Wee jamaa umenichekesha sana.Kuingia mtupu nyumba zenyewe za kupanga...unaweza kuhisiwa vibaya[emoji13] [emoji12] [emoji3]
Sio kwa watanzania sisi.Waite watu wa fumigation ili wawapulizie dawa na kuwaua hao kunguni, utakuwa umemsaidia sana mwenyeji wako lakini pia na wewe utapata nafasi ya kufanya kazi iliyokupeleka huko
Sasa ndugu yangu, akilala uchi ataongeza kiwango cha kufyonzwa.Kimsingi vumilia sana na pia nakushauri bora uwe unalala uchi ili kuepuka kuhama nao baada ya ugeni wako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa ndugu yangu, akilala uchi ataongeza kiwango cha kufyonzwa.
Pia baadhi ya wadudu wanaweza kupenya kwenye uwazi wa nyuma kujitafutia makazi zaidi.
Au wewe humuonei huruma nduguyo kwa kumshauri alale uchi?.
Unamaanisha kunguni wanauwezo kuingia kupitia ule mtandao pendwa wa tigo na kufyonza damu?Sasa ndugu yangu, akilala uchi ataongeza kiwango cha kufyonzwa.
Pia baadhi ya wadudu wanaweza kupenya kwenye uwazi wa nyuma kujitafutia makazi zaidi.
Au wewe humuonei huruma nduguyo kwa kumshauri alale uchi?.
Akijaribu tu kulala uchi imekula kwake.Unamaanisha kunguni wanauwezo kuingia kupitia ule mtandao pendwa wa tigo na kufyonza damu?
Hao kunguni n lazima uwahamishie kwako. Kama unataka wasihamie kwako,choma nguo zote ulizoenda nazo na usizingize ndani