Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Hio double profit huko huko Mbezi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kariakoo wanaenda watu wa mahesabu makali.
Kariakoo jumla ndo deal mtaji unazunguka chap chap

Rejareja ni addition tu, ukienda kule unategemea rejareja za double profit unaangukia pua
 
Mkuu biashara ambazo ziko kichwani mwangu kwa sasa ni spare parts yani by any means lazma nitaingia huko na kingine naona huku kwenye vipodozi kumbe nako kunafaa. Mitaji ikikubali najilipua kama next move. Hizi biashara zingine ni za mpito tu ila humo ndio destination.

Spare watu wanapiga hela sana, plug kuna siku tulinunua box 50K la plug 10 ambazo zile plug ilala ukitaka 4 wanakuuzia elfu 45!

So ina maana akiuza kibox kizima anafunga 90! Wakati yeye kanunua 50k faida juu ni 40K jamaa wanapata sana hela yani.. Spare nyingi zinawapa faida za 50%-100% watu wa reja reja.
 
Upo sahihi kabisa. Mimi mtaji wa spare za magari sina, ila pikipiki na bajaj na accessories zake ni lazima nifanye. Then badae nanunua pikipiki used 80% zinafanyiwa marekebisho kidogo then nauza. Unanunua kwa mtu kapigika anataka pesa, 1.2m unaiuza 1.6m kwa haraka sana. I'm still weighing my options hapa.
 
Hio ni nzuri sana mzee baba. Cha msingi ni kuanza tu ila game ya spare tamu sana.
 
Hapo no.4 kibali cha duka la vipodozi kinatolewa tbs au tfda?... naona maoni ya wadau wengine huko juu wanasema ni tfda. Hebu nieleweshe vizuri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…