Ujenzi wa wa njia ya mabasi ya Mwendokasi barabara ya Nyerere unasababisha kero ya foleni

gati

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
261
140
Wadau,

Leo nimepata kadhia ya hali juu nikiwa Nyerere rd kwa kuwa foleni haitembei kabisa. Hii inasababishwa na kuwa ujenzi unaoendelea wa njia na mwendokasi sambamba na ujenzi wa SGR inawafanya watumiaji wa barabara kukosa njia mbadala.

Ni heri wangesuburi kukamilika kwa madaraja ya juu ya SGR ili watumiaji wa barabara wawe na mbadala wa kutumia barabara iliyopo pembezoni ya reli. Ailiyeruhu hizi simultaneous projects .
 
Hasa nyakati za asubuhi na jioni ni kero mno foleni sometimes hakuna hata trafic wa kuongoza magari.
 
Wadau,
Leo nimepata kadhia ya hali juu nikiwa Nyerere rd kwa kuwa foleni haitembei kabisa. Hii inasababishwa na kuwa ujenzi unaoendelea wa njia na mwendokasi sambamba na ujenzi wa SGR inawafanya watumiaji wa barabara kukosa njia mbadala. Ni heri wangesuburi kukamilika kwa madaraja ya juu ya SGR ili watumiaji wa barabara wawe na mbadala wa kutumia barabara iliyopo pembezoni ya reli. Ailiyeruhu hizi simultaneous projects - akapimwe akiri
Uchaguzi unakaribia
 
Wadau,
Leo nimepata kadhia ya hali juu nikiwa Nyerere rd kwa kuwa foleni haitembei kabisa. Hii inasababishwa na kuwa ujenzi unaoendelea wa njia na mwendokasi sambamba na ujenzi wa SGR inawafanya watumiaji wa barabara kukosa njia mbadala. Ni heri wangesuburi kukamilika kwa madaraja ya juu ya SGR ili watumiaji wa barabara wawe na mbadala wa kutumia barabara iliyopo pembezoni ya reli. Ailiyeruhu hizi simultaneous projects - akapimwe akiri
kwani mwendokasi ni ya nani na kwa manufaa ya nani?
 
Ifikie hatua, maneno kama nyerere road , mandela road , yafikie hatua yasitumike katika kadamnasi. Yanachanganya . Watu tutaje sehemu husika, mikocheni, sinza , tazara, salender bridge makutano flani na kuendelea, hayo road kuitwa jina tuwaachie wazee wa 80 kwenda nyuma.
 
1696348167542.jpg
 
Ifikie hatua, maneno kama nyerere road , mandela road , yafikie hatua yasitumike katika kadamnasi. Yanachanganya . Watu tutaje sehemu husika, mikocheni, sinza , tazara, salender bridge makutano flani na kuendelea, hayo road kuitwa jina tuwaachie wazee wa 80 kwenda nyuma.
Hujakutana na
Sam nujoma road ubungo to mwenge
Kawawa road magomen to Morroco
Al Hasan mwny road inaanzia apo nmb mpk kufika mwenge/if not Morroco maake saa hz ni new bagamoyo road
Bibi titi road..... Kutoka kule NMB hq to mnaz mmja
Sekou drive.... Ubalozi kwenda sea cliff, coco Beach
Haile selasie road..... Kutok st Peter inapta ccbrt , samaki samaki, sjui village mpk jk ground
Kimweri road..... After msasani kwenda capetwn uko
Mwai kibaki. Road.... Morroco Mikochen to kawe....
 
Wadau,
Leo nimepata kadhia ya hali juu nikiwa Nyerere rd kwa kuwa foleni haitembei kabisa. Hii inasababishwa na kuwa ujenzi unaoendelea wa njia na mwendokasi sambamba na ujenzi wa SGR inawafanya watumiaji wa barabara kukosa njia mbadala. Ni heri wangesuburi kukamilika kwa madaraja ya juu ya SGR ili watumiaji wa barabara wawe na mbadala wa kutumia barabara iliyopo pembezoni ya reli. Ailiyeruhu hizi simultaneous projects - akapimwe akiri
Mkuu si upande boda?
Au uhamie Dodoma na urudi ujenzi ukimalizika!
Tazama Mbagala walivyovumilia , sasa wanakula matokeo ya uvumilivu.
 
Back
Top Bottom