Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,193
- 21,335
Watasituka badae sanaWizara ya afya Uganda imetangaza Visa vipya 31 vya Covid 19 baada ya sampuli 1,116 kupimwa na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253, wagonjwa 23 ni kutoka mipakani kati yao 20 ni madereva wa malori ambapo 16 ni Watanzania na 4 Wakenya, wote wamekabidhiwa katika nchi zao. Kwanza TV on Twitter
Kuwa wanapoteza muda kwenye ugonjwa wa mafua mtu anaugua na kupona mwenyewe then anaugua rena
Wanazidi kupoteza pesa za bure
Kuna wahuni wananufaika na hio fursa mpaka raisi wao asituke its too late