Ugali ni chakula cha kimasikini

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo! No research no right to speak! Akili za kuambiwa changanya na za kwako! Ugali ndio chakula kikuu kwa sehemu kubwa ya Tanzania iwe wakati wa njaa au wakati mwingine wowote,Mleta mada inawezekana kalishwa sana ugali tu tangu akiwa mdogo bila mchanganyiko wa vyakula vingine hali ambayo imepelekea akili yake kuwa pumbafu hivyo uwezo wa kung'amua mambo kuwa mdogo.
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
fastjet alisema changanya na zakwako wewekibaraka mkubwa wa wamarekani! Soma vitabu kuhusu lishe, sio kila afanyacho mmarekani ni sahihi. Ndio nyie mnatumbukia kwenye ushoga kisa marekani unaruhusiwa
 
Inaelekea uliacha hela ya chapati maini ukakuta ugali na kiporo cha maharage.. Af kwenye tv likapita tangazo la wali mboga mboga na roast ya kuku af kwa jirani ako anakaanga sato wenye vitunguu swaumu na makashda mengine..cheza nin hapo lazima network connection error ..hahhaaasikwambie mtu, mtu unapika tuugali twako na tudagaa twako ukatuweka tundimu af ukatupia tembele pembeni parachichi..aiseeeee ao wamarekani wakafie mbele uko..Yani nyumbani nyumbani tuu,namiss kwetu jamn..dahh mtu unanunua dagaa packed,lemon readmade, ugali fufu, izo organic tuu bei zake lazima ugeuke..uwii e tena ata amna tembele
 
mmnh hizi beef za wanadiaspora moto wake kuuzima ni difficult,unaongea na watu marekani wameisikia kwa watu watakulewaje wewe uliyeenda physically????
 
hii mada imenifanya nimkumbuke Lecturer wetu wa Biochemistry, Dr Nyamb, MUHAS 2002, alivyokuwa akifundisha carbohydrate na kuponda rice (mchele) na jinsi unavyochangia kudumaza watu na kupelekea kupata avitaminosis!!

wee endelea tu kudharau ugali, haina kwere hata sie hatuumind sana ubeche kwa taarifa yako
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Hapo kwenye red sikatai

Hapo kwenye green naomba kuuliza, maana kama inasemekana maana yake kuna ka-research kalifanyika, swali langu ni Je, hako kautafiti Tukuyu na Mbeya kwa ujumla zilihusishwa?
 
Jamani kuna vyakula vinaitwa conrnflakes, popcorn hivi pia SIO VYA WATU maskini.JE Vinatengenezwa na mahindi.wanapokula wamekuwa mifugo na wao?. NIJUAVYO UFUKARA UNAPELEKEA WATU KUSHINDWA KULA BALANCE DIET NA MATOKEO YAKE WANAISHIA KULA VYAKULA DUNI KWA VIINILISHE(NUTRIENTS) HIVYO HATA AKILI YA MTOTO YAWEZA KUDUMAA.

PIANimewahi skia kwamba ugali una madhara ya kuleta kansa, hii inatokana na nyundo za mashineni(wasaga mahindi wanazielewa hizi nyundo)zinazotwanga mahindi kuwa hunga kabla unga haujachujwa na chekeche. Zinapolika na kuisha kiasi cha kubadilishwa na kuwekwa nyingine, na ule unga wa chuma unaotokana na hizi nyundo kulika unajichanganya kwenye unga wa ugali. Nadhani hapo ndipo mlaji anapoweka afya yake hatarini kwa kuwa na uwezekano wa kula ugali wenye chembechembe (particles) za vyuma vya mashineni. Tatizo hili haliwezi kutokea kwa mchele kwani wenyewe unakobolewa kisha utaoshwa hivyo zitaondoka.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo! No research no right to speak! Akili za kuambiwa changanya na za kwako! Ugali ndio chakula kikuu kwa sehemu kubwa ya Tanzania iwe wakati wa njaa au wakati mwingine wowote,Mleta mada inawezekana kalishwa sana ugali tu tangu akiwa mdogo bila mchanganyiko wa vyakula vingine hali ambayo imepelekea akili yake kuwa pumbafu hivyo uwezo wa kung'amua mambo kuwa mdogo.

