Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,769
- 22,060
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125]Akijaribu tu kulala uchi imekula kwake.
Simshauri kabisa kufanya hivyo.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125]Akijaribu tu kulala uchi imekula kwake.
Simshauri kabisa kufanya hivyo.
we nae usituletee mashauzi ya kiboya hapa, huwajui kunguni wewe?? au tu ni kwakuwa uko behind the keyboard?Hivi kweli kuna kitu kunguni ama ni myths tu? Yani siamin
teh kwa hiyo jamaa keshatekeleza ushauri
Mkuu mimimkulala hapo usiku mmoja siwezi naenda kukaa sebuleni, unaposema asikae siku nyingi hizo chache atakuwa analala wapi?Maana yake nikwamba usikae siku nyingi hapo, rudi kwako.
mkuu haki ya nani siwajui na sijawahi kuwaona nasidhan nitawahi kuwaonawe nae usituletee mashauzi ya kiboya hapa, huwajui kunguni wewe?? au tu ni kwakuwa uko behind the keyboard?
Unaweza kuwa hujawahi kuwaona ila usiongelee lijalo.....unaweza kuwa rafiki zako ndg siku zijazo,nahisi unaongea hivyo kwa kuwa unaziona mali za baba au mama......haya maisha tu....binafsi kwa macho hivi hata mimi cwajui kunguni zaidi ya kuona ktk picha ila maisha ya kivyanguvyangu ctashangaa one day nikikumbana na saga hilo.mkuu haki ya nani siwajui na sijawahi kuwaona nasidhan nitawahi kuwaona
Waite Polisi, meza valium au kama vipi lala ila nguo hizo usichanganye na nguo zako ukirudi kabla ya kuzipa "tiba kuntu"...Nashindwa kuelewa hii nyumba niliyofikia hawa wenyeji wangu wanapata vipi usingizi. Kunguni niliowaona baada ya kulinyanyua godoro ni wengi utadhani mchanga umemwagwa hapo kitandani!
Siwapendi kwa usumbufu wao lakini pia unaweza kuaibika mbele za watu unakuta dudu limeshiba halafu linatembea kwenye nguo zako tena shati jeupe. Naona noma hata kumwambia jamaa kwa jinsi anavyokuwa akijipaisha. Wasiwasi wangu nisije nikatoka na mbegu hapa.
Nifanyaje?
labda ni dawa kwao huwezi jua hahahahaaaaaaaaaaaKwani hao jamaa hawaoni hao Kunguni au wenyewe hawawadhuru?
ha hahah mkuu nimewaza wakuume kwenye korodani na kichwa cha chini unajikunaje ?Kimsingi vumilia sana na pia nakushauri bora uwe unalala uchi ili kuepuka kuhama nao baada ya ugeni wako.
You made my day tena Hatua 30 kabla ya kufikia mlango, asalure kila kitu.....😀ukifika home kwako vua kila kitu nje ingia uchi ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora iwe hvyo kuliko kuhama nao.ha hahah mkuu nimewaza wakuume kwenye korodani na kichwa cha chini unajikunaje ?
ha hahahaSasa ndugu yangu, akilala uchi ataongeza kiwango cha kufyonzwa.
Pia baadhi ya wadudu wanaweza kupenya kwenye uwazi wa nyuma kujitafutia makazi zaidi.
Au wewe humuonei huruma nduguyo kwa kumshauri alale uchi?.
aingie kama alivyozaliwa kama anabafu la njee ajipige na maji kapisaYou made my day ten Hatua 30 kabla ya kufikia mlango, asalure kila kitu.....😀