Ugenini kuna kunguni, sijui nifanye nini!

Ugenini kuna kunguni, sijui nifanye nini!

Napendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!

I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
We kiboko unafaa kuwa mbunifu, believe me
Lady gaga alitengeneza perfume ya blood and semen lakini alisema unapojipuliza unakuwa umejipulizia yeye maana alitumia damu yake.
Na alisema the perfume would smell like expensive hooker [emoji3]
Rather than blood and semen
 
Dah .... sometimes ukila cha Arusha na njaa ile stim inakufanya uone maruweruwe...kuna siku jirani yangu kaniamsha usiku wa manane eti kuna nyuki nyumbani kwake [emoji13] [emoji13]
 
Pia wana kaugonjwa hao kunguni, sijui wanaitwa kwa kiinglish,soma ukipata muda
 
Mtoa mada umenikumbusha mbali.
Nilikuwaga tu nawasikia ila kuna sehemu nilienda nilikoma.
Ilikuwa ni mwendo wa kukesha mana hakulaliki halafu sikujua hilo ndo tatizo.
Nilipowaeleza wenyej wakawa wananishangas nakuniambia labda naumwa au joto mana mimi nilitokea mkoa wenye baridi.
Siku hiyo wakasuggest godoro litolewe nje lipigwe jua labda ndo tatizo ila kufika usiku mwendo uleule.
Cha ajabu nalala na wenzangu wao wanalala ila mimi nawashwa nang'atwa sijui halafu usingizi sipati.
Nikiamka asubuhi nimevimba mwili wote.Najikuna balaa
Kesho yake nkaona huu ujinga huu bora nijiondokee zangu mana kila siku mimi wakukesha tu.
 
Nahisi kuna mtu aliwahamishia ghetto, yaan ghafla wameibuka kwa kasi ya ajabu....sio kila mwanamke anatakiwa kulala kwako aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole
 
We kiboko unafaa kuwa mbunifu, believe me
Lady gaga alitengeneza perfume ya blood and semen lakini alisema unapojipuliza unakuwa umejipulizia yeye maana alitumia damu yake.
Na alisema the perfume would smell like expensive hooker [emoji3]
Rather than blood and semen
Thanks bro for your appreciation...my potential and ability always go anonymously sabab watu wanaonijudge wanakosa that's creativity perspective. I liked it umekuwa tofauti.

Nitatengeneza hata nikiwa alone maana nimegundua watu wengi wanapenda unique aroma and fragrance.

Peace!
 
hahahahahaaa pole sana jamaa yangu vumilia kwani uja mshirikisha mtu hata mmoja. ukilala lala na boxer na ukitoka kuoga ussivae chagua boxer moja au nguo moja kwa ajili ya kulalia tu. ukiamka unaivua unavaa safi

Jaribu kufikiri kwa kina.
Kunguni hats kama umelewa pombe inakata sasa unamwambia alale, atalalaje SAS ilihali anang'atwa??.
 
Thanks bro for your appreciation...my potential and ability always go anonymously sabab watu wanaonijudge wanakosa that's creativity perspective. I liked it umekuwa tofauti.

Nitatengeneza hata nikiwa alone maana nimegundua watu wengi wanapenda unique aroma and fragrance.

Peace!
Well done bro. Napenda ubunifu ulio tofauti kama ulivyoeleza maana kila wakati huwa naangalia strange things and weird stuff na kuona watu wanavyobuni vitu,
Natumaini utakuja siku moja ufanye kweli
Thanks bro for your appreciation...my potential and ability always go anonymously sabab watu wanaonijudge wanakosa that's creativity perspective. I liked it umekuwa tofauti.

Nitatengeneza hata nikiwa alone maana nimegundua watu wengi wanapenda unique aroma and fragrance.

Peace!
Well done bro. Napenda ubunifu ulito tofauti kama ulivyoeleza maana kila wakati huwa naangalia strange things or
 
Napendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!

I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
He!!!!!!![emoji15]
 
Sasa ndugu yangu, akilala uchi ataongeza kiwango cha kufyonzwa.

Pia baadhi ya wadudu wanaweza kupenya kwenye uwazi wa nyuma kujitafutia makazi zaidi.

Au wewe humuonei huruma nduguyo kwa kumshauri alale uchi?.
Watu mna vituko JF!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom