THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,066
- 4,769
Huu uzi mtamu sana baada ya miaka mingi kupita na wote kuwa marehemu leo ndani ya jf nakutana na Lucas mobutu(akiwakilisha rais mobutu)wimbo azda awali ulikuwa tangazo LA biashara ambalo kampuni ya kuuza magari ya voxwagen waliipa OK jazz tenda ya tangazo
tangazo likanoga Franco akaligeuza wimbo hapo hapo.Franco kwakweli atabaki legend
na wewe bwana luambo makiadi (ukimwakilisha franco luambo makiadi)
Long live jf
umetisha mkuu