Uhusiano wa Franco na Mobutu

Uhusiano wa Franco na Mobutu

mkuu lucas mobutu
mm n kijana ila ktk simu yangu nyimbo zangu 90%, n za Franco, aisee Jamaa alikuwa na nyimbo tamu wazee wananishangaa Mimi kijana napendaje nyimbo zao? kiukweli nilizipenda nyimbo za Franco kupitia radio moja ya Kenya iitwayo citizen walikuwa wana zitafsir nilizpenda kweli kweli
Franco alikuwa rafiki wa Mobutu lkn walikuwa wanakosana na kupatana
pia kuna kisa kimoja mwaka 1973 Franco na mdg wake walikuwa wanagombnia demu sasa mdg wa Franco akaamua kusafiri na huyo demu ktk gari mdg wa franco akaamua kuangusha gari maksud ili wafe wote lkn huyo demu alivunjka mguu ila Jamaa akafariki
Franco alipata ukimwi miaka ya 1980's na hawara yake alikuwa mwanamuzk ktk bendi ya okk jazz alieitwa mpongo love
Franco alikuwa anamiliki majumba hko Belgium na France
baada ya kutunga wimbo wa kumpamba Mobutu,Franco alipewa malori 6 kama zawadi
pia Mobutu alikuwa na vituko aliwahi chukua waganga wa kienyeji nchi nzma akasafiri nao na timu ya taifa ili ishinde lkn timu hiyo ilifungwa 7_0
baadhi ya nyimbo za Franco ni
matata ya mwasi
naloba nini
fabrice
Mario
mamuu
muongo na mulozo
cooperation
lisolo ya nzambe na adamu
fc Gabon
colonel bangala
republique du Zaire
azda
masuu
muya
liberte
arzon
1200 leters
kimpa kisangameni
ngungi
attention na sida
Franco alikuwa na albamu 150, na single 1200
Naifagiliaga hiyo Massu iliimbwa na Mdada mmoja hv Jollie Detta ila na yeye maskini nasikia alikufa na "Malade SIDA"
 
Kuna sehemu nimesoma wanasema alikua ni kilema,wikipedia pia wanasema hivo ,sijui ni ukilema upi
Inasemekana udogoni kwake akiwa na miaka 4 aliwahi pewa chanjo dhidi ya polio ambayo ilimuathiri kutokana na kuwa na allergy na hiyo chanjo jambo lililopelekea ku paralyse miguu yake baadae baada ya tiba ya mazoezi angalau ile miguu ukaweza kutumika japo sio kwa ufanisi wake wa 100%.

Hii ilipelekea miguu yake kupinda na kuwa kama mtu wa polio.

Ndo historia iliyo nyuma ya kuwa na ulemevu japo alikuwa mzuri sana tena wakutajika.
 
mkuu lucas mobutu
mm n kijana ila ktk simu yangu nyimbo zangu 90%, n za Franco, aisee Jamaa alikuwa na nyimbo tamu wazee wananishangaa Mimi kijana napendaje nyimbo zao? kiukweli nilizipenda nyimbo za Franco kupitia radio moja ya Kenya iitwayo citizen walikuwa wana zitafsir nilizpenda kweli kweli
Franco alikuwa rafiki wa Mobutu lkn walikuwa wanakosana na kupatana
pia kuna kisa kimoja mwaka 1973 Franco na mdg wake walikuwa wanagombnia demu sasa mdg wa Franco akaamua kusafiri na huyo demu ktk gari mdg wa franco akaamua kuangusha gari maksud ili wafe wote lkn huyo demu alivunjka mguu ila Jamaa akafariki
Franco alipata ukimwi miaka ya 1980's na hawara yake alikuwa mwanamuzk ktk bendi ya okk jazz alieitwa mpongo love
Franco alikuwa anamiliki majumba hko Belgium na France
baada ya kutunga wimbo wa kumpamba Mobutu,Franco alipewa malori 6 kama zawadi
pia Mobutu alikuwa na vituko aliwahi chukua waganga wa kienyeji nchi nzma akasafiri nao na timu ya taifa ili ishinde lkn timu hiyo ilifungwa 7_0
baadhi ya nyimbo za Franco ni
matata ya mwasi
naloba nini
fabrice
Mario
mamuu
muongo na mulozo
cooperation
lisolo ya nzambe na adamu
fc Gabon
colonel bangala
republique du Zaire
azda
masuu
muya
liberte
arzon
1200 leters
kimpa kisangameni
ngungi
attention na sida
Franco alikuwa na albamu 150, na single 1200
Umetisha
 
labda umesahau,hebu fwatilia historia ya mpongo love,mwaka 1977 Franco alimsajili mpongo ktk band alikaa miaka miwili okk jazz,hata wimbo wake "ndaya"aliutunga kwa msaada wa Franco,hebu fwatilia
mpongo love alifariki 1994

M'pongo Love hajawahi kuimbia O.K. Jazz, ubishi wa nini? Ndaya ni wimbo wa Mayaula Mayoni, aliutunga na kumpa Mpongo aimbe katika bendi yake (bendi ya M'pongo).
 
M'pongo Love hajawahi kuimbia O.K. Jazz, ubishi wa nini? Ndaya ni wimbo wa Mayaula Mayoni, aliutunga na kumpa Mpongo aimbe katika bendi yake (bendi ya M'pongo).
narudia tena soma history mpongo aliimba OK jazz mwaka 1977 ubishi wa nn? som history ya okk jaz kwanza alaf rudi
 
M'pongo Love hajawahi kuimbia O.K. Jazz, ubishi wa nini? Ndaya ni wimbo wa Mayaula Mayoni, aliutunga na kumpa Mpongo aimbe katika bendi yake (bendi ya M'pongo).
narudia tena soma history mpongo aliimba OK jazz mwaka 1977 ubishi wa nn? som history ya okk jaz kwanza alaf rudi
 
Naifagiliaga hiyo Massu iliimbwa na Mdada mmoja hv Jollie Detta ila na yeye maskini nasikia alikufa na "Malade SIDA"
hahaha huyu alikuwa anagongwa na Franco akamwambukiza ngoma,aisee ngoma ilitafuna wengi kipind hicho,walioponea n kina madiluu,mangwana ,simaro lutumba na tabu ley huo.wimbo aliutunga akiwa okk jaZz
sida=ukimwi
kuna wimbo wa Franco unaitwa attention na sida aliutoa mda mchache kabla ya kufa
 
Back
Top Bottom