Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

tangu lini israel imekuwa nchi ya kiislam, au ulimaanisha iran/iraq? israel ni nchi ya kiyahudi/zayuni na hizo nchi za kiislam ni maadui zake, zingine zilipigwa zikashindwa ikabidi zitiliane saini mikataba ya amani. Makundi mengi ya kigaidi duniani ni ya kiislam. Wapi ulisikia kuna makundi tishio ya kigaidi duniani yanayojinasibu ni ya kikristo, christian state? Wapi ulisikia wanamgambo wa kikristo? Chokochoko zipo kwa waislam tu wakristo hawana mambo ya shari na ugomvi, ni wapole na wanyenyekevu
Nilikusudia Palestine
 
tangu lini israel imekuwa nchi ya kiislam, au ulimaanisha iran/iraq? israel ni nchi ya kiyahudi/zayuni na hizo nchi za kiislam ni maadui zake, zingine zilipigwa zikashindwa ikabidi zitiliane saini mikataba ya amani. Makundi mengi ya kigaidi duniani ni ya kiislam. Wapi ulisikia kuna makundi tishio ya kigaidi duniani yanayojinasibu ni ya kikristo, christian state? Wapi ulisikia wanamgambo wa kikristo? Chokochoko zipo kwa waislam tu wakristo hawana mambo ya shari na ugomvi, ni wapole na wanyenyekevu
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish
 
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish

Hazijakaliwa sababu non muslim countries zina nguvu kubwa kijeshi kuliko za kiislam.

Kama nchi za kiislamu zingekuwa na nguvu kama USA, China , Russia , UK etc

Wangezivamia nchi za non muslim na kuzilazimisha zifate maisha ya kiislam

Walijaribu kufanya hivyo kwa Israel miaka ya 1940s wakala kichapo cha kufa mtu toka hapo nchi za kiislam zikanywea kabisa
 
Sasa na huyu unaambiwa ndiye msomi wa juu wa elimu dunia kwenye hiyo dini,jiulize kama huyu anakuwa na akili mgando kiasi hiki wale darasa la saba au form four failure watakuwaje?
we unaakili gani . ? nyie mna elimu za kukariri ndoomaana hata sindano tunaagiza nje
 
Wizara ya Elimu imetangaza kuwa Kanuni hiyo inatarajiwa kuanza kutumika Mwaka mpya wa masomo unaoanza Septemba 4, 2023 katika shule zote za Serikali.

Waziri wa Elimu, Gabriel Attal amesema "Unapoingia darasani hautakiwi kumtambua Mwanafunzi kwa imani yake ya dini kwa kumuangalia, nimeamua Abaya hazitavaliwa tena shuleni."

Aidha, Ufaransa imepiga marufuku alama za Kidini katika Shule n Majengo ya Serikali kwa maelezo kuwa zinakiuka Sheria.


####

France to ban female students from wearing abayas in state schools
Published

Students will be banned from wearing abaya, a loose-fitting full-length robe worn by some Muslim women, in France's state-run schools, the education minister has said.

The rule will be applied as soon as the new school year starts on 4 September.

France has a strict ban on religious signs in state schools and government buildings, arguing that they violate secular laws.

Wearing a headscarf has been banned since 2004 in state-run schools.

"When you walk into a classroom, you shouldn't be able to identify the pupils' religion just by looking at them," Education Minister Gabriel Attal told France's TF1 TV, adding: "I have decided that the abaya could no longer be worn in schools."

The move comes after months of debate over the wearing of abayas in French schools.

The garment has being increasingly worn in schools, leading to a political divide over them, with right-wing parties pushing for a ban while those on the left have voiced concerns for the rights of Muslim women and girls.

"Secularism means the freedom to emancipate oneself through school," Mr Attal told TF1, arguing the abaya is "a religious gesture, aimed at testing the resistance of the republic toward the secular sanctuary that school must constitute."

He said that he would give clear rules at the national level before schools open after the summer break.

In 2010, France banned the wearing of full face veils in public which led to anger in France's five million-strong Muslim community.

France has enforced a strict ban on religious signs at schools since the 19th Century, including Christian symbols such as large crosses, in an effort to curb any Catholic influence from public education.

It has been updating the law over the years to reflect its changing population, which now includes the Muslim headscarf and Jewish kippa, but abayas have not been banned outright.

Source: BBC
Naunga mkono hoja
 
Kurudi Uarabuni Labda uwaue. Hawapo tayari kabisa kurudi kwenye nchi zenye sheria za Kiislam.

Wanapenda sana maisha ya Secular Countries au Christian majority countries.
sasa kama wanapata kibali cha kuishi huko waheshimu sheria za wenyeji wao. Waspeleke imani yao ya ajabu kwa wenyeji
 
Mbona umepaniki mkuu na mapovu yote haya?

Tatizo ni Ufaransa au tatizo ni nini?
Vumilia tu..

Kama mnaona Ufaransa inawatesa, njia rahisi ni KUONDOKA Nchini kwao mrudi Iran na Pakistan... Hamna aliyewalazimisha kuishi Ufaransa, ni kiherehere chenu tu
Yaani hapa umegonga white house.Bonge ya mawazo.Kweli si waende Saudi Arabia kule watavaa Abaya mpaka Chooni.
 
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish
Mliwahi kuziweka nchi kama Hispania, Portuguese etc chini ya utawala wenu au haukumbuki
 
Back
Top Bottom