mkuu
lucas mobutu
mm n kijana ila ktk simu yangu nyimbo zangu 90%, n za Franco, aisee Jamaa alikuwa na nyimbo tamu wazee wananishangaa Mimi kijana napendaje nyimbo zao? kiukweli nilizipenda nyimbo za Franco kupitia radio moja ya Kenya iitwayo citizen walikuwa wana zitafsir nilizpenda kweli kweli
Franco alikuwa rafiki wa Mobutu lkn walikuwa wanakosana na kupatana
pia kuna kisa kimoja mwaka 1973 Franco na mdg wake walikuwa wanagombnia demu sasa mdg wa Franco akaamua kusafiri na huyo demu ktk gari mdg wa franco akaamua kuangusha gari maksud ili wafe wote lkn huyo demu alivunjka mguu ila Jamaa akafariki
Franco alipata ukimwi miaka ya 1980's na hawara yake alikuwa mwanamuzk ktk bendi ya okk jazz alieitwa mpongo love
Franco alikuwa anamiliki majumba hko Belgium na France
baada ya kutunga wimbo wa kumpamba Mobutu,Franco alipewa malori 6 kama zawadi
pia Mobutu alikuwa na vituko aliwahi chukua waganga wa kienyeji nchi nzma akasafiri nao na timu ya taifa ili ishinde lkn timu hiyo ilifungwa 7_0
baadhi ya nyimbo za Franco ni
matata ya mwasi
naloba nini
fabrice
Mario
mamuu
muongo na mulozo
cooperation
lisolo ya nzambe na adamu
fc Gabon
colonel bangala
republique du Zaire
azda
masuu
muya
liberte
arzon
1200 leters
kimpa kisangameni
ngungi
attention na sida
Franco alikuwa na albamu 150, na single 1200