Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,046
- 7,118
Heshima kwenu wakuu,
Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk
Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali
Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital
Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja
Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)
Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana
NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji
Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20
Kwa ambae atakuwa interested
Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023
Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali
Niwatakie mapumziko mema ya juma
Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk
Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali
Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital
Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja
Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)
Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana
NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji
Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20
Kwa ambae atakuwa interested
Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023
Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali
Niwatakie mapumziko mema ya juma