UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Malaga v Borussia Dortmund.

Real Madrid v Galatasary.

Paris Saint Germain v Barcelona.

Bayern Munich v Juventus.

1. Madrid vs Galatasaray (Galatasaray Win)
2. Paris Saint German vs Barcelona (Barcelona Win)
3. Malaga vs Borussia Dortmund ( Dortmund Win)
4. Bayern Munich vs Juventus (Juventus Win)

Ni mtazamo wangu huo!!
 
Galatasary, Juventus, Malaga, na PSG safari imewadia hapo. Baada ya hapo najua Real Madrid anaingia fainali ila sijajua na nani? Baada ya Kupanga nusu fainali ndipo nitakapo sema nani atacheza fainali na Real Madrid! hivi EPL ligi NGUMU KABISA timu zipo hapo jamani?

Madrid kwenda Fainal sio rahis Kaka. EPL ikiwa ndo League inayoongoza kwa kutazamwa na kuwa na mashabiki wengi zaidi duniani, imeingiza team 3 kwenye Robo Fainal.
 
1. Madrid vs Galatasaray (Galatasaray Win)
2. Paris Saint German vs Barcelona (Barcelona Win)
3. Malaga vs Borussia Dortmund ( Dortmund Win)
4. Bayern Munich vs Juventus (Juventus Win)

Ni mtazamo wangu huo!!

Kijana, wewe unajua Mpira. You are Right Sir
 
Kijana, wewe unajua Mpira. You are Right Sir

Didier Drogba ndiye atakayemuua Mourinho!!akishirikiana na yule goal machine Burak Yilmaz..Juventus ni wababe wa kuweka ukuta mkali hata akifungwa ujerumani inaweza kuwa moja bila au 2 kwa 1 sana sana anaweza pata draw shughuli ataimalizia Turin. Dortmund anaanza kwa Malaga hapa Malaga hachomoki.Barca hatafanya tena makosa kama kwa AC Milan
 
Madrid kwenda Fainal sio rahis Kaka. EPL ikiwa ndo League inayoongoza kwa kutazamwa na kuwa na mashabiki wengi zaidi duniani, imeingiza team 3 kwenye Robo Fainal.
Ndugu yangu tutaongea kuhusu ReaL Madrid baada ya tarehe 10.04, na utaniambia mimi nimesema ukweli. Kusema EPL iliingiza timu tatu robo fainali kwanza sio kweli (iliingiza timu mbili tu; man u na arsenal) lakini ili limeshapitwa na wakati hatuongelei hatua ya chini tena sasa. Ni kweli EPL ndio ligi inayotangazwa zaidi dunia na si ajabu ndio yenye washabiki wengi zaidi duniani LAKINI KIMPIRA haina tofauti sana na UFARANSA, ndio maana ni aghalabu sana ikatoa mchezaji bora duniani na hata kocha bora duniani, Ni ligi iliyojaa siasa na upendeleo wa wazi kwa MANCHESTER UNITED....
 
Waspain wote 3 nusu fainali + mshindi wa Bayern vs Juventus(Gang Chomba tupe utabiri wako nani anatoka Bayern na Juve?)samahani lakini upo ktk wakati mgumu nakutonesha donda,maana nakuamini kwa utabiri wako ule Arsenal vs Bayern Munich 1leg pale emirates teh teh teh.
 
Ndugu yangu tutaongea kuhusu ReaL Madrid baada ya tarehe 10.04, na utaniambia mimi nimesema ukweli. Kusema EPL iliingiza timu tatu robo fainali kwanza sio kweli (iliingiza timu mbili tu; man u na arsenal) lakini ili limeshapitwa na wakati hatuongelei hatua ya chini tena sasa. Ni kweli EPL ndio ligi inayotangazwa zaidi dunia na si ajabu ndio yenye washabiki wengi zaidi duniani LAKINI KIMPIRA haina tofauti sana na UFARANSA, ndio maana ni aghalabu sana ikatoa mchezaji bora duniani na hata kocha bora duniani, Ni ligi iliyojaa siasa na upendeleo wa wazi kwa MANCHESTER UNITED....
Ndio maana siku zote Fergie hawatabiri England kufanya vizuri ktk mechi za kimataifa eg world cup au hata euro na hata Rooney hamkubali kihivyo kama Sky Sports,The Sun na BBC Sports zinavyomkuza,RVP ni >(zaidi) ya Rooney,sema Rooney binafsi nachompenda anajituma na kingine kakua nidhamu siku hizi anayo,ila bado ni mapema mno kumpa chati kiasi kumlinganisha na kina Messi na Ronaldo japo anafunga magoli mazuri na hata Bale nae bado hajafikia kiwango cha kupambanishwa na wataalam Messi na Ronaldo,kwanza alinganishwe na kina Piti yupo Rayo Vallecano,ndio maana tunasema ligi ya EPL inatangazwa sana,ila kuna wachezaji wengi wazuri hasa La Liga,najua % kubwa hapa wamemjua Santiago Cazorla Gonzalez alipotua Arsenal wengi walikuwa hata hawajawahi kumsikia,sasa mtu kama huyo hata ukibishana nae ni bure 7bu yeye anaongozwa na Sky News,BBC na waingereza kwa ujumla.
 
Ndio maana siku zote Fergie hawatabiri England kufanya vizuri ktk mechi za kimataifa eg world cup au hata euro na hata Rooney hamkubali kihivyo kama Sky Sports,The Sun na BBC Sports zinavyomkuza,RVP ni >(zaidi) ya Rooney,sema Rooney binafsi nachompenda anajituma na kingine kakua nidhamu siku hizi anayo,ila bado ni mapema mno kumpa chati kiasi kumlinganisha na kina Messi na Ronaldo japo anafunga magoli mazuri na hata Bale nae bado hajafikia kiwango cha kupambanishwa na wataalam Messi na Ronaldo,kwanza alinganishwe na kina Piti yupo Rayo Vallecano,ndio maana tunasema ligi ya EPL inatangazwa sana,ila kuna wachezaji wengi wazuri hasa La Liga,najua % kubwa hapa wamemjua Santiago Cazorla Gonzalez alipotua Arsenal wengi walikuwa hata hawajawahi kumsikia,sasa mtu kama huyo hata ukibishana nae ni bure 7bu yeye anaongozwa na Sky News,BBC na waingereza kwa ujumla.

Mkuu pamoja sana, hapo ni kweli umeangalia vizuri na unaujua mpira wa duniani
 
Didier Drogba ndiye atakayemuua Mourinho!!akishirikiana na yule goal machine Burak Yilmaz..Juventus ni wababe wa kuweka ukuta mkali hata akifungwa ujerumani inaweza kuwa moja bila au 2 kwa 1 sana sana anaweza pata draw shughuli ataimalizia Turin. Dortmund anaanza kwa Malaga hapa Malaga hachomoki.Barca hatafanya tena makosa kama kwa AC Milan

mwisho kabisa Barca anabeba ndoo.
 
Ndugu yangu tutaongea kuhusu ReaL Madrid baada ya tarehe 10.04, na utaniambia mimi nimesema ukweli. Kusema EPL iliingiza timu tatu robo fainali kwanza sio kweli (iliingiza timu mbili tu; man u na arsenal) lakini ili limeshapitwa na wakati hatuongelei hatua ya chini tena sasa. Ni kweli EPL ndio ligi inayotangazwa zaidi dunia na si ajabu ndio yenye washabiki wengi zaidi duniani LAKINI KIMPIRA haina tofauti sana na UFARANSA, ndio maana ni aghalabu sana ikatoa mchezaji bora duniani na hata kocha bora duniani, Ni ligi iliyojaa siasa na upendeleo wa wazi kwa MANCHESTER UNITED....

suala la EPL kutokuingiza team nalifaham mkuu ila nimeliongelea kama matan tu.
 
Galatasary, Juventus, Malaga, na PSG safari imewadia hapo. Baada ya hapo najua Real Madrid anaingia fainali ila sijajua na nani? Baada ya Kupanga nusu fainali ndipo nitakapo sema nani atacheza fainali na Real Madrid! hivi EPL ligi NGUMU KABISA timu zipo hapo jamani?


Wenye weredi wa Soka washaelewa tukitoka hapa ni timu zipi zitakutana.
Wewe unaekaa na kusubiri ipangwe droo ya Nusu Fainali pole sana.
 
Waspain wote 3 nusu fainali + mshindi wa Bayern vs Juventus(Gang Chomba tupe utabiri wako nani anatoka Bayern na Juve?)samahani lakini upo ktk wakati mgumu nakutonesha donda,maana nakuamini kwa utabiri wako ule Arsenal vs Bayern Munich 1leg pale emirates teh teh teh.


Gutierez mimi Gang Chomba, nikiwa na akili timamu pasipo kushinikizwa na mtu napenda kusema wazi kuwa Bayern safari imewadia.

Hii timu inaitwa Juve ni timu nzuri sana.
Kitu kinachowatia shaka wapenzi wa Soka ni kutopata wasaa wa kuwatazama wajukuu hawa wa Bibi Lavecchia Signora.

Juve wana kipa, ukuta, kiungo na pia wana washambuliaji wa uhakika na wenye uzoefu.
Kiungo cha Bayern ndio kiungo cha timu yao ya Taifa.
Ukizungumzia kiungo cha Bayern ndio kile ambacho Kina Kloose, Muller na Bastian.
Kiungo hiki kiliwahi kunyamazishwa na Panenca katika mashindano ya Euro yalopita.

Pia Juve wana Wing Back za kueleweka ambazo ni World Class player, hapa nawazungumzia Lichsteiner na nguli Giorgio Chielini.
Kisha Bianconelli wana dabali zenye akili na katili, na zimekaa muda kwa pamoja muda mrefu sasa na zinaelewana.

Kama yoote hio haitoshi narejea kumbukumbu ya kauli ya Elgodo Infernomena Ronaldo de Lima aliepata kunena kuwa endapo utaumaliza ukuta woote wa Juve basi usianze kujishaua kushangilia, subiri uone nyavu za ndani zikitikisika kisha ndio uanze kusasambua jezi na kuanza kushangilia.
Aliisema kauli hiyo baada ya kushindwa kumfunga Buffon 1 against 1 na kuweka bayana kuwa Gigi ni habari nyingine na hana mfano wake Duniani.

So Bayern waende wakijuwa wanakwenda kutana ka timu kwelikweli ambayo hairuhusu Goli na Inasaka Magoli.

Naomba niishie hapo ili kupisha wadau kama wana maswali ama hoja ili wapenyeze katika post yangu hii.

Bismillah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom