Naomba mbinu za kupata maduka mengi ya rejareja ya vipodozi kwa ajili ya kuwauzi vipodozi kwa bei za jumla

EP cosmetics

JF-Expert Member
Oct 18, 2015
2,469
3,840
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja

Natangiliza shukrani

Nilipo DSM
 
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja

Natangiliza shukrani
Ndiyo eneo nalozeekea hili

Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni

1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia

2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia

3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida

Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
 
Ndiyo eneo nalozeekea hili

Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni

1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia

2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia

3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida

Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
Acha utani upate faida ya milion kweli?
 
Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli

Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.

Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.

So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA

Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
 
Ndiyo eneo nalozeekea hili

Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni

1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia

2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia

3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida

Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
Shukrani sana. Nitakucheki mkuu
 
Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli

Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.

Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.

So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA

Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
Naagiza mwenyewe vingi ni toka india na dubai kwasasa.
 
Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli

Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.

Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.

So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA

Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
Huwa una michango mizuri sana linapokuja swala la biashara ya vipodozi, Mungu akubariki.
 
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja

Natangiliza shukrani

Nilipo DSM
Mchawi ni kutake risk mfano mimi mwaka 2010 nlikuwa naagiza apple toka south canter nzma then nasambaza kwenye maduka na supermaket morogoro kwa mkopo baada ya week naanza kukusanya mpunga wangu.

Nilijikuta nawauzia apple mpka viduka vidogo sabab mtu alikuwa hawez kaa na product ya apple week nzma bila kuuza so sjajua kwenye vpodoz ikoje na nkaja kujua kuwa wabongo wengi wanapenda mikopo
 
Back
Top Bottom