UDSM ndio chanzo cha mfubao wa Elimu Tz

UDSM ndio chanzo cha mfubao wa Elimu Tz

Naona haya malumbano yanaendana na mada iliyopo hapa. Mimi ningeshauri kuwa wakati wakuu mkijiandaa kuandika vitabu kwa nini msifanye tafsiri ya vile vilivyopo wakati huo huo? Si muhimu kila wakati tuhangaikie kuvumbua gurudumu!

Kutafsriri ni moja ya mbinu bora za kusambaza elimu, sema sasa hawa wenzetu hakimiliki za kazi zao zinakuwa zinauzwa bei mbaya sana kwa nchi masikini sana kama zetu. Ila hakuna lisilowezekana.

Fundi Mchundo:

Hiyo posti niiona na nilitaka kuileta hapa lakini mitambo hapa iligoma kufanya kazi.

Kabla ya kwenda chuo kwa nchi niliyosoma nilijiandaa kwa mwaka kujifunza lugha yao. Na nilitumia mieza saba kujifunza. Hii ilitokana na kwamba walimu walikuwa ni wataalamu wa kufundisha lugha ya pili.

Hivyo lugha yao nilijifunza kama tool ya kupatia knowledge. Kwa Tanzania lugha inakuwa sio tool ya kupatia knowledge inakuwa sehemu ya mafunzo.

Kuhusu kutumia vitabu vilivyopo tutalifanyia kazi bila kuvunja haki miliki. Na kwa somo kama hisabati tunaweza kutafsiri kitabu cha ki-china au kirusi bila wao kujua.

Shida ya kutotumia lugha kama nyenzo ya kupatia maarifa nadhani ndiyo hasa inayokifanya Kiswahili kutokuwa na umaarufu sana. Labda tungeanza na kutatua hilo kwanza.
Nchi karibu zote za Skandinavia (nadhani na Ujerumani pia)wanasoma masomo yote hadi ngazi ya shahada kwa lugha zao za asili. Nadhani hata uelewa unakuwa mkubwa.
 
Kutafsriri ni moja ya mbinu bora za kusambaza elimu, sema sasa hawa wenzetu hakimiliki za kazi zao zinakuwa zinauzwa bei mbaya sana kwa nchi masikini sana kama zetu. Ila hakuna lisilowezekana.



Shida ya kutotumia lugha kama nyenzo ya kupatia maarifa nadhani ndiyo hasa inayokifanya Kiswahili kutokuwa na umaarufu sana. Labda tungeanza na kutatua hilo kwanza.
Nchi karibu zote za Skandinavia (nadhani na Ujerumani pia)wanasoma masomo yote hadi ngazi ya shahada kwa lugha zao za asili. Nadhani hata uelewa unakuwa mkubwa.

NILIKOSA KILICHOKUWA KINAENDELEA. SASA NINAKUBALIANA NANYI MIA KWA MIA. ILA SASA TUFANYE KWELI. SASA MIMI NIKO SHERIA, NA NYIE MNAANZA NA HESABU SI MCHANGO WANGU UNAWEZA KUWA LIMITED. NINASHAURI TUKISHA KUWA NA MEMBAZI WA KUTOSHA, BASI TUJIUNGE KWENYE GROUPS KADHAA, ILI WAKATI WENGINE WANADEAL NA HESABU, WENGINE SAYANSI, WENGINE VITABU VYA SANAA.

AU TUNAWEZA KUDEAL NA HIZO SAYANSI ILA WENGIGINE KAZI KUBWA IKAWA KATIKA KUYUMBULISHA MANENO, ILI KAZI IENDE HARAKA HARAKA.

KUNA RESEARCH REPORT "ACADEMIC REPORT" NINAIFANYA NA NINADHANI IKISHAKUWA TAYARI NITAIWEKA KWENYE KISWAHILI.

SHUKRANIA SANA KWA UAMUZI HUU.
 
NILIKOSA KILICHOKUWA KINAENDELEA. SASA NINAKUBALIANA NANYI MIA KWA MIA. ILA SASA TUFANYE KWELI. SASA MIMI NIKO SHERIA, NA NYIE MNAANZA NA HESABU SI MCHANGO WANGU UNAWEZA KUWA LIMITED. NINASHAURI TUKISHA KUWA NA MEMBAZI WA KUTOSHA, BASI TUJIUNGE KWENYE GROUPS KADHAA, ILI WAKATI WENGINE WANADEAL NA HESABU, WENGINE SAYANSI, WENGINE VITABU VYA SANAA.

