[CODE][/CODE]
sisi wengine tunalindwa na mungu
Hapo alikuwa anatroti na walinzi wake nao ikabidi watroti.Hapa imekaaje?
Je Obama ndio anacheza ngoma ya kikwao nini?
Au je akicheza ni lazima pia walinzi wake wacheze?
pamoja na ulinzi woote huo mungu akiamua atoweke ni kugusa tu!