Mkuu fatilia historia vizuri kwa wacongo watakwambia,,,pia soma articles
Jamaa mwanzoni mwa utawala wake madini ya congo yalikua na thamani kama vile diamond na copper
Wazungu waliwekeza pale congo nchi ikapata pesa,,marekani ilichmba madini ya silaha pale
Pia alipata misaada,,,nenda hata kinshasa uone mjengo aliyojenga,unajua zaire walikua na trading tower kama zile twin towers za marekani ?
Alijenga inga hydroerectric ,hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa afriça nzima sema tu saivi miundombinu imechoka
Alijenga hospitali ya kisasa pale kinshasa,alijenga gbadolite shule ya kisasa yenye mpaka computer lab wakati ule
Alitoa mikopo ya chuo kikuu kwa wanafunxi wote bure(sisi tz hili mpaka leo hatuwezi)
Alijenga recreation centers kuna sehemu inaitwa nsele ,kuna ma swimming poor na kadhalika watu waka enjoy,
Alifanya mengi