Uhusiano wa Franco na Mobutu

Uhusiano wa Franco na Mobutu

Mabutu hakuleta maendeleo Congo, yeye alichofanya ni kuua Maendeleo
Mkuu fatilia historia vizuri kwa wacongo watakwambia,,,pia soma articles

Jamaa mwanzoni mwa utawala wake madini ya congo yalikua na thamani kama vile diamond na copper

Wazungu waliwekeza pale congo nchi ikapata pesa,,marekani ilichmba madini ya silaha pale

Pia alipata misaada,,,nenda hata kinshasa uone mjengo aliyojenga,unajua zaire walikua na trading tower kama zile twin towers za marekani ?

Alijenga inga hydroerectric ,hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa afriça nzima sema tu saivi miundombinu imechoka

Alijenga hospitali ya kisasa pale kinshasa,alijenga gbadolite shule ya kisasa yenye mpaka computer lab wakati ule

Alitoa mikopo ya chuo kikuu kwa wanafunxi wote bure(sisi tz hili mpaka leo hatuwezi)

Alijenga recreation centers kuna sehemu inaitwa nsele ,kuna ma swimming poor na kadhalika watu waka enjoy,

Alifanya mengi
 
MOVOTO2.jpeg
kaburi la mama yake mobutu,,liliandikwa kwa maandishi ya dhahabu,,baadà ya kupinduliwa wanajeshi walifika hapa ili kuiba mali,

Wakafyatua risasi kwenye kabuli la kaka yake mobutu ili kulibomoa wachukue dhahabu na madini mengine aliyozikwa nayo,risasi ilimrudia aliyefyatua ikamuingia kifuani,wenzie wakakimbia
 
View attachment 721775 kaburi la mama yake mobutu,,liliandikwa kwa maandishi ya dhahabu,,baadà ya kupinduliwa wanajeshi walifika hapa ili kuiba mali,

Wakafyatua risasi kwenye kabuli la kaka yake mobutu ili kulibomoa wachukue dhahabu na madini mengine aliyozikwa nayo,risasi ilimrudia aliyefyatua ikamuingia kifuani,wenzie wakakimbia
duhh
 
mkuu lucas mobutu
mm n kijana ila ktk simu yangu nyimbo zangu 90%, n za Franco, aisee Jamaa alikuwa na nyimbo tamu wazee wananishangaa Mimi kijana napendaje nyimbo zao? kiukweli nilizipenda nyimbo za Franco kupitia radio moja ya Kenya iitwayo citizen walikuwa wana zitafsir nilizpenda kweli kweli
Franco alikuwa rafiki wa Mobutu lkn walikuwa wanakosana na kupatana
pia kuna kisa kimoja mwaka 1973 Franco na mdg wake walikuwa wanagombnia demu sasa mdg wa Franco akaamua kusafiri na huyo demu ktk gari mdg wa franco akaamua kuangusha gari maksud ili wafe wote lkn huyo demu alivunjka mguu ila Jamaa akafariki
Franco alipata ukimwi miaka ya 1980's na hawara yake alikuwa mwanamuzk ktk bendi ya okk jazz alieitwa mpongo love
Franco alikuwa anamiliki majumba hko Belgium na France
baada ya kutunga wimbo wa kumpamba Mobutu,Franco alipewa malori 6 kama zawadi
pia Mobutu alikuwa na vituko aliwahi chukua waganga wa kienyeji nchi nzma akasafiri nao na timu ya taifa ili ishinde lkn timu hiyo ilifungwa 7_0
baadhi ya nyimbo za Franco ni
matata ya mwasi
naloba nini
fabrice
Mario
mamuu
muongo na mulozo
cooperation
lisolo ya nzambe na adamu
fc Gabon
colonel bangala
republique du Zaire
azda
masuu
muya
liberte
arzon
1200 leters
kimpa kisangameni
ngungi
attention na sida
Franco alikuwa na albamu 150, na single 1200
WASIOMJUA MPONG'O LOVE (NDAYA). ALIKUWA KISU, FRANCO HAKUWA WA MCHEZO MCHEZO. ALIAMUA KUCHAGUA ****ALIYENONA HASWAA

 
Franco kawafundsha mziki wanamzki kama vile
tabu ley
Sam mangwana
mpongo love
simaro lutumba
madiluu system nk japokuwa baadaye tabu ley alihama band ya okk jazz na kuanzisha yake iitwayo orchestra afrisa international ambayo ilichuana na OK jazz
ktk band hiyo wakina Sam mangwana walijiengua okk jazz na kujiunga na orchestra afrisa,miaka ya 1987 band ya okk jazz ikaanza kuyumba hii n kutokana na Franco kuwa nje ya nchi mda mrefu pia afya yake kuzorota
mwaka 1987 Franco aliimba wimbo akimshirikisha Sam mangwana wimbo uitwao muongo na mulozi huu wimbo n kama walikuwa wanaagana Franco alitoa mawaidha mazito ktk wimbo huu miaka miwili baadae akafariki
I see wewe ni mwongo sana. Tabu Ley hakufundishwa muziki na Franco wala hawakuwahi kuimba bendi moja. Tabu Ley alitoka band ya Grand Kalle wakiwa na Dr. Nico Kasanda wakaanzisha African Fiesta. Baadaye walitengana wakigombea hela.

Sanasana Franco na Tabu Ley walitoa album ya zing zong miaka ya 1980.
 
asante sana sana sana. wakati nakua mzee alikuwa anapenda sana kusikiliza nyimbo za franco .sikuwa na muelewa kabisaa. mpaka leo jamaa simoendi kwa sababu ya kwamba nyimbo zake zilikuwa zinaninyima kusikiliza vipindi vingine nivipendavyo kama michezo RTD pindi mzee akiwepo. sasa nimeelewa
Napenda wimbo wa vewe na azda veweee pia namuona Mobutu kama mvumilivu kwa kiasi flani na mwenye upendo
 
Back
Top Bottom