Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

Ujio wa CCJ: Yote unayotaka kujua

-Naomba Mungu CCM iwazuie CCJ kupata usajili halafu waungane na CHADEMA manake wakiwapa usajili halafu wasipoungana wanaweza kugawana kura,najua mbinu za CCM sasa hivi walivyochanganyikiwa hawawezi kufikiria vizuri na kutumia mbinu itakayowasaidia
 
mimi bado siiamini CCJ wala nini! Ni CCM hao hao wamekiunda ili kudhoofisha upinzani mwaka huu wa uchaguzi. Wanataka wapinzani wagawane wapiga kura!!
 
Mh na hili la nyaraka za CCJ kuibiwa kama ilivyotolewa kwenye gazeti la Tanzania Daima limekaaje? au ni mambo ya siku ya leo?

h.sep7.gif
blank.gif
''Mwenyekiti wake akabwa, aporwa
MWENYEKITI wa Chama Cha Jamii (CCJ), Richard Kiyabo, amevamiwa na kuporwa mkoba uliokuwa na nyaraka za chama hicho kinachopigania usajili wa kudumu.........​
 
Mh na hili la nyaraka za CCJ kuibiwa kama ilivyotolewa kwenye gazeti la Tanzania Daima limekaaje? au ni mambo ya siku ya leo?

h.sep7.gif
blank.gif
''Mwenyekiti wake akabwa, aporwa

MWENYEKITI wa Chama Cha Jamii (CCJ), Richard Kiyabo, amevamiwa na kuporwa mkoba uliokuwa na nyaraka za chama hicho kinachopigania usajili wa kudumu.........​
upo uwezekano wa Usalama wa Taifa kuwa wametumika kuiba, upo uwezekano.
Usalama wa Taifa wa nnchi hii ni tawi la CCM, wametumika kuumiza upinzani Tanzania kwa miaka mingi, hawajui wajibu wao.
wanadhani serikali chama chake ni CCM, na sikuwa chama kinaendesha serikali, hivyo kwa kulinda CCM wanaamini wanailinda chama halali cha SERIKALI.
 
- Wakuu wote JF wasalaam sana, jana niliahidi kupekua kila mahali hapa nyumbani on exactly nini kinaendelea na kinachofanyika, kuhusu hiki chama kipya CCJ yaani the talk of town, toka jana nimekuwa nikihaha kuatufa the dataz kuhusiana na CCJ na niliahidi kwamba nitasema wazi hapa my findings, ni kwamba:-

1. Nimeweza kuthibitisha na ninasema with my clear conscious kwamba CCJ ni for real na ni a very serious political party, chenye nia njema sana na taifa so far na kwamba kikipata registration kitasimamisha mgombea urais, the dataz ni kwamba patawaka moto na inaeleweka tayari huko Magogoni!

2. Nimegundua kwamba ni kweli nyuma yake kina viongozi wengi sana wenye nguvu sana na siasa za sasa za taifa letu.

3. Nimegundua kwamba Mpendazoe, hakuwa kwenye line ya kufukuzwa isipokuwa uzembe wa viongozi wa juu sana katika taifa letu ndio umesababisha "akawaponyoka" kabla hawajamaliza kufikiria what do do with him kwani walishafahamishwa kwamba alikuwa na "mpango" kwa hiyo kwa habari zote za dataz nilizonazo, ninathibitisha kwamba kuondoka kwake jana lilikuwa pigo kubwa sana huko "ndani" na kumeleta mshituko mkubwa sana kwa Wakulu na sasa wanahaha kufuatilia nani wengine wako njiani!

4. The dataz ni kwamba CCJ is so solid kwamba ofisi yake ya HQ ni full funrnished ikiwa na mtambo mmoja wa ajabu sana na wa kwanza Africa nzima, ambao utaweza kuwasajili wanachama wapya papo kwa papo kupitia njia ya Mtandao.

5. Kwamba kadi mpya za CCJ ambayo nimefanikiwa kuinasa mojawapo ukichungulia kwa mbali zina picha ya Mwalimu Baba Wa Taifa, na kwamba Mpendazoe was not in the picture ya the CCJ's master plan, lakini ameamua kwa hiari yake mwenyewe na ni a big plus!

6. Kwamba kuna "mzito" mmoja ambaye kikatiba hahusiki na usajili wa vyama vya siasa, lakini amelishikila faili la usajili wa CCJ kwa siri sana, badala ya kuwepo ofisini kwa Tendwa! na Yes I said it kuna kigogo mmoja amelishikilia faili la CCJ nyumbani kwake na anatembea nalo! kwa leo ninahifadhi jina lake!

- Well samahani sana wakuu kwa sasa naomba nisimame hapa kwanza, upepo ukikaa sawa nitamwaga a lot more na hasa majina ya who is who behind CCJ, yes ninayo yote sasa subira yavuta heri, maana upepo hauko sawa sasa hivi na this CCJ thing!

Respect.

Field Marshall Es! ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

FMEs,heshima mbele.

Nadhani hii inaweka utamu zaidi wa kusubiri the next post from you regarding this thread.I can sense hawa jamaa wameshaanza ku-panick ingawa hawataki kuionyesha wazi.Kuna viongozi wengi sana watafuata mwelekeo wa Mpendazoe,wanasubiri the right time(that is why I believe).

Wengi wameshangazwa na uamuzi wa jamaa kutangaza uamuzi wake(sina uhakika kama atapata kiinua mgongo bunge likivunjwa) BUT I believe ni uamuzi wa kihistoria.Ni wachache kwenye serikali ya CCM wanaweza kusimama na kusema enough is enough - HUU NI UKWELI.Wengi wamekuwa brainwashed kuwa hakuna life after CCM au Tanzania haitawezekana kama CCM ikiondoka madarakani/wao wakiondoka na kuwapinga CCM.nashindwa kuelewa ni kwa nini watu wanashindwa kuelewa kuwa any serious action MUST start now!hatuwezi kusubiri miaka mingine eti kwa mategemeo ya kui-transform nchi - IT HAS TO BE NOW.AMKENI WATANZANIA!

Nawasilisha!
 
kwani alikuwa akienda kwa miguu, kwa daladala, peke yake? Du!
 
TANU/ ASP na CCM havijawahi kuwa serious . Vikaja NCCR. CUF. CHADEMA navyo havijawa serious kwa taifa na wnanchi. Labda hiyo CCJ isiongozwe na wanasiasa wa Bongo. Manufaa binafsi mbele!

Tusianze kuwashambulia lets wait tuone whats so special kwao. Maana kama ni kweli wanachosema hiki chama kinaweza kuleta impact kubwa sana.
 
mambo yote aliyaema baba wa taifa ndani ya kitabu chake cha hatima ya tanzania. anzia kusoma ukurasa wa 35-43.

yote yamo humo,
kwa wale wasiokuwa nacho kipo hapa jukwaa la siasa waweza kudownload.
 
Mkuu Field Marshall ES,

CCM wanaona bora kuwa wanachama wengi wapumbavu na hawajali umakini ama umahiri wa mwanachama.

Nimeipenda hii...ina ukweli mkubwa sana. Wanachama wa CCM wana hii element kwa sana ndo maana wanashabikia na kupokea visent/kanga/kofia wakati wa kampeni/uchaguzi/na matukio kadhaa ya ccm huku wakisota wakati mwingine wote wa maisha yao. Wanaowachagua hawatimizi ahadi zao na wakiwarudia tena na hizo bait huwa wanakubali bila kujali ustawi wao, wa watoto wao na taifa la mbeleni. Kweli mkuu FM mabadiliko huwa ni lazima katika historia. Let us hope CCJ watachangia kwenye hili na sisi binafsi kwa anayeweza na anayejiskia kufanya hivo achangie kwa kadri inavyowezekana. TUSIKUBALI KUWA RAIA "WAJINGA"
 
Mhh weshazungukana wazungu, bibi yangu alisema wazungu wametuzunguka. Akanipa habari ya kuchekesha zaidi, kisha akasema bwanangu watu hawafikiri vizuri wala hawasemi vyema juu yako Uhuni si mzuri na heshima yako ni thamani ya utu wako, halafu udaku na umbeaumbea unawafaa wanaokaa jikoni wale wanaotafuta chakula hupima na kulea mambo, kama u jasiri unakosha kikombe ili uweze kunywa maji tena. haya tunayaangalia mambo akina sisi tunayaangalia kwa sababu unaanza kuona huyu yuko raiti huyu yuko wrong.usipike ugali kwa maji ya baridi utadoda mwenye kuelewa ujumbe huu auelewe asiyetaka aoshe kioo

watu wengine sijui vipi?!
 
Huu ni udaku, weka 'chanzo ' cha habari zako ili tukuamini unachosema kuhusu HIKI CHAMA.
Vyama vyote vipo sawa huwezi sema ni cha 'kweli' bila kuthibitisha.

karibu jf kijana, jukwaa hili huwa halina pumba, halafu angalia mto maada ana mda gani hapa jf so anaijua sana jf kuliko wewe mwenye post chini ya kumi!
 
Katika hili ninachoona hapa ni results za "Political Vacuum" iliyopo Tanzania. Nchi haina siasa za kweli wala mwelekeo wowote kisiasa. Matokeo yake hata Wananchi hawaamini kwamba panaweza tokea chama au kiongozi wa kusahihisha hali iliyopo sasa. Kuna wakati CCM wakipenda sana hali hiyo kwa sababu hakuna aliyekuwa anawauliza. Mbinu za kupashana habari zilikuwa finyu au hamna kabisa. Mpaka leo hii tunaona bado wapo watu hata hapa JF hawaamini hata wakiwekewa keki mezani, wakati mwingine hata wakisimuliwa jinsi keki inavyoliwa na inavyoisha bado hawataki kuamini. Chakushangaza zaidi hata wakielezwa kuwa sasa waliokaribu na keki amabao walistahili kuigawa wametusahau wameila mpaka imewalewesha wanapigana ngumi, bado hatutaki kuamini. Wakaendelea kutupasha habari kuwa wapo walioona wakakasirika wameamua kuunda umoja wa kuitwaa keki ile na kuandaa mipango mizuri zaidi ya kugawana. Wengine wanasema, hapana hata wale waliovimbiwa watakuja wale tena. Hivi kwanini watanzania tuko hivi? Hata CCJ iweje kwa sasa hivi inastahili kupata msukumo wetu "at least moral support" kwa sasa, unajuaje tutawapata wakina Dr. Slaa wengine watatu, hivi wakiungana kule Bungeni kutakuwa na haja kunyunyuziana unga mle kweli?
 
-Naomba Mungu CCM iwazuie CCJ kupata usajili halafu waungane na CHADEMA manake wakiwapa usajili halafu wasipoungana wanaweza kugawana kura,najua mbinu za CCM sasa hivi walivyochanganyikiwa hawawezi kufikiria vizuri na kutumia mbinu itakayowasaidia

Hii naona logic mbovu kabisa.
wakikosa usajili bora waendelee kuwa benchi kwa kipindi hicho cha miaka 5 wakijijenga zaidi , wakishindwa hilo bora wakaungane na Mtikila kuliko CHADEMA.

Kuhusu kugawana kura ina ukweli mdogo mno.

Wee chora mstari harafu uupe namba toka 1 hadi 100, kuanzia 1 hadi 98 weka CCM na kuanzia 99 hadi 100 weka CHADEMA.Harafu chukua vikaratasi uviandike namba moja hadi 100 vikunje kunje vidumbukize ktk kisanduku, anza kuchukuwa kamoja unasoma namba yake unatia alama ktk mstari unarudisha tena kikaratasi ktk kisanduku. Fanya mara nyingi.

Angalia sehemu mstari ulipochorwa mara nyingi, huyo ndo atakuwa muathirika mkuu.
 
