Ugali ni chakula cha kimasikini

Karibu Ugali Ngosha - neyo vabehi hiiii !!! - tulemila gete !!

1138078
 
Mkuu. Nijuavyo mimi, ukila ugali wa mahindi yaliyokobolewa hapo unakuwa unajaza tumbo tu, kwa sababu vile viini ambavyo vina protein, fat, other vitamiz, vinakuwa vimetoka.
Lakini ukila ugali wa dona, hapo hakuna tatizo. Ndio maana kwa kuona hivyo, kuna ishu ya kitaifa inakuja ya kuweza ku Fortify unga mweupe/uliokobolewa.
Kuna dossing/dosifier itakuwa inafanyika viwandani au kwenye milling machines, ili kuweza ku suppliment upungufu wa virutubisho.
Hivyo virutubisho watakuwa wanatuletea wenyewe wazungu kupitia BASF.
Hatari ninayoiona mbeleni wasije wakatufanya tukawa maanithii au mapungaa....
Sehemu fulani hivi hivo viini lishe nikashangaa sana ivi Watz tumelogwa na nani mpaka hawa wasio tutakia mema watuletee hivyo viini hii ni hatari kabisa.
 
Pamoja na utafiti wako ila nikikusupport nitakuwa nanajisi mlo ulionikuza tokea utotoni till sasa nishakakamaa kidevu...nadhani kufubaa kwa akili kunachangiwa na athari za kimazingira zaidi...Ugali ni kitu kingine bwana
Mleta mada yupo sahihi ndo maana kila mwaka mnaishabikia CCM akili zenu zimedumaa
 
Nyambaf weeh;.. tumekulia kwa ugali na maharage halafu unasema hatuna akili? Maskini,.. sawa sibishi, lakini eti hatuna akili wakati kina lukuvi na sofia simba wanaendesha nchi yetu swafi tu! Aiseeh,..wacha utani bana!
Nchi hii tamu sana hata wa std 7 anaongoza tu hilo ni sababu ya lishe duni, haiwezekani aliye nakadegree aongozwe na darasa la saba ni upuuzi mkubwa
 
Chakula ni utamaduni wa mahali husika, na sio swala la hadhi.
Ugali sio utamaduni wa wazungu.
Wao wanapenda chakula ambacho kinaweza kuliwa peke yake kwanza.
Mfano wali ukiula peke yake una utamu flani.
Ugali ukiula peke yake yaani bila mboga unakuwa sio mtamu.
 
Inawezekana kabisa maana nina uhakika Bashite ndio chakula chake kikuuu mzee angalia akili yake........
 
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
hii ni sayansi,falsafa au imani?
 
Back
Top Bottom