Uhusiano wa Franco na Mobutu

Uhusiano wa Franco na Mobutu

Nadhani wakati huo watu walikua wanapima kwa macho, unajua Franco alikua bonge la mtu sasa katika siku zake za mwisho alikua amepungua uzito na mwili kwa kiasi kikubwa na akawa amedhoofika na kuchoka hata jukwaani katika live performance alikua akikaa kwenye kiti. Inawezekana pia ikawa ni sukari nahawakuigundua au kuicheki kabda maana nayo hua inamkongoroa mtu, nakumbuka marehemu Marijani nae alikuja kugundulika kua anakisukari when it was too lake na alikua amedhoofika sana mwili
Mkuu umeongea point...watu walishabikia ooh ni ngoma kumbe ukute alikuwa na maradhi mengine tuu...na ndo maana kwenye ile interview alikuwa anamaind kinoma...

Hata sumu ya kumkill softly inawezekana! Watu huwa wana roho mbaya sana

Ajisemee kwenye ule wimbo wake wa le rumeus kuwa watu wa kishansa wanapenda kuona mtu ana majanga!
 
Mkuu umeongea point...watu walishabikia ooh ni ngoma kumbe ukute alikuwa na maradhi mengine tuu...na ndo maana kwenye ile interview alikuwa anamaind kinoma...

Hata sumu ya kumkill softly inawezekana!

Ajisee kwenye ule wimbo wake wa le rumeus kuwa watu wa kishansa wanapenda kuona mtu ana majanga!
Umenikumbusha kitu mkuu, watu wa Congo hua wanaondoana sana kwa sumu! Mjomba wangu ni miongoni mwa wahanga wa hilo maana alikua anafanya nao biashara na alisha onywa before. Miaka hiyo kila anaekonda alikua anaambia anangoma wakati kuna magonjwa kibao na possibility ya mtu kuwekewa sumu maana yawezekana alikua na wapinzani wake kwa namna moja au nyingine
 
Umenikumbusha kitu mkuu, watu wa Congo hua wanaondoana sana kwa sumu! Mjomba wangu ni miongoni mwa wahanga wa hilo maana alikua anafanya nao biashara na alisha onywa before. Miaka hiyo kila anaekonda alikua anaambia anangoma wakati kuna magonjwa kibao na possibility ya mtu kuwekewa sumu maana yawezekana alikua na wapinzani wake kwa namna moja au nyingine
Umeona sasa....sio kila mpenda wanawake anapata ngoma, na huwezi jua alikuwa makini kiasi gani!

Kwa jinsi nilivyomsoma na kumfatilia Franco ( coz mi simjui) inaonesha enzi zake alisumbua mnoo, naangalia live show zake, ushawishi wake kwa viongozi, na upinzani mkubwa kwa wanamziki wanaotaka kushine kama yy...wee lazima kuna mahali alinasa! Either starehe zake or kurogwa, or sumu...hivi vitu vitatu kuna kimoja kinamhusu!

Pole kwa uncle wako jamani, binafsi wakongo siwapendi!
 
Umeona sasa....sio kila mpenda wanawake anapata ngoma, na huwezi jua alikuwa makini kiasi gani!

Kwa jinsi nilivyomsoma na kumfatilia Franco ( coz mi simjui) inaonesha enzi zake alisumbua mnoo, naangalia live show zake, ushawishi wake kwa viongozi, na upinzani mkubwa kwa wanamziki wanaotaka kushine kama yy...wee lazima kuna mahali alinasa! Either starehe zake or kurogwa, or sumu...hivi vitu vitatu kuna kimoja kinamhusu!

Pole kwa uncle wako jamani, binafsi wakongo siwapendi!
Asante Witness

Yote matatu uliyosema yanawezekana, na kwa Congo hayo yote yapo yaani kurogwa(kule kuna walozi acha tu), ngoma(na Franco alikua mtu wa totos) na hiyo sumu. Sasa kama ambavyo akija mtu atuambie sasa hivi Franco alikufa kwa sumu tutamwambia atuthibitishie chanzo cha taarifa yake ndio hivyohivyo tunawauliza wanaosema alikufa kwa AIDS watuthibitishie chanzo cha taarifa zao hizo maana kama ulivyosema kama ni ngoma doctor wake ndie anajua
 
Asante Witness

Yote matatu uliyosema yanawezekana, na kwa Congo hayo yote yapo yaani kurogwa(kule kuna walozi acha tu), ngoma(na Franco alikua mtu wa totos) na hiyo sumu. Sasa kama ambavyo akija mtu atuambie sasa hivi Franco alikufa kwa sumu tutamwambia atuthibitishie chanzo cha taarifa yake ndio hivyohivyo tunawauliza wanaosema alikufa kwa AIDS watuthibitishie chanzo cha taarifa zao hizo maana kama ulivyosema kama ni ngoma doctor wake ndie anajua
Kabisa mkuu....tunataka vithibitisho unless hizi ni chai tuu

Cc.luambo makiadi, lucas mobutu
 
Kabisa mkuu....tunataka vithibitisho unless hizi ni chai tuu

Cc.luambo makiadi, lucas mobutu
Hhhh mkuu hakuna uthibitisho kamili
Ila hayo madai yalitolewa na watu walio ishi nae
Pia ukiisikiliza attention na sida mara adai sio kila anayeumwa ni ukimwi mara adai ana ukimwi hivyo ndugu zake wamemkimbia
 
Hhhh mkuu hakuna uthibitisho kamili
Ila hayo madai yalitolewa na watu walio ishi nae
Pia ukiisikiliza attention na sida mara adai sio kila anayeumwa ni ukimwi mara adai ana ukimwi hivyo ndugu zake wamemkimbia
Aah mkuu alisema hivyo?
 
Ile siku Franco kaletwa kinshansa kutoka Brussels ni kama niliona ka mke kake ka kizungu kadogo dogo hivi kalikuwa kanalia!
 
Ile siku Franco kaletwa kinshansa kutoka Brussels ni kama niliona ka mke kake ka kizungu kadogo dogo hivi kalikuwa kanalia!
Itakua alionja kwingi.dream yangu ni kwenda kinshasa siku moja nikatengeneze documentary
 
Aah mkuu alisema hivyo?
oh le Sida, ce terrible maladie
some parts of the song goes like:
A disease which spares nobody . . . a plague / Which leaves doctors impotent
The chorus in Lingala: Look after your body, and I'll look after mine / Protect your own body, I'll protect mine........
Those who used to eat and drink with me / Have started to ignore me / They say I have got the AIDS sickness / All my friends are cutting me off / Who can I complain to........
AIDS is ravaging all the peoples; they are frightened / Europe and the USA accuse Africa of being / The source of AIDS / Recently Asia and USA were invaded by the illness.......
Babies, children, youths, adults, the old
Youths, beware, AIDS can attack you / You are the life force of society / If you let it kill you, who will lead the people? / Avoid dangerous sex. Students beware unknown partners
Teachers, instructors, professors / At school, in class, at home / If you have a free moment discuss it / It is part of your scholarly obligation
Doctors, be like Pasteur, Fleming, Curie, and the other / Geniuses of the last century / Now is your turn to conquer this plague which / Terrifies humanity and defies medicine
All my family have run away from me / Because I have AIDS. I am left with only my mother, / Who has to suffer again all the sickness of my childhood
 
Hivi inakuwaje mtu unazeeka hivyo halafu unang'ang'ania kuongoza watu kwa brutality?
 
Hivi inakuwaje mtu unazeeka hivyo halafu unang'ang'ania kuongoza watu kwa brutality?
Aliongoza nchi vizuri tu
Ila alipenda sana amani ndio hapo alionekana katili
Wavunjifu wa amani walipigwa mno
Alijua baada yake hakuna mtu wa kuiongoza zaire
Na ni kweli
Alisema hivi

Baada yangu ni mafuriko (tumeyaona leo drc hakuna amani)

Akasema pia (sina tena cha kuifanyia hii nchi,hii sio zaire yangu)
Alisema hivo akiwa kwenye ndege anatoroshwa kwenda uhamishoni
 
Hivi inakuwaje mtu unazeeka hivyo halafu unang'ang'ania kuongoza watu kwa brutality?
Anatajwa kuwa rais msikivu mno.
Hili nimelishuhudia hata mimi kuna videos watu wanamfokea lakini anawasikiliza
Tatizo lake lilikua ni kwenye pesa tu ndio aliharibu
 
Anatajwa kuwa rais msikivu mno.
Hili nimelishuhudia hata mimi kuna videos watu wanamfokea lakini anawasikiliza
Tatizo lake lilikua ni kwenye pesa tu ndio aliharibu
Laana ya Congo ni yule mtu mrefu mwembamba anaefadhili makundi ya waasi ili aibe madini ya Coltan akanunulie ndege, kwanini mapigano yote yanatokea upande ulipo wale watutsi NE, na ndipo madini yanapogunduliwa? Waasi wakipigwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi, hii maana yake nini? Chukulia wale waliokuwa wanajiita M23
 
Laana ya Congo ni yule mtu mrefu mwembamba anaefadhili makundi ya waasi ili aibe madini ya Coltan akanunulie ndege, kwanini mapigano yote yanatokea upande ulipo wale watutsi NE, na ndipo madini yanapogunduliwa? Waasi wakipigwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi, hii maana yake nini? Chukulia wale waliokuwa wanajiita M23
Well said .kagame ndio tatizo, congo inatakiwa iongozwe na watu kama kina bemba kabila mdhaifu sana
Angekua rais anayejielewa angeivamia rwanda
 
Back
Top Bottom