Ugali ni chakula cha kimasikini

Nimekaa nje Kwa muda wa kutosha,nilikuwa nikienda market basket nanunua sembe yangu na kujipikia ugali wangu though honestly wao wazungu ugali si culture yao na naweza Sema hawaujui kabisa.
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Ndugu, achana na mawazo ya kishetani. Hapa hakuna ulinganifu wowote. Pili tumetofautiana sana na Wamarekani. Hivyo ukututendea haki.
 
.hata walter rodney alisema tofauti ya watusi na wahutu ilianzia kwenye vyakula, watusi walaji wa vyakula kama nyama a.k.a. rich food na kufanya miili yao ipande, maziwa huku wahutu wakila mahindi na nafaka zingine a.k.a poor food na kuwa wafupiwafupi
 
uchizi unaanzaga ivi ivi
mpenzi wangu kazaliwa na kakulia houston Tx
lakini kuja bongo ka data na ugali
 
Ndugu, achana na mawazo ya kishetani. Hapa hakuna ulinganifu wowote. Pili tumetofautiana sana na Wamarekani. Hivyo ukututendea haki.

Bwana /Bibi Nyamuleha jr umeandika

By Nyamuleha jr Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

wasiokula mara nyingi hupelekea kuoana kwa jinsia moja , kwekwekwkekekkkke
 
Inaelekea uliacha hela ya chapati maini ukakuta ugali na kiporo cha maharage.. Af kwenye tv likapita tangazo la wali mboga mboga na roast ya kuku af kwa jirani ako anakaanga sato wenye vitunguu swaumu na makashda mengine..cheza nin hapo lazima network connection error ..hahhaaasikwambie mtu, mtu unapika tuugali twako na tudagaa twako ukatuweka tundimu af ukatupia tembele pembeni parachichi..aiseeeee ao wamarekani wakafie mbele uko..Yani nyumbani nyumbani tuu,namiss kwetu jamn..dahh mtu unanunua dagaa packed,lemon readmade, ugali fufu, izo organic tuu bei zake lazima ugeuke..uwii e tena ata amna tembele

Umeona eeee....
 
Chakula ni utamaduni na kwetu sie ugali ni utamaduni wetu kama vip wewe kale burger utamaduni wa wenzako
 
Corn flakes,inaliwa sana marekani. Inatengenezwa kwa mahindi.
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Pamoja na utafiti wako ila nikikusupport nitakuwa nanajisi mlo ulionikuza tokea utotoni till sasa nishakakamaa kidevu...nadhani kufubaa kwa akili kunachangiwa na athari za kimazingira zaidi...Ugali ni kitu kingine bwana
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
Nyambaf weeh;.. tumekulia kwa ugali na maharage halafu unasema hatuna akili? Maskini,.. sawa sibishi, lakini eti hatuna akili wakati kina lukuvi na sofia simba wanaendesha nchi yetu swafi tu! Aiseeh,..wacha utani bana!
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Mi kuna mkenya aliniambia kula sana ugali unafanya watu wanakuwa na sura mbaya akaniambia kwa wao kenya ukiangalia makabila ambayo their main food ni ugali huwa na sura ngumu na mbaya. sasa sijui kama kuna ukweli wowote.
 
Tumia chakula kitokanacho na ngano na utakuwa na akili sawa na wazungu,utalala kitanda kimoja na mbwa,utawabusu mbwa,utaongea na mbwa na utamfanya mbwa ndio kila kitu hakuna mwandani na rafiki kama madog!

Bro uko sawa sana! wapenda vya udhunguni baga sijui piza,igeni tu mpaka.....@
 
kwetu hapa ni chakula cha kimaskini lakini sehem zenye njaa kali kama jiran zetu kenya kupata ugali ushukuru!
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo

Nyamuleha Jr, tangu uzaliwe hadi leo umefanya maendeleo makubwa sana lazima nikupongeze kwa hilo. Pia nikupongeze kwa utafiti kama sikosei labda niite kwa kuichambua japo kwa kifupi mada hii kuhusu ugali. Jambo uliloandika ni zito sana katika maisha ya binadamu hususani Mwafrika ua ugali wake. Uhakika nilionao ni hivi, wewe ulikulia maisha ya ugali ni juzi tu umeachana na ugali au unataka kupata michango ya wanajamvi kuhusu ugali. Kilichomo humo ni wanga, mafuta nk. Kama ni hivyo tujadili wewe mwenyewe jitambue akili hizo ni ugali???
 
ni kweli ugali ni chakula cha maskini, na ni kweli kinadumaza akili kama uamini fuatilia faly nyingi za wala ndizi, wengi wao wanaakili wana upendo, hawana jaziba ngozi zao nzuri sana, kama huamini nenda kule simiyu uangalie ngozi za wakina dada na wakina mama wamekomaa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom