John Wegesa Heche turufu pekee iliyosalia CHADEMA kuelekea kufutika kwake baada ya Chaguzi kuu za 2024 & 2025

Wafalme 18

Senior Member
Sep 17, 2023
121
126
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhuma nyingi zinazowakabili viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.
 
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhumu nyingi kwa viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.

Kuhusu Heche, ambaye ni zao la Padri Kitima SAUT enzi hizo, naunga mkono HOJA!!

Kwa Bulldozer hatwendi, miujiza Si maigizo, na Karama za Mungu, haziuzwi, Wala kununuliwa Kwa pesa.
 
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhumu nyingi kwa viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.
Kwani DJ vipi?
 
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhumu nyingi kwa viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.
Mmeendesha siasa kipuuzi ndani ya nchi hii, badala ya ushindani wa kisiasa mnahakikisha mnatumia vyombo vya Dola kulazimisha kuua vyama msivyo na uwezo wa kushindana navyo. Upuuzi mtupu.
 
WEGESA ni Jina la kike,

Wakurya mlioko humu, tuambieni imekuwaje Jina Hilo akatumia Heche?
 
Heche na Lissu wanaweza kutupeleka kunako. Dj na Katibu sijui na mrema wapumzike hawana uthubutu
Eti wanataka kuzira chaguzi chafuzi
 
Mlozi kwenye ubora wako but chadema Ina nguvu kuliko Jana ,ukitaka kujua ayo ona mwitiko katika mikutano yao
Ni kweli kabisa kabisa Chadema bado wana ushawishi mkubwa ila wanapojaribu kumpopoa mawe Anko Magu hapo ndipo wanapojiharibia credibility kwa wananchi wanyonge walio wengi Nchini !!
Wakibadili gia angani 2025 ni kizaazaa patashika nguo kuchanika !!
Mark my words !!🙏🙏
 
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhuma nyingi zinazowakabili viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.
Usituulie wangwe mwingine, sumu haionjwi.
 
Mtu pekee anayeweza kuihuisha CHADEMA ili iendelee kusalia kwenye medani hizi za siasa za ushindani na mwenye integrity kwa Mungu na Umma ni John Wegesa Heche.

Nafahamu CHADEMA Kuna watu wamefilisika na kuuawa kisa Utetezi wa Chama hicho,

Kwa jicho langu la kiuchunguzi kama haya makundi wahanga watataka kusoga mbele na mapambano John Heche atawasaidia,

CHADEMA tayari inakufa gradually kama ilivyokuwa kwa NCCR, TLP na baadae CUF tatizo kubwa ni kukosekana kwa kibali na tuhuma nyingi zinazowakabili viongozi wake hasa wa ngazi ya Taifa.

Wanachadema mtake msitake bila ya John Heche chama chenu kinakufa tena ni kifo Cha polepole ambacho ni ngumu kunga'mua.

Sitaki kuzungumzia mapungufu ya Viongozi wengine hasa wa Kitaifa kwani naamini hayo mnayafahamu na mnafahamiana vizuri.

Nawatakia Dominica njema hapo kesho, Msiache kufika kwa Mwamposa kama ilivyo kwa Crde Mhe Paul Makonda na maombi 12.


Mungu ibariki Tanzania.

Utakufa wewe na kuiacha chadema
 
Naweza kuimajin Heche na Mdee kama wagombea Uraisi wa CHADEMA...patakuwa patamu Ufipa.

Vilevile kama Wagombea wa Urais kitaifa, kwa hesabu yeyote ile, Heche Mdee au Mdee Heche.

Inapendeza na naunga mkono hoja!

Piiiiiipooooz
 
Back
Top Bottom