Ufahamu uchawi wa Sigil

Ufahamu uchawi wa Sigil

hivi kwanini WACHAWI WANAKUWAGA MASKINI WA KUTUPWA..il hali wanaweza kufanya watakavyo kuhusu pesa....mfano wa kilokote...kukusanya pesa kwa njia yaa shirki.....sasa hizo pesa kwaninj wasijitajirishe,wao wanazama zaidi kwenye ufukare...???...
Uchawi wa kishamba ndio wa kimaskini ila ukichanganya namambo mengine ngoma inayotoka hapo ni hatari kimsingi wachawi wengi wanaofanya combination ni matajiri wakubwa ila huwezi kuwajua kwakuwa hawahitaji kukaa na mizigo ya makaratasi ya manoti, muda wowote wakati wowote mahali popote wakitaka chochote wanapata
 
View attachment 456932
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali umaarufu nk
Ukiangalia huo uso hapo una point zote muhimu za sigils lakini ya muhimu sana ni point no moja ambayo haijajirudia na imekaa kwenye nafasi ya jicho la tatu
Paji la uso ndio lango la kiroho kwenye mambo mengi sana ya kiza na mwangaView attachment 456941
Sigils za kawaida ni mbinu za kawaida za kichawi ambazo ukiipatia formula yake itakutimizia mahitaji yako yote...sigils si chochote kigeni bali alama za kawaida kwa macho zinazofanana fanana na number za kirumi ama kwa sehemu maandishi ya kiarabu (usichanganye na dini ya kiarabu)
Kuna formula ya kutengeneza sigils zenye nguvu hata ya kudhuru na kuangamiza(hypersigils)lakini hapa si mahala pake...hapa tunapeana tu elimu
Kiasili sigil ni mhuripicha wa shetani ambao unaweza kuuchora kwa namna tofauti kuficha uhalisia lakini ndani yake mhuri ukibaki bila kuathirika kabisa...na ni mhuri huo wa kishetani unaowapa watu nguvu kubwa ya kufanya wapendacho na kupata chochote watakacho iwe kulaani kuua kuogopwa na hata kutengeneza maumbomawazo yenye roho zinazoweza kufanya yote hayo
Nimeandika kwa ufupi lakini angalizo kubwa ni kwamba sigils ni alama za kishetani tofauti kabisa na uchawi wa kawaida na wengi wetu tumeubeba huu mhuri kupitia mapambo yetu na hata tattoos tunazojichora
Cc: tetee
Ningependa kukuuliza toka ujue haya mambo umefaidika nn na unajiandaaje na maisha baada ya kifo naamini ulikuwa na dini kabla ya haya mambo je hauamini juu ya Mungu?maana naskia hayo mambo yana mikataba hadi kuuza roho au kuna pepo ya kishetan?
 
Wchawi ni matajiri bana si maskini kama wengi wanavyodhani. Kama mtu angekuwa na uwezo wa kuwatambua wachawi wote duniani angeshangaa sana. Pia utajiri sio kuwa na mali tu, bali watu wanapenda kuwa na uwezo wa kufanya lolote analotaka. Ndio maana unaweza ona wengine ni maskini ila yy anahivunia kuwa na uwezo wa kupata milioni muda wowote anapoihitaji
 
View attachment 456932
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali umaarufu nk
Ukiangalia huo uso hapo una point zote muhimu za sigils lakini ya muhimu sana ni point no moja ambayo haijajirudia na imekaa kwenye nafasi ya jicho la tatu
Paji la uso ndio lango la kiroho kwenye mambo mengi sana ya kiza na mwangaView attachment 456941
Sigils za kawaida ni mbinu za kawaida za kichawi ambazo ukiipatia formula yake itakutimizia mahitaji yako yote...sigils si chochote kigeni bali alama za kawaida kwa macho zinazofanana fanana na number za kirumi ama kwa sehemu maandishi ya kiarabu (usichanganye na dini ya kiarabu)
Kuna formula ya kutengeneza sigils zenye nguvu hata ya kudhuru na kuangamiza(hypersigils)lakini hapa si mahala pake...hapa tunapeana tu elimu
Kiasili sigil ni mhuripicha wa shetani ambao unaweza kuuchora kwa namna tofauti kuficha uhalisia lakini ndani yake mhuri ukibaki bila kuathirika kabisa...na ni mhuri huo wa kishetani unaowapa watu nguvu kubwa ya kufanya wapendacho na kupata chochote watakacho iwe kulaani kuua kuogopwa na hata kutengeneza maumbomawazo yenye roho zinazoweza kufanya yote hayo
Nimeandika kwa ufupi lakini angalizo kubwa ni kwamba sigils ni alama za kishetani tofauti kabisa na uchawi wa kawaida na wengi wetu tumeubeba huu mhuri kupitia mapambo yetu na hata tattoos tunazojichora
Cc: tetee
Hakuna "dini ya Kiarabu" ewe punguani. Dini ni ya Mwenyeezi Mungu tu unless uwe hujuwi maana ya neno "dini".

Halafu huko ulikuwa kopi na ku pesti umeshindwa kabisa kuitafsiri hiyo mada. Mengi sana humu unadanganya.

Ntarudi.
 
tetee unajua sisi hatujawa binadamu kamili mpaka tuyafahamu yale ya kizani katika uhalisia wake..na njia mojawapo ya kufahamu hayo ya gizani ni meditation satanism...huko ndio utambuzi halisi unakopatikana na uwezo wa kutaka kufanya kitu na kikafanyika bila kutumia nguvu..! Hizi kanuni zinapingana na Mungu kwakuwa tunaambiwa UWEZA anao yeye aliye JUU mbinguni na sisi twapaswa kuamini tu.. kumbuka uumbaji wa dunia yeye ALITAMKA tu na ikawa!
Hii WILL POWER ya kuweza KUTAMKA na ikawa inapatikana kwenye meditation katika level ya JUU na hypersigils nk
Hapa kidogo naona kuna mushkeri hainiingii akilini.
 
Jaribu Google search direct
eg, nimeset my intent ni health, so nikiandika am healthy, nikairudia kuandika mara nyiingi kisha nikaitolea vowels nikairudia hadi ikawa alama flan hivi kisha nikaichoma. Je hapo ni ushetani? maana ndio sigil niiongeleayo mie.
 
Hakuna "dini ya Kiarabu" ewe punguani. Dini ni ya Mwenyeezi Mungu tu unless uwe hujuwi maana ya neno "dini".

Halafu huko ulikuwa kopi na ku pesti umeshindwa kabisa kuitafsiri hiyo mada. Mengi sana humu unadanganya.

Ntarudi.
kwan unaenda wapi....?
 
Ningependa kukuuliza toka ujue haya mambo umefaidika nn na unajiandaaje na maisha baada ya kifo naamini ulikuwa na dini kabla ya haya mambo je hauamini juu ya Mungu?maana naskia hayo mambo yana mikataba hadi kuuza roho au kuna pepo ya kishetan?


Hajui lolote huyo ni kopi na pesti. Google signal magic uielewe ni nini.
kwan unaenda wapi....?

Mada zingine.
 
Hizo ndio alama muhimu(sigilis) kwenye kutengeneza roho zenye nguvu kwenye ulimwengu wa giza...ni alama hizo ambazo hutengenezewa formulas na kuleta matukio na matokeo yanayotakikana

Mshana jnr wewe naamini kabisa siyo mchawi ila unaelimisha jamii kutambua upande wa pili wa dunia nahitaji kuwasiliana na wewe nje ya hapa sebuleni nifanyeje?
 
Mshana jr acha hayo mavitu mwanangu mrudie Muumba ipo siku hayo majini yatakuja kukuchenjia ukaona dunia mbaya, najua yapo kwenye damu lakini jitahidi tu!
Mkuu nimeipenda signature yako.
 
Mshana jnr wewe naamini kabisa siyo mchawi ila unaelimisha jamii kutambua upande wa pili wa dunia nahitaji kuwasiliana na wewe nje ya hapa sebuleni nifanyeje?
Sorry kwa kuchelewa kukujibu nilikuwa offline...karibu pm tafadhali
 
eg, nimeset my intent ni health, so nikiandika am healthy, nikairudia kuandika mara nyiingi kisha nikaitolea vowels nikairudia hadi ikawa alama flan hivi kisha nikaichoma. Je hapo ni ushetani? maana ndio sigil niiongeleayo mie.
Kitu chochote kisicho na mahusiano na Mungu kama hicho jua kina mushkeli kwakuwa hapo humuombi Mungu bali unatengeneza chako mwenyewe
 
sijaelewa chochote kwenye hzo sigil.......nifafanulieni wadau....
Sigil ni aina fulani ya alama ambazo ukizichanganya katika mfumo fulani hukupa matokeo unayotaka kutokana na shida yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom