Nini maana ya MNF na kundi la mtaa wa sita?
Mimi ninavyotafsiri ni hivi:-
MNF = Mwalimu Nyerere Foundation
Mtaa wa Sita = Spika Samuel Sitta na watu wenye mtizamo unaofanana naye e.g. Seleli, Ole sendeka, Mwakyembe etc.
Nini maana ya MNF na kundi la mtaa wa sita?
Upinzani wa kweli na maendeleo ya kweli yatapatikana kwa mtanzania/watanzia thabiti wenye uzalendo na nia ya kweli. Kuunganisha vikundi vya mafisadi ulivyovitaja hapo sio tiba.
Upinzani wa kweli na maendeleo ya kweli yatapatikana kwa mtanzania/watanzia thabiti wenye uzalendo na nia ya kweli. Kuunganisha vikundi vya mafisadi ulivyovitaja hapo sio tiba.
Nakubaliana kuwa ni kweli tunahitaji hivo lakini hapa mi nazungumzia jinsi na namna ya kushinda uchaguzi. Kuwa na utitiri wa vyama si hoja, Tz ni nchi kubwa na tatizo kubwa la upinzani ni jinsi ya kukampeni nchi nzima. Dar ndio watu wanasoma magazeti na kuangali tv lakini huko vijijini ambako kuna watu wengi zaidi ni lazima uwafuate, na wao wengine hadi leo bado wapo kwenye zama za chama kimoja sasa jinsi ya kuwafikia hao ndio suala gumu.
Jingine ukiangalia historia fupi ya upinzani bongo tangu ianze miaka ya tisini wamepoteza majimbo mengi waliochukua toka CCM ambayo yamerudi CCM, mfano mzuri ni Dar hivi sasa hakuna mbunge wa upinzani ilihali Ubungo, Temeke na Kigamboni yote yalikuwa kwenye mikono ya upinzani yakarudi tena CCM na kote huko ukiangalia wapinzani kwa jumla walikuwa na kura nyingi zaidi ya CCM tatizo ni mgawanyiko.
Mi ushauri wangu uko palepale CCJ ni lazima washirikiana na wapinzani wengine waliopo sasa na kukubaliana namna thabiti ya kushirikiana kwenye uchaguzi vinginevyo hadithi ni ileile
Ukweli unabakia palepale, yaani umoja ni nguvu
- Wakuu kikao kimekwisha hakuna lolote la maana kwa masilahi ya taifa, isipokua ya chama tu labda tusubiri NEC ya tarehe 8, April 2010.
Respect.
FMEs!
- Off course the heat is felt all over, juzi kwenye CC mkulu amelilia sana wazee viongozi wote kuwashawishi viongozi wa dini, maana hao sasa anaamini kwamba huenda ndio wenye trufu za uchaguzi ujao through CCJ!, ndio maana ninasema it is for real!
Respect.
FMEs!
Je CCJ wana wazalendo wa kweli??
Mie siwajui nawala sina ushabiki nao.
Ila mimi ninachotaka kitokee ni CCJ waimegue CCM kwanza.
Nakubaliana kuwa ni kweli tunahitaji hivo lakini hapa mi nazungumzia jinsi na namna ya kushinda uchaguzi. Kuwa na utitiri wa vyama si hoja, Tz ni nchi kubwa na tatizo kubwa la upinzani ni jinsi ya kukampeni nchi nzima. Dar ndio watu wanasoma magazeti na kuangali tv lakini huko vijijini ambako kuna watu wengi zaidi ni lazima uwafuate, na wao wengine hadi leo bado wapo kwenye zama za chama kimoja sasa jinsi ya kuwafikia hao ndio suala gumu.
Jingine ukiangalia historia fupi ya upinzani bongo tangu ianze miaka ya tisini wamepoteza majimbo mengi waliochukua toka CCM ambayo yamerudi CCM, mfano mzuri ni Dar hivi sasa hakuna mbunge wa upinzani ilihali Ubungo, Temeke na Kigamboni yote yalikuwa kwenye mikono ya upinzani yakarudi tena CCM na kote huko ukiangalia wapinzani kwa jumla walikuwa na kura nyingi zaidi ya CCM tatizo ni mgawanyiko.
Mi ushauri wangu uko palepale CCJ ni lazima washirikiana na wapinzani wengine waliopo sasa na kukubaliana namna thabiti ya kushirikiana kwenye uchaguzi vinginevyo hadithi ni ileile
Ukweli unabakia palepale, yaani umoja ni nguvu
Ni wazo zuri ndugu but tunarudi pale pale katika umoja lazima watu wajulikane ni akina nani? chadema tunamjua mzee mtei na Mbowe, CUF yuko Lipumba na Seif, NCCR Mageuzi na wengineo wengi. Haya tuambie CCJ ni akina nani? Historia zao zikoje.
Hivi unadhani wewe utaungana na mtu ambae haumjui mtaaminiana? Kama ana nia kuwavuruga vuruga je?
MkamaP Tuko pamoja katika hilo ndio maana mie nasema naikalia mbali. Kuna anashauri waungane mie sikubaliani nao kwanza wajulikane ni akina nani ndipo waungane venginevyo huo muungano utazaliwa kwa lengo la kuua upinzani.
- Wakuu wote hapo juu, ninaomba kusema hivi I humbled na sasa ninaamini sana kwamba kumbe mcheza kwao hutunzwa, well tupo pamoja sana kwa sasa tayari nipo kwenye post ya dataz tukishapata green light tu tutamwaga some more dataz,The Following 71 Users Say Thank You to Field Marshall ES For This Useful Post:911 (Yesterday), Abraham (Today), akilipana (Today), AmaniGK (Yesterday), Andindile (Today), araway (Today), Babuyao (Yesterday), bht (Today), carmelChief (Today), D5 (Today), De Novo (Today), Dingswayo (Today), Dreamliner (Today), EdoEdson (Today), ELNIN0 (Today), fangfangjt (Today), Felixonfellix (Today), FirstLady1Fisherscom (Yesterday), Gamaha (Today), Gashle (Today), housta (Today), Jafar (Today), Jasusi (Yesterday), Jayfour_King (Today), jmushi1 (Yesterday), Junius (Yesterday), KakalendeKiby (Today), Kidatu (Yesterday), kilembwe (Today), Kingi (Today), Kitila Mkumbo (Today), Kyachakiche (Today), Lekanjobe Kubinika (Today), Lusajo (Today), Madabwada (Today), Mauza uzamayenga (Today), Mdondoaji (Today), MpendaTz (Today), Mrimu (Today), Mtu KwaoMugerezi (Today), Mzawa Halisi (Today), Mzee Mwanakijiji(Today), Nanu (Today), Ndahani (Today), Ngala (Today), nguvumali (Today), nyani<abiziani> (Today), Nyunyu (Today), PainKiller (Yesterday), Papizo (Yesterday), Pasco (Today), Pdidy (Yesterday), Renegade (Today), SelousShadow (Today), Shakazulu (Yesterday), Sikonge (Yesterday), SMU (Today), SupermanTiba (Today), Timtim (Today), Tshala (Today), Tusker Bariiiidi (Today), Waberoya (Yesterday), WaMzizima (Today) (Today), (Today), (Today), (Today), (Yesterday), (Today), (Today), (Today),
Asante, lakini sijakupata. Naomba uhariri post yako vizuri ndiyo nielewe unataka kusema kitu gani.chadema haikuanza magazeti yalianza nenda kwenye archives ukaone je hapakuwapo na habari kuhusu epa na tena kabla slaa hajapewa madokumenti ya kuzungumza wacheni kujipa vikrediti kwamba nyie ndio noma! uwiiiiiii! na tena hakuna vitu vilivyoingia mlango wa nyuma soma maelezo ya mwanasheria mkuu wa serikali na taratibu za kuandika kanuni juu ya hoja za wabunge za sheria zinazotakiwa tusiwe tunaimba bila kuwa na breki ya kuangalia kama tunaimba kw atoni inayotakiwa mhhhh shiiii au ndio kusema upepo wa kusi unazuia kaskaz nini
we are getting there.. you know what.. watu wengi wanasahau unabii wenyewe ulikuwa unahusu nini hasa.. Niliandika hivi hapo juu:
Ni maneno hayo hayo ambayo Mpendazoe ameyarudia na mtayaona yakirudiwa na wengi wakuu watakaotoka CCM... Unabii haufanyi haraka wala hauchelewi.. hutimia kwa wakati. .
Ningependa kukuliza swali.
watu wa mjini wanaosoma magazeti, wa watu wa vijijini wasioona gazeti ni wepi kati yao ambao wana rate nzuri ya kuchagua wapinzani??
Kwanini mnawachagulia chama??Kwa infrastructure ya Tanzania na hali halisi ya Watanzania hakuna uwezekano wa CCJ kuwa chama mdadala, yaani mara tu baada ya uchaguzi wa mwaka huu, hata kama NEC ya sisiemu ikikatika katikati kati.
Mpinzani wa kweli angeshajiunga na CHADEMA long time, wengine wote waganga njaa na vyeo.
Lets wait & see, time will tell