Mkuu naomba unitag huo uziLakini mshanajr, mbona law of attraction nyingi zinasisitiza ku meditate, na kwamba lazima uanze kwa ku meditate ndio u visualize unachokitaka..... Pia kuna uzi mmoja wa astral projection jamaa kasema meditation ni mapepo, yeye yalimuigia alipokua huko sikumbuki nchi aloenda akayapata.
Mnakomaa hakuna dini ya kiarabu..... una ushahidi kama hakuna dini ya kiarabu?Hakuna dini ya kiarabu duniani."USIPOTOSHE"
What we eats defines us for it build us...
Dah noma saaana huko youtube wa amerika na wazungu wana campaign saaana mambo za giza kwa kuficha codes chief.....yaani darker ballaaaa
Kaka mkubwa nakuja !CC : Zurri
Je ni alama gani niwe nachanganya ili niwe najaza hela kwenye mabegi yangu matatu makubwa.....?

Hahahaahasitapatwa na kitu chochote kibaya mkuu....maana tahadhari kabla ya hatari
changanya fedha begi moja na la pili karatasi kisha uzilalie bila kukohoa kwa siku saba ukijafungua begi la karatasi nazo zitakuwa fedha anza leo.

Ngoja nikae kidogo hapa nipate elimu ya kiafrika