Jamani kuna vyakula vinaitwa conrnflakes, popcorn hivi pia nSIO vya WATU maskini. Vinatengenezwa na mahindi. JE WAZUNGU wanapokula wamekuwa mifugo na wao?. SIDHANI
UFUKARA HUPELEKEA HATARI YA MTOTO KUSHINDWA KUPATA LISHE BORA YENYE VIINI LISHE(NUTRIENTS) HIVYO KU-ATHIRI UBONGO WAKE.

PIA KUHUSU UGALI, Nimewahi skia kwamba ugali una madhara ya kuleta kansa, hii inatokana na nyundo za mashineni(wasaga mahindi wanazielewa hizi nyundo)zinazotwanga mahindi kuwa unga kabla unga haujachujwa na chekeche. Zinapolika na kuisha kiasi cha kubadilishwa na kuwekwa nyingine, na ule unga wa chuma unaotokana na hizi nyundo kulika unajichanganya kwenye unga wa ugali. Nadhani hapo ndipo mlaji anapoweka afya yake hatarini kwa kuwa na uwezekano wa kula ugali wenye chembechembe (particles) za vyuma vya mashineni. Tatizo hili haliwezi kutokea kwa mchele kwani wenyewe unakobolewa kisha utaoshwa hivyo zitaondoka.
 
Acha ungese ww,wife hapa blonde na ana senti ya kutosha.anagonga ugali mpaka kaota kitambi
We ndo maskini uliyefika marekani kibahati bahati puss,paka,:banghead:nyau
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Hapa huniambii kitu. Mimi na ugali tu mpaka kieleweke. Wazungu wa ulaya na marekani watakuwa ni binadamu wa kwanza kufutika kwenye uso wa dunia muda si mrefu kwa sababu ya wanachoita wao kuwa ni maendeleo. Hawazai matokeo yake wazee ni wengi kuliko vijana na watoto, wanashabikia ushoga ambao hausaidii sana kutatua tatizo lao la vizee kuengezeka bila kuwa na vijana wa kuchukua nafasi zao watakapokufa, na sasa wana matatizo makubwa ya kiuchumi. Kwa sababu kwa ujinga wao walipeleka teknolojia yao nchi za asia yaani uchina, India na nchi nyinginezo na muda ziyo mrefu watoto wao waliobaki watakuwa wakienda asia kujifunza kutengeneza magari, watoto wao wengi hawawezi tena kusoma masomo ya sayansi na hisabati utawakuta wengi wakisoma literature, language na masomo kama hayo matokeo yake hivi sasa madaktari na ma-engineer wengi wanaofanya kazi ulaya wanatoka asia.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo! No research no right to speak! Akili za kuambiwa changanya na za kwako! Ugali ndio chakula kikuu kwa sehemu kubwa ya Tanzania iwe wakati wa njaa au wakati mwingine wowote,Mleta mada inawezekana kalishwa sana ugali tu tangu akiwa mdogo bila mchanganyiko wa vyakula vingine hali ambayo imepelekea akili yake kuwa pumbafu hivyo uwezo wa kung'amua mambo kuwa mdogo.

Siyo Tanzania tu nenda Zambia (sima), Kenya, Malawi na South Afrika (pap) ugali unatawala na unaliwa na wananchi wa vipato vyote.
 
Ugali wa Dona ndo wenyewe kwa afya ya ubongo wako kongosho zako zinahitaji juice iyokanayo na nafaka zisizokobolewa ukila sembe unajaza mwili uchafu na pia unadumza akili yako asilimia kubwa ya waliofeli form 4 wanakuka sembe kichwani ni maboyaaaa mazuzu
 
Back
Top Bottom