Pakua vitu vikiivya. Siyo habari ninazo nitawapa majina kesho. Thats udaku not for JF family
 
Tatizo naloona mimi ni kuwa suala si chama kipya ili tuende mbele bali ni namna ya kurekebisha vilivyopo ili viendane na wakati. Tz sasa tuna vyama vingi na kama baadhi ya watu humu ambao nakubaliana nao hii ni bonus kwa CCM sababu wapinzani watagawana kura na huo ndio ukweli.
Upinzani wa kweli utakuwepo nchini kwetu pindi tu Chadema/CUF/UDP/ TLP na CCJ? wakiungana na kukubali kuachiana majimbo na kuweka mtu mmoja dhidi ya CCM kwenye urais, otherwise mambo ni yaleyale. Hawa CCJ mwaka huu itakuwa ngumu maana ni chama kipya na muda hutoshi kwa kampeni na kukubalika sera zao (ambazo hata hivo sijui ni zipi).

Hivo ndugu zangu tusishangilie chama kipya wanaoshangilia ni CCM kuona aa sasa tutazidi kushinda maana wanazidi kuongezeka(wapinzani). Mnakumbuka wakoloni walikuwa na sera za divide and rule? basi CCM ndio hizo wanaendeleza hapa kwetu.

Tunachohitaji ni Umoja katika upinzani na si chama kipya, period

Nawakilisha
 
Pakua vitu vikiivya. Siyo habari ninazo nitawapa majina kesho. Thats udaku not for JF family

Raia wa taifa hili tumefadhaishwa sana na kuvurugwa utashi. Hii kuita udaku na kutoamini hizi habari ni matokea ya ulaghai wa muda mrefu. Tusikate tamaa maana itakuwa ni usaliti. Tufuatilie CCJ na kuipa ushirikiano at least ambao haukugharimu kama huiamini. Kutokuamini na kukata tamaa ni kkusaliti wajukuu zetu (mabadiliko yanaweza yasiwe rahisi kuonekana na sisi). Tough going though!!
 
Tatizo naloona mimi ni kuwa suala si chama kipya ili tuende mbele bali ni namna ya kurekebisha vilivyopo ili viendane na wakati. Tz sasa tuna vyama vingi na kama baadhi ya watu humu ambao nakubaliana nao hii ni bonus kwa CCM sababu wapinzani watagawana kura na huo ndio ukweli.
Upinzani wa kweli utakuwepo nchini kwetu pindi tu Chadema/CUF/UDP/ TLP na CCJ? wakiungana na kukubali kuachiana majimbo na kuweka mtu mmoja dhidi ya CCM kwenye urais, otherwise mambo ni yaleyale. Hawa CCJ mwaka huu itakuwa ngumu maana ni chama kipya na muda hutoshi kwa kampeni na kukubalika sera zao (ambazo hata hivo sijui ni zipi).

Hivo ndugu zangu tusishangilie chama kipya wanaoshangilia ni CCM kuona aa sasa tutazidi kushinda maana wanazidi kuongezeka(wapinzani). Mnakumbuka wakoloni walikuwa na sera za divide and rule? basi CCM ndio hizo wanaendeleza hapa kwetu.



Tunachohitaji ni Umoja katika upinzani na si chama kipya, period

Nawakilisha

Upinzani wa kweli na maendeleo ya kweli yatapatikana kwa mtanzania/watanzia thabiti wenye uzalendo na nia ya kweli. Kuunganisha vikundi vya mafisadi ulivyovitaja hapo sio tiba.
 
Kama ni kweli CCJ is for real basi labda uchaguzi huu wa 2010 ambao mimi nilishauona utakuwa hauna maana kwa kuwa CCM wangeshinda tena kwa ushindi wa kishindo basi unaweza kuwa na ushindani wa hali juu kama ambavyo wengi wetu tulivyotegemea kutokana na madudu chungu nzima yaliyofanywa na Chama cha Maf.... Sasa hawa CCJ kama ni kweli they are for real then they have few months to go before October 2010, that means they should start to ACT NOW before it is too late. Only 6 months to go before general election. Only time will tell if CCJ is for real.
 
Back
Top Bottom