Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Nikajua UKAME wa kuloweka ze dyudyu...Hapo tusinge elewana..leo kampango kangu kamekaa vyema sana...
 
Nikajua UKAME wa kuloweka ze dyudyu...Hapo tusinge elewana..leo kampango kangu kamekaa vyema sana...
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umechapia lakini naamini ulitaka kusema ULIDHANI
[emoji43] [emoji43] [emoji43] sawaaa simu Kuna Wakati inaandika kipare atii
Na muda mwingine matusi [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Reactions: MC7
Ingekuwa rahisi hivyo basi uchawi ungekwisha. rejea tukio la Kenya juzi kati hapa, alienunua ndimu ktk kisa cha nyuki tayari watu wasubiri40 za hitima waendelee na yao
 
Reactions: MC7
Ingekuwa rahisi hivyo basi uchawi ungekwisha. rejea tukio la Kenya juzi kati hapa, alienunua ndimu ktk kisa cha nyuki tayari watu wasubiri40 za hitima waendelee na yao
Kumbuka lile ni tukio la mchana na yule marehemu RIP alitaka kuingilia mambo ya watu
 
Hata mimi nilidhani hivyo lakini nimeelewa sasa,Mkuu Mshana amepatia kabisa ,NDIMU sio mchezo sababu sisi kwetu wote tuliwekewa ndimu chini ya mto wakati tumezaliwa mpaka tunakua,na mauzauza sijui ndoto mbaya zoote kwishney marabuku.
Aisee safi sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…