Ufafanuzi kuhusu nyumba ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Maweni, Igunga inayosambaa mitandaoni

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944
UFAFANUZI KUHUSU NYUMBA YA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MAWENI, IGUNGA INAYOSAMBAA MITANDAONI

Tarehe 20 Septemba 2021 nikiwa naendelea na Ziara ya Kijiji kwa Kijiji kwenye Jimbo la Igunga, Nikiwa na Wasaidizi wa Ofisi ya Mbunge na Waandishi wa Habari, tulifika Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kijiji cha Mwamshoma Kata ya Nguvumoja.

Waandishi wa Habari walivutiwa na stori ya "Mazingira magumu ya nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Maweni". Mwandishi wa ITV kutoka Singida Bw. Elisante Mkumbo alituma kwenye chombo chake (ITV) picha ambazo zimekuwa zikirudiwa rudiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni. Baadhi ya "Waungwana" wamekuwa wakitumia picha iyo kufanya kejeli kwa Viongozi wa Nchi au Chama chetu.

Binafsi nimeona nitoe ufafanuzi na hatua iliyofikia mpaka sasa ili kuweka kumbukumbu sawa.

Baada ya kufanya Ziara ya kikazi, niliamua tupeleke Fedha za Mfuko wa Jimbo Kukamilisha ujenzi wa Boma la Nyumba ya Mwalimu iliyokuwa imeanza kujengwa. Mpaka Sasa tumeshapau Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni, tumefika hatua ya kupiga lipu, sakafu, kupaka rangi na kuweka madirisha ya aluminum ili Mwalimu Mkuu aweze kukaa na familia yake kwenye mazingira bora.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Walimu wetu wanaishi mazingira bora, kwa sasa Halmashauri inaendelea na programu ya kukamilisha maboma ya Nyumba za Walimu ikiwa jitihada za kuboresha mazingira ya utoaji wa Elimu. Picha ya Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni imeambatanishwa ili kujua tulipotoka na tulipofikia katika kufanya jitihada ya kuboresha mazingira ya makazi.

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga

indexvfgty.jpg
index.jpg
 
Mheshimiwa asante kwa ufafanuzi- Mungu ameona na atakubariki
 
Kwanini alisubiri hadi shule iwe vile yeye kama mbunge? Je kaa watoto wake wangekuwa wanasoma hapo angepaacha hivyo?
 
Kwanini alisubiri hadi shule iwe vile yeye kama mbunge? Je kaa watoto wake wangekuwa wanasoma hapo angepaacha hivyo?
Hela ya jimbo ambayo ndiyo anaweza kuitumia kwa mambo kama hayo hutolewa kila baada ya miezi 3
 
Miaka yoooote hawajawahi kuiona?

Leo imefurushwa ndo ghafla inaonekana kuna mfuko wa jimbo.

By the way, hapo ni nafuu, waende vijiji vingine vya igunga, ni aibu tupu.
 
UFAFANUZI KUHUSU NYUMBA YA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MAWENI, IGUNGA INAYOSAMBAA MITANDAONI

Tarehe 20 Septemba 2021 nikiwa naendelea na Ziara ya Kijiji kwa Kijiji kwenye Jimbo la Igunga, Nikiwa na Wasaidizi wa Ofisi ya Mbunge na Waandishi wa Habari, tulifika Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kijiji cha Mwamshoma Kata ya Nguvumoja.

Waandishi wa Habari walivutiwa na stori ya "Mazingira magumu ya nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Maweni". Mwandishi wa ITV kutoka Singida Bw. Elisante Mkumbo alituma kwenye chombo chake (ITV) picha ambazo zimekuwa zikirudiwa rudiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni. Baadhi ya "Waungwana" wamekuwa wakitumia picha iyo kufanya kejeli kwa Viongozi wa Nchi au Chama chetu.

Binafsi nimeona nitoe ufafanuzi na hatua iliyofikia mpaka sasa ili kuweka kumbukumbu sawa.

Baada ya kufanya Ziara ya kikazi, niliamua tupeleke Fedha za Mfuko wa Jimbo Kukamilisha ujenzi wa Boma la Nyumba ya Mwalimu iliyokuwa imeanza kujengwa. Mpaka Sasa tumeshapau Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni, tumefika hatua ya kupiga lipu, sakafu, kupaka rangi na kuweka madirisha ya aluminum ili Mwalimu Mkuu aweze kukaa na familia yake kwenye mazingira bora.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Walimu wetu wanaishi mazingira bora, kwa sasa Halmashauri inaendelea na programu ya kukamilisha maboma ya Nyumba za Walimu ikiwa jitihada za kuboresha mazingira ya utoaji wa Elimu. Picha ya Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni imeambatanishwa ili kujua tulipotoka na tulipofikia katika kufanya jitihada ya kuboresha mazingira ya makazi.

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga

View attachment 2479336View attachment 2479337
A bit too late..!?
 
CCM ni chama kisicho na tija yoyote ile kwa Watanzania. Kama mpaka leo bado walimu wengi nchini wanaishi na kufanya kazi katika mazingira magumu, wana haki gani ya kuendelea kutawala?

Wapumzishwe, ili na wengine waendeleze pale walipoishia.
 
UFAFANUZI KUHUSU NYUMBA YA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MAWENI, IGUNGA INAYOSAMBAA MITANDAONI

Tarehe 20 Septemba 2021 nikiwa naendelea na Ziara ya Kijiji kwa Kijiji kwenye Jimbo la Igunga, Nikiwa na Wasaidizi wa Ofisi ya Mbunge na Waandishi wa Habari, tulifika Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kijiji cha Mwamshoma Kata ya Nguvumoja.

Waandishi wa Habari walivutiwa na stori ya "Mazingira magumu ya nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Maweni". Mwandishi wa ITV kutoka Singida Bw. Elisante Mkumbo alituma kwenye chombo chake (ITV) picha ambazo zimekuwa zikirudiwa rudiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni. Baadhi ya "Waungwana" wamekuwa wakitumia picha iyo kufanya kejeli kwa Viongozi wa Nchi au Chama chetu.

Binafsi nimeona nitoe ufafanuzi na hatua iliyofikia mpaka sasa ili kuweka kumbukumbu sawa.

Baada ya kufanya Ziara ya kikazi, niliamua tupeleke Fedha za Mfuko wa Jimbo Kukamilisha ujenzi wa Boma la Nyumba ya Mwalimu iliyokuwa imeanza kujengwa. Mpaka Sasa tumeshapau Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni, tumefika hatua ya kupiga lipu, sakafu, kupaka rangi na kuweka madirisha ya aluminum ili Mwalimu Mkuu aweze kukaa na familia yake kwenye mazingira bora.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Walimu wetu wanaishi mazingira bora, kwa sasa Halmashauri inaendelea na programu ya kukamilisha maboma ya Nyumba za Walimu ikiwa jitihada za kuboresha mazingira ya utoaji wa Elimu. Picha ya Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni imeambatanishwa ili kujua tulipotoka na tulipofikia katika kufanya jitihada ya kuboresha mazingira ya makazi.

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga

View attachment 2479336View attachment 2479337
Hivi hapa atoa ufafanuzi au katoa taarifa kwamba ile nyumba ya mwalimu imejengwa..!!??
 
Unachemka ndugu muumini wa ndiyo mzee..!! We picha ya kabla ya ujenzi unaona inafaa kuitwa cheap hoja?
Umewekewa nyumba inagojengwa na Wala kwenye hiyo pagala hakuna Mwalimu anakaa hapo..

Kuna nyumba kibao za walimu serikali imejenga na walimu hawataki kukaa hasa maeneo ya mjini au kwenye Miji midogo
 
UFAFANUZI KUHUSU NYUMBA YA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI MAWENI, IGUNGA INAYOSAMBAA MITANDAONI

Tarehe 20 Septemba 2021 nikiwa naendelea na Ziara ya Kijiji kwa Kijiji kwenye Jimbo la Igunga, Nikiwa na Wasaidizi wa Ofisi ya Mbunge na Waandishi wa Habari, tulifika Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kijiji cha Mwamshoma Kata ya Nguvumoja.

Waandishi wa Habari walivutiwa na stori ya "Mazingira magumu ya nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Maweni". Mwandishi wa ITV kutoka Singida Bw. Elisante Mkumbo alituma kwenye chombo chake (ITV) picha ambazo zimekuwa zikirudiwa rudiwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni. Baadhi ya "Waungwana" wamekuwa wakitumia picha iyo kufanya kejeli kwa Viongozi wa Nchi au Chama chetu.

Binafsi nimeona nitoe ufafanuzi na hatua iliyofikia mpaka sasa ili kuweka kumbukumbu sawa.

Baada ya kufanya Ziara ya kikazi, niliamua tupeleke Fedha za Mfuko wa Jimbo Kukamilisha ujenzi wa Boma la Nyumba ya Mwalimu iliyokuwa imeanza kujengwa. Mpaka Sasa tumeshapau Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni, tumefika hatua ya kupiga lipu, sakafu, kupaka rangi na kuweka madirisha ya aluminum ili Mwalimu Mkuu aweze kukaa na familia yake kwenye mazingira bora.

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Walimu wetu wanaishi mazingira bora, kwa sasa Halmashauri inaendelea na programu ya kukamilisha maboma ya Nyumba za Walimu ikiwa jitihada za kuboresha mazingira ya utoaji wa Elimu. Picha ya Nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maweni imeambatanishwa ili kujua tulipotoka na tulipofikia katika kufanya jitihada ya kuboresha mazingira ya makazi.

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga

View attachment 2479336View attachment 2479337
Asante kwa taarifa nzuri.Vipi kuhusu zile nyumba na vyumba vya madarasa ambavyo vina hali mbaya lakini hazijatembelewa na mwandishi bado
 
Umewekewa nyumba inagojengwa na Wala kwenye hiyo pagala hakuna Mwalimu anakaa hapo..

Kuna nyumba kibao za walimu serikali imejenga na walimu hawataki kukaa hasa maeneo ya mjini au kwenye Miji midogo
Acha uongo ni wapi huko Serikali imejenga nyumba kibao za walimu na wakagoma kukaa?
 
Back
Top Bottom