System nzima imeoza mpaka kwa Mapro,no better system of control and Monitoring ni yale yale unapandisha mafuta ya Taa eti unazua uchakachuaji wachakachuaji wenyewe wanne,System inashindwa kuwacontrol hawa? Sasa imehamia mlimani? Tumefika pabaya sana kama Taifa! Boom na Ada wapi wapi?