Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Ni harufu nzuri saana..wewe tuliza akili then nusa kwa utulivu.Mhhhh harufu mbaya sana[emoji16]
Ni harufu nzuri saana..wewe tuliza akili then nusa kwa utulivu.Mhhhh harufu mbaya sana[emoji16]
Hv utalalaje na.boxer tuu wakat kuna.kunguni,wanasumbua wale jamaa.balaaa,ubavuni,kwenye vidole...hakika ukiweza kusinzia ww n.shujaahahahahahaaa pole sana jamaa yangu vumilia kwani uja mshirikisha mtu hata mmoja. ukilala lala na boxer na ukitoka kuoga ussivae chagua boxer moja au nguo moja kwa ajili ya kulalia tu. ukiamka unaivua unavaa safi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mmh! kama una ujauzito ni sawaNapendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!
I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
Nenda.mabibo.hostel mkuu.sujui km.bado wapo..wale viumbe hawafai unakesha..yaan ilibd smtym.unalala umechokea shat la Mikono mirefu,na miguun unavaa soksi ili usinzie kesho uwai mtihan..maana unaweza kukesha,hata ulale chin wanafwata,ukilala juu ya meza wanafwata....sina.hamu,ila naona.wapo pwan,ukiwa.mchafu plus.joto n sheedaHivi kweli kuna kitu kunguni ama ni myths tu? Yani siamin
Kwenye dormitory yetu tulikuwa tunawaita taxi driver au diffenda au wakaguzi.Dah umenikumbusha shule Fulani hv boarding
Hawa wadudu hawafai ,ukijiegesha tu kitandani unao halafu wajanja kinoma
Hawa defender wasikie tu mie nilihama chumba kbs nilikuwa nalala kwenye meza darasani
Kunguni usiombe ase
Ntake radhi![emoji15] [emoji15] [emoji15] mmh! kama una ujauzito ni sawa
Nimecheka sana mkuuKwenye dormitory yetu tulikuwa tunawaita taxi driver au diffenda au wakaguzi.
Sio kuhisiwa vibaya tu,kuna nyumba zingine zimezindikwa ikipita uchi mtu mzima utachezea mikwaju pasipokujua akutandikae.Wee jamaa umenichekesha sana.Kuingia mtupu nyumba zenyewe za kupanga...unaweza kuhisiwa vibaya[emoji13] [emoji12] [emoji3]
hahahaaaa!!we kesho toa godoro nje!!.
Kunguni sio kabisa...ni ishara ya uchafu!
Hahahahatabu ya kunguni ukihama nae 1 tu hahahahah baada ya miez unakuwa nao maelfu, wapuuzi sana hao jamaa.
duh!!Napendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!
I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!