Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
Waziri wa Fedha Uingereza, Chancellor Jeremy Hunt, ameanza kukubali kile waingereza wengi walikuwa wakishuku lakini moyoni wakikikataa, kuwa kujiondoa Umoja wa Ulaya unawapiga kiuchumi kwa sana.
Waziri wa Fedha Uingereza sasa amekaririwa akikubali kuwa kati ya nchi zenye uchumi imara Ulaya, Uingereza peke yake ndio ina mdororo wa uchumi uliopitiliza.
Sababu kubwa ni kuendelea kukosa masoko ambayo zamani yalikuwa yake kabla ya kujitoa Umoja wa Ulaya, BREXIT.
Tukumbuke, Obama aliwahi kuionya Uingereza kuwa itakuwa na uchumi wa mwisho katika Ulaya.
Huu ni muendelezo wa mawazo ya waingereza wengi wanaoamini sasa kujitenga na Ulaya hakukuwa sahihi.
Waziri wa Fedha Uingereza sasa amekaririwa akikubali kuwa kati ya nchi zenye uchumi imara Ulaya, Uingereza peke yake ndio ina mdororo wa uchumi uliopitiliza.
Sababu kubwa ni kuendelea kukosa masoko ambayo zamani yalikuwa yake kabla ya kujitoa Umoja wa Ulaya, BREXIT.
Tukumbuke, Obama aliwahi kuionya Uingereza kuwa itakuwa na uchumi wa mwisho katika Ulaya.
Huu ni muendelezo wa mawazo ya waingereza wengi wanaoamini sasa kujitenga na Ulaya hakukuwa sahihi.
Brexit: More Britons now say UK was wrong to quit the EU
Polls show average annual gap between those who believe it was ‘wrong’ to vote to Leave compared to ‘right’ has risen to double digits for the first time
www.standard.co.uk