jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Mkuu mbona kama kuna vitu umepotosha kama sio kuviacha kabisa...???Hahaha,mkuu ,franco alipendwa sana na wazee enzi hizo,
Franco hakuwa na mahusiano mazuri na Mobutu na hii ni kutokana na kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali...,au mimi ndio sijui..??? Unakumbuka kile kisa cha Franco kufanya mapazia ya milango na madirisha ya nyumbani kwake kitambaa cha suit ya Mobutu..??? Ambacha Mobutu alikiona kama kitendo cha fedheha kwake...!!!
Unajua Franco hakwenda Ubelgji kwa kupenda mwenyewe bali ni kwa usalama wake baada ya kuwa na hali kutoelewana na serikalini ya Mobutu...???
Mkuu hebu tuletee Uzi ulioshiba na wenye historia ya kweli baina watu hawa maarufu sana kwetu sisi wahenga.
,mkuu ,franco alipendwa sana na wazee enzi hizo,
