Uhusiano wa Franco na Mobutu

Uhusiano wa Franco na Mobutu

I see wewe ni mwongo sana. Tabu Ley hakufundishwa muziki na Franco wala hawakuwahi kuimba bendi moja. Tabu Ley alitoka band ya Grand Kalle wakiwa na Dr. Nico Kasanda wakaanzisha African Fiesta. Baadaye walitengana wakigombea hela.

Sanasana Franco na Tabu Ley walitoa album ya zing zong miaka ya 1980.
noted
 
Napenda wimbo wa vewe na azda veweee pia namuona Mobutu kama mvumilivu kwa kiasi flani na mwenye upendo
Ni kweli alifanya mazuri mengi mfano kila jumapili alienda kanisani na kuwakaribisha waumini kwake wakawa wanakula na pesa anawapa.
 
Mbona kuna mdau anasema MADILU alipaka poisonee kwenye mic yake....toka hapo Franco na kifua mpaka akadead?
Yawezekana kwa sababu historia za Africa kuna personal account nyingi sanaaa
Ila kwa mujibu wa simaro lutumba ambaye alikua vice president wa OK JAZZ franco alikua na tatizo la tumbo
Ila hata kifua inaezekana sababu kuna interview ipo huko utube anaongea kwa taabu mno
 
Mkuu fatilia historia vizuri kwa wacongo watakwambia,,,pia soma articles

Jamaa mwanzoni mwa utawala wake madini ya congo yalikua na thamani kama vile diamond na copper

Wazungu waliwekeza pale congo nchi ikapata pesa,,marekani ilichmba madini ya silaha pale

Pia alipata misaada,,,nenda hata kinshasa uone mjengo aliyojenga,unajua zaire walikua na trading tower kama zile twin towers za marekani ?

Alijenga inga hydroerectric ,hii ina uwezo wa kuzalisha umeme wa afriça nzima sema tu saivi miundombinu imechoka

Alijenga hospitali ya kisasa pale kinshasa,alijenga gbadolite shule ya kisasa yenye mpaka computer lab wakati ule

Alitoa mikopo ya chuo kikuu kwa wanafunxi wote bure(sisi tz hili mpaka leo hatuwezi)

Alijenga recreation centers kuna sehemu inaitwa nsele ,kuna ma swimming poor na kadhalika watu waka enjoy,

Alifanya mengi
Pia alimwezesha Casius Clay (Muhammad Alli) atoke Marekani aende kupigana ngumi kwenye 'jungle' mwaka 1974.
 
Ni kweli alifanya mazuri mengi mfano kila jumapili alienda kanisani na kuwakaribisha waumini kwake wakawa wanakula na pesa anawapa.
Mobutu alikuwa dikteta katili mno Aliua wengi mno,hiyo ya kanisani ni kuzuga tu
Aliijeuza congo kama geto lake
 
Kivip mkuu...nimetoka kucheki his final days YouTube, anasema yy hana ngoma na akifa basi wampime!....ila alikuwa ameisha!
Nadhani wakati huo watu walikua wanapima kwa macho, unajua Franco alikua bonge la mtu sasa katika siku zake za mwisho alikua amepungua uzito na mwili kwa kiasi kikubwa na akawa amedhoofika na kuchoka hata jukwaani katika live performance alikua akikaa kwenye kiti. Inawezekana pia ikawa ni sukari nahawakuigundua au kuicheki kabda maana nayo hua inamkongoroa mtu, nakumbuka marehemu Marijani nae alikuja kugundulika kua anakisukari when it was too lake na alikua amedhoofika sana mwili
 
Back
Top Bottom