Me kijana wa kiume (24) nimemaliza chuo mwaka huu, Nina mtaji wa m1.5 ipo kati ya biashara hii itanitoa;
(1) BIASHARA YA NAFAKA.
Ni biashara ambayo naipenda sana tangu zamani japo sijawahi kuifanya ila natamani siku moja nianze kufanya, nijikite katika uuzaji wa mchele kama bidhaa kuu vingine baadae, changamoto sijawahi kuifanya sijui ni wapi wanafungiaga mzigo na vipi Kwa mtaji huo unatosha Kwa kuanzia?
(2) UREMBO NA VIPODOZI.
Nywele kama bidhaa kuu ( lengwa ), vilevile sijawahi kuifanya na sijui wapi wanafungia mzigo na je Kwa mtaji huo unatosha Kwa kuanzia?
Location lengwa ni dar es salaam - kigamboni maeneo ya darajani.
NAOMBENI msaada wa kimawazo, mwongozo na ushauri ndugu zangu
(1) BIASHARA YA NAFAKA.
Ni biashara ambayo naipenda sana tangu zamani japo sijawahi kuifanya ila natamani siku moja nianze kufanya, nijikite katika uuzaji wa mchele kama bidhaa kuu vingine baadae, changamoto sijawahi kuifanya sijui ni wapi wanafungiaga mzigo na vipi Kwa mtaji huo unatosha Kwa kuanzia?
(2) UREMBO NA VIPODOZI.
Nywele kama bidhaa kuu ( lengwa ), vilevile sijawahi kuifanya na sijui wapi wanafungia mzigo na je Kwa mtaji huo unatosha Kwa kuanzia?
Location lengwa ni dar es salaam - kigamboni maeneo ya darajani.
NAOMBENI msaada wa kimawazo, mwongozo na ushauri ndugu zangu