AU TUNAWEZA KUDEAL NA HIZO SAYANSI ILA WENGIGINE KAZI KUBWA IKAWA KATIKA KUYUMBULISHA MANENO, ILI KAZI IENDE HARAKA HARAKA.

KUNA RESEARCH REPORT "ACADEMIC REPORT" NINAIFANYA NA NINADHANI IKISHAKUWA TAYARI NITAIWEKA KWENYE KISWAHILI.

SHUKRANIA SANA KWA UAMUZI HUU.

Nilipotea kidogo lakini nipo
Ndugu yangu kinachotakiwa ni mapinduzi ya elimu hivyo kuanza na Hesabu ni matokeo tu ya kushea komoni interesti na Bin Maryam.

Hivyo bado kunahitajika memba wengi wa fani tofauti tofauti ili tutimize hilo.

Bin maryam na Adimin nimewapata vyema kabisa
ngoja nami nikusanye haya makabrasha ili nipate kuyamwaga.

unajua wananchi wa tz walitutuma sokoni kuhemea na tutakachopata chochote kizuri huko gurioni tupate kuwapelekea na si kunenepesha matumbo yetu.
 
Kutafsriri ni moja ya mbinu bora za kusambaza elimu, sema sasa hawa wenzetu hakimiliki za kazi zao zinakuwa zinauzwa bei mbaya sana kwa nchi masikini sana kama zetu. Ila hakuna lisilowezekana.



Shida ya kutotumia lugha kama nyenzo ya kupatia maarifa nadhani ndiyo hasa inayokifanya Kiswahili kutokuwa na umaarufu sana. Labda tungeanza na kutatua hilo kwanza.
Nchi karibu zote za Skandinavia (nadhani na Ujerumani pia)wanasoma masomo yote hadi ngazi ya shahada kwa lugha zao za asili. Nadhani hata uelewa unakuwa mkubwa.

Cha muhimu ni kuwa watanzania ni lazima tuwe Multi-Lingo. Masaa anayotumia mwanafunzi kujifunza kiingereza akiwa primary school yanatosha kabisa. Lakini ni lazima wanaofundisha wawe wataalamu wa kufundisha lugha ya pili.

Nadhani vyuo vya elimu ya juu vingeanzisha program za watu kuchukua digrii ya kufundisha kiingereza kama lugha ya pili.
 
Cha muhimu ni kuwa watanzania ni lazima tuwe Multi-Lingo. Masaa anayotumia mwanafunzi kujifunza kiingereza akiwa primary school yanatosha kabisa. Lakini ni lazima wanaofundisha wawe wataalamu wa kufundisha lugha ya pili.

Nadhani vyuo vya elimu ya juu vingeanzisha program za watu kuchukua digrii ya kufundisha kiingereza kama lugha ya pili.


Hizi programu zipo pale UDSM siku nyingi sana, katika kitengo cha "Foreign Languages and Linguistics" chini ya akina Michael Kadeghe na wenzake. Hapo kuna Kifaransa, Kiingereza n.k. na kuna watu kibao wamepikwa hapo na wanaendelea na majukumu uliyoyataja.
Tuendelee na mjadala wa kuandika vitabu vya kiada na ziada kwa Kiswahili.
 
Hizi programu zipo pale UDSM siku nyingi sana, katika kitengo cha "Foreign Languages and Linguistics" chini ya akina Michael Kadeghe na wenzake. Hapo kuna Kifaransa, Kiingereza n.k. na kuna watu kibao wamepikwa hapo na wanaendelea na majukumu uliyoyataja.
Tuendelee na mjadala wa kuandika vitabu vya kiada na ziada kwa Kiswahili.

Kwenye mjadala wa vitabu, naona tuanze kuchukua hatua mpya. Weekend hii nita-set internet infrastructure ya communication.

Kitu kimoja ningeomba ni kuwa tuache tabia yetu ya kitanzania. Tunapoanzisha vitu tuna mbwembwe nyingi lakini baada ya muda si mrefu shughuli zinakufa bila kutoa mazao.
 
Labda IDIM au BImkubwa wanaweza kutusaidia katika swali lako.

Nimeliona hilo swali, nimeshindwa kulijibu kwa sababu sina taarifa zake. Ninavyojua kutokana na uzoefu wangu, machapisho ya tafiti nyingi za UDSM (nakala ngumu) wanaziweka mahali fulani panaitwa "Special Reserve" kule maktaba kwao na mtu unaruhusiwa kuzisoma na kuziacha papo hapo. Sina uhakika kama wameziweka mtandaoni, ingawa walikuwa na mpango wa ku-'digitize' maktaba yao ili iende na wakati.
 
Kwenye mjadala wa vitabu, naona tuanze kuchukua hatua mpya. Weekend hii nita-set internet infrastructure ya communication.

Kitu kimoja ningeomba ni kuwa tuache tabia yetu ya kitanzania. Tunapoanzisha vitu tuna mbwembwe nyingi lakini baada ya muda si mrefu shughuli zinakufa bila kutoa mazao.

wewe tengeneza harafu tuangalie namna ya kutumia maneno
 
Kwa kuanza nime-install engine ya wikipedia. Hivyo mnaweza kutembelea www.elimupedia.com . Nafanya custumization ya lugha. Kwa hiyo naomba michango yenu katika kutafsiri link na navigation button. Tutaendelea kutumia JF kama forum.
 
May be this has already been said before since I did not go hrough each response, hivyo si vibaya kurudia.

The philosophy of success in our education system is the ability of teachers and lecturers to have few student who graduate contrary to the developed countries where the success of progress is measured by number of people who have successful completed their education.

Sisi tunatumia elimu ya Chuo Kikuu kama filtration system ambayo ina-discourage progress na hivyo kuishia kuwa na idafi finyu ya watu walioelimika na kuweza kutuongezea wataalamu na wabunifu. Tumefikia kuzalisha tabaka kubwa la Wanaohitimu kwa kufaulu mitihani na kushindwa kutumia elimu yao kwa jamii.

Nakumbuka sifa za Muhimbili, Kitivo cha Uhandisi na hata Sheria vilivyokuwa vikisifika kwa ku-disko watu na hata Waalimu kujisifu kwa kusema "mwaka huu nimewakomoa wanafunzi walikuja 100 nitahakikisha 10 tuu ndio wanafaulu!"

Hii si dhana endelezefu bali ni dhana dumazi! No wonder hata UDSM wanakuwa wagumu kukubali kuwa kuna taasisi nyingine ambazo zinaweza kuwa na uwezo wa kuwa vyuo.

Bi. Mdogo kasema utakuwaje na chuo ikiwa 1% ni PHD holders? this is matter of statistics than what can be done to educate and deliver the education to the mass who are hungry!

Hivi kama hao 1% wakiweza kuwa na attitude endelezefu na kutoa wanafunzi bora na wengi ambao wanaelimika kuliko Chuo Kikuu UDASA tutasemaje?

Je hatuoni jinsi katika elimu za Sekondari na hata msingi kuwa Shule binafsi na si zile za Asili ndio zenye matungda bora?

Our philosophy and attitude towards education needs to change. UDSM sometimes behaves like CCM, the only credible institution to provide leadership!
 
MzalendoHalisi:

Mabadiliko yoyote yanaleta CHAOS hata kama yana nia nzuri. Kitaaluma Nyerere was quite right kutumia kiswahili lakini kilichokwamisha ni resources.

Kuna siku nilikuwa kwenye mkutano na wana mapinduzi fulani. Na wao wakawa wanataka kutumia French Creole katika mashule huko Haiti. Niliwaambia kuwa nimetoka Tanzania na matokeo ya majaribio yetu sio mazuri. Wakaniona mimi ni msaliti mkubwa wa PAN Africanism na wakanipa mifano ya Lugha ya Ki-Hebrew kutumika tena.

Kwa bahati nimeishi na nina marafiki wayahudi. Wahayahudi wengi walikuwa ni wataalamu wa fani mbalimbali. Hivyo walipohamua kurudi Israel na kutumia lugha yao ya zamani walijua wanafanya nini.

Kwa upande wa Tanzania tulianzisha matumizi ya kiswahili lakini hatukuwa na wataalamu ambao wangeweza kuandika mambo yao katika kiswahili. Na bado tulitegemea wataalamu wa kigeni ambao hawakuwa tayari kujifunza kiswahili.

Kuna jamaa alimaliza Phd ya Physics na sasa anafanya kazi ya kuwasaidia wajapan wanapoandika research papers zao.

Hivyo hata Tanzania, tukiacha roho mbaya. Watu wanaweza kufanya research paper kwa lugha walizozoea na wengine wakawa wanawasaidia kuziweka katika kiingereza safi.

Bin Maryam,

Huu umekuwa wimbo wangu miaka mingi kudai Kiswahili kitumike kufundishia mfumo mzima wa elimu yetu. Watu wanasahau kuwa kumfundisha mtu kwa lugha mama ni rahisi kupata matokeo bora kuliko lugha ngeni.

Wengi wetu hata tulipokwenda Form 6, kiingereza kilikuwa bