Sassebossa
Member
- Jan 13, 2013
- 27
- 3
Acha ujinga wewe,KAFULILA NA ZITTO WAMETOKA WAPI? Nyie ndo mnaofikiria kwa kutumia ------!
Mwita Makabila na majina ya ukoo yako chadema tu?Jana tu nimefafanua jambo hili bado unanukuu. Madelu sio jina halisi la baba bali ni jina linalotambulisha kuwa ana ndevu nyingi. Alifunga ndevu sana akiwa kijana akawa wanamwita madevu kinyiramba madelu. Lameck ni jina la mganga nililopewa siku ya kwanza nilipopelekwa clinic baada ya kuzaliwa nyumbani mwigulu ama mgulo ndio majina ya babu niliyopewa tangia nazaliwa mchanga.Nenda waulize vizee mgulo/ mwigulu utajua. Hivi tangu lini jina limekuwa tatizo? Mbona mobutu seseseko aliyabadili yote ? Nitakwenda kuapa niachane na Yote haya nijiite nitakavyo na sheria inaruhusu kujiita Muhamad Yesu
yapo....Mkuu kuna ubaya mie kuuliza iko swali nataka kujua kama kuna majina ya kikristo.
halafu unajiita first class degree holder,.katubu kwa dhambi ya kusafiria jina la mtu mwingine,ndio maana hatuendelei kwa kuwa na watu waliofoji mtihani kama wewe..Mwita Makabila na majina ya ukoo yako chadema tu?Jana tu nimefafanua jambo hili bado unanukuu. Madelu sio jina halisi la baba bali ni jina linalotambulisha kuwa ana ndevu nyingi. Alifunga ndevu sana akiwa kijana akawa wanamwita madevu kinyiramba madelu. Lameck ni jina la mganga nililopewa siku ya kwanza nilipopelekwa clinic baada ya kuzaliwa nyumbani mwigulu ama mgulo ndio majina ya babu niliyopewa tangia nazaliwa mchanga.Nenda waulize vizee mgulo/ mwigulu utajua. Hivi tangu lini jina limekuwa tatizo? Mbona mobutu seseseko aliyabadili yote ? Nitakwenda kuapa niachane na Yote haya nijiite nitakavyo na sheria inaruhusu kujiita Muhamad Yesu
We jiite Maria au Juliana msikitini uone
hahahahahahah!!!!! Mi huwa mnifuraisha sana mnavyojibu hoja zinazoelekezwa kwenu!!!!!Sasa unaniuliza hayo maswili mimi kama nani? Mimi sio raisi, mimi sio waziri wala katibu wa wizara yeyote am just a a local Tanzanian citizen and a student of one of the university in tz, hebu acheni kujibu hoja kitoto kwamba wewe umenisema na mimi nakusema, kama kijana mpenda demokrasia na siasa za hoja kujibiwa kwa hoja nlitaka kujua majibu yenu ya hoja za Shonza si kuelezea majina wakati Shonza hajahoji majina! Japo bado Heche yupo wrong kutumia unofficial name katka official document bila kuapa mahakaman japo majina aliyoyatumia ni yake!Sasa kwani hapo kutakuwa na tofauti gan kati yake na wasanii wa sanaa?! Maana wasanii wa sanaa ndo huwa wanatumia majina yoyote wanayojisikia na jamii haiwahoji.Narudia tena hebu jibuni hoja za Shonza kwa kutuelezea vifungu anavyolalamikia kuwa vimekiukwa bila kusahau kutoa sababu kwanini yeye (Shonza) aliadhibiwa na Mamuya akaachwa wakat wote hawakuattend kikao?Ebu tupr hesabu wale Twiga,Tembo jumla yao ilikuwa ngapi. Meno ya tembo iliyokamatwa Hongkong ni nani alihusika. Achana na haya ya Shoza tuangalie yale yanayoumiza wananchi waliowengi. Hivi wale wenye account uswizi ni akina nani na ni wa chama gani. Huyu mzee wa rada ivi ni kada wa cdm. Na zile pesa alizoweka south africa huyu aliyekuwa sijui mkuu wa majeshi je yamerudishwa?
Good safi sana kwa kutolea ufafanuzi
mngetusaidia link au tittle lake tungewashukuru sanamkuu martin majula malima hii issue tayari nimeitolea ufafanuzi wa kina kabisa jana, tafuta thread hiyo utaona clarification iliyojitosheleza.