwanza, ikiwa moja ya stesheni boora kwa kipindi hiko.

Jamaa akanielekeza itabidi tukae chini tuone jinsi gani tunapata zile video kwa copyright aidha azam tv wawe wanazinunua zile mimi waniajiri tu, au nizinunue mwenyewe kisha mimi kipindi kiwe mali yangu niwalipe azam tv, mapato ya kipindi yawe ni ya kwangu, ila alivutiwa zaidi na azam tv ndio wawe wamiliki wa hizo video, akapata dharura aliitwa na bwana tido mhando, akanielekeza niemde kwa wa chini yake, wako wawili mmoja jina nimelisahau, mwingine ni zakazakazi, aisee wabongo wakiwa kwenye kinafasi wanajikna mnoooo.

Yule jamaa wa kwanza alinieleza tu kistaarabu maoni yake yalikuwa kama ya KAHEMELE, ishu ni copyrights, so akanishauri niache kuzungumzia wachezaji wa nje, nizungumzie wa ndani, ila hilo halikuwa lengo langu, shida kubwa wachezaji wa ndani kupata video(matukio) yao si rahisi, mfano namuongelea Abdallah kibadeni, nikisema yeye ndio mchezaji aliyeifunga yanga hattrick basi yaonekane hayo magoli aliyofunga, skills zake, nikimzungumzia sunday manara basi matukio asilimia 90 ya manara yaonekane, nikizungumzia yanga kuchukua kombe kule uganda kila mechi ionekane, magoli yalivyofungwa, matukio muhimu kwenye hiyo michuano kuanzia makundi mpaka fainali, japo jamaa alikuwa kavutiwa na utangazaji wangu,akanieleza nimsubiri zaka za kazi sababu alihisi kuwa sijapenda kubadilisha lile wazo.

Maaama yangu, zakazakazi si ndio akaja buana baada ya masaa kama mawili hivi, 😂, cha kwanza akaniambia hiyo idea si ngeni hata yeye anayo, sisi tusikae tu huku nyumbani tukadhani wao pale hawana mawazo mazuri, kisha akaanza kuketa ujuaji kibaooo, yaani ile kukatisha tamaa😂, japo nae pia alinielezea ishu ya hatimiliki, ila si kiutu kabisa nilirudi home nimechooka ukizingatia kipindi hiko nina ukata kinooma, kupanda daladala kutoka ofisini kwao mpaka home kigamboni nilihisi kama nimeambiwa nitembee kwa miguu jangwa la Sahara 😂, baadae nikaja kuona wamejaribu kufanya ila kwa namna isiypendeza, jamaa zangu kadhaa walinipigia simu kuniambia ile idea yako tunaiona azam tv hapa ila si namna kama vile ilivyokuwa kwenye zile video zao(nahisi nao shida ilikuwa ni hatimiliki) kuna video walikuwa wanamzungumzia thierry Henry ila nikaona picha akiwa barca tu.
Pole sana kaka.
 
Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma, nilikiwa nina idea fulani hivi kwenye mchezo wa soka, idea mbili ila zoote ni kuhusu kumbukumbu kwenye michezo,
1. Ni kumzungumzia mchezaji mfano pale nilikuwa nina video ya pele, na maradona dennis bergkamp zilikuwa jikoni, mfano namzungumzia maradona basi zile skills zake zionekane, matukio yanaenda kwa mtiririko, nikisema alifunga goli la mkono basi lionekane, nikisema alifanya hivi, usajili wake napolk, akafanya hivi akaassist, hivyo vyoote vionekane, alipata kadi nyekundu, wamakomde kusema kila chinu, kionekane.
2. Ni kuizungumzia michuano mikubwa iliyofanya vizuri (yenye msisimko) mfano euro,uefa,worldcup,michuano ya africa,michuano ya amerika ya kusini, kwa kuanza nilikuwa nimechagua nianze na euro 2000 na uefa champions league 2005 tola pale mjini Istanbul, fainali iliyotuletea the night of miracle katika dimba la ataturk(hapo na dimba lenyewe nikalielezea kidogo, game kubwa ambazo zishawahi kupigwa hapo na matukio makubwa, kwa uchache kidogo)
Nikaelezea namna ambavyo timu zote zilifuzu, liverpool alianzia preliminary stage(level) na lask LINZ kama sikosei, Nikaelezea hatua kwa hatua, matokeo kuanzia makundi, mtoano mpaka fainali, matukio muhimu mfano game ya robo baina ya inter milan na ac milan kuvunjika pale San siro, golikipa wa ac milan kupigwa na kitu kichwani, yoote hayo matukio yake lazima yaonekane, yakisindikizwa na simulizi.

Nikaenda pale azam tv nikapata nafasi ya kukutana na bwana patrick kahemele, akatizama kazi zoote mbili akazipenda saana, ishu ikaja kwenye copyright video ninazotumia ni kutola YouTube akanieleza jinsi ilivyochangamoto, kisa cha tv kubwa ya kina dialo kugungiwa South Africa na wao kugawana mitambo ndio kuja kuzaliwa startimes mwanza, ikiwa moja ya stesheni boora kwa kipindi hiko.

Jamaa akanielekeza itabidi tukae chini tuone jinsi gani tunapata zile video kwa copyright aidha azam tv wawe wanazinunua zile mimi waniajiri tu, au nizinunue mwenyewe kisha mimi kipindi kiwe mali yangu niwalipe azam tv, mapato ya kipindi yawe ni ya kwangu, ila alivutiwa zaidi na azam tv ndio wawe wamiliki wa hizo video, akapata dharura aliitwa na bwana tido mhando, akanielekeza niemde kwa wa chini yake, wako wawili mmoja jina nimelisahau, mwingine ni zakazakazi, aisee wabongo wakiwa kwenye kinafasi wanajikna mnoooo.

Yule jamaa wa kwanza alinieleza tu kistaarabu maoni yake yalikuwa kama ya KAHEMELE, ishu ni copyrights, so akanishauri niache kuzungumzia wachezaji wa nje, nizungumzie wa ndani, ila hilo halikuwa lengo langu, shida kubwa wachezaji wa ndani kupata video(matukio) yao si rahisi, mfano namuongelea Abdallah kibadeni, nikisema yeye ndio mchezaji aliyeifunga yanga hattrick basi yaonekane hayo magoli aliyofunga, skills zake, nikimzungumzia sunday manara basi matukio asilimia 90 ya manara yaonekane, nikizungumzia yanga kuchukua kombe kule uganda kila mechi ionekane, magoli yalivyofungwa, matukio muhimu kwenye hiyo michuano kuanzia makundi mpaka fainali, japo jamaa alikuwa kavutiwa na utangazaji wangu,akanieleza nimsubiri zaka za kazi sababu alihisi kuwa sijapenda kubadilisha lile wazo.

Maaama yangu, zakazakazi si ndio akaja buana baada ya masaa kama mawili hivi, , cha kwanza akaniambia hiyo idea si ngeni hata yeye anayo, sisi tusikae tu huku nyumbani tukadhani wao pale hawana mawazo mazuri, kisha akaanza kuketa ujuaji kibaooo, yaani ile kukatisha tamaa, japo nae pia alinielezea ishu ya hatimiliki, ila si kiutu kabisa nilirudi home nimechooka ukizingatia kipindi hiko nina ukata kinooma, kupanda daladala kutoka ofisini kwao mpaka home kigamboni nilihisi kama nimeambiwa nitembee kwa miguu jangwa la Sahara , baadae nikaja kuona wamejaribu kufanya ila kwa namna isiypendeza, jamaa zangu kadhaa walinipigia simu kuniambia ile idea yako tunaiona azam tv hapa ila si namna kama vile ilivyokuwa kwenye zile video zao(nahisi nao shida ilikuwa ni hatimiliki) kuna video walikuwa wanamzungumzia thierry Henry ila nikaona picha akiwa barca tu.
Watu km huyo zakazakazi wapo wengi sana, yaani km namuona vile na uchawi wake...
Halafu ukija kwenye utendaji au namna alivyoingia hapo azam sio kwa uwezo wake unaezakuta kapigiwa pande na mtu au shemeji yake, in short sio uwezo wake ndio umemuweka hapo...

Roho mbaya tu na ujuaji mwingi, takataka kabisa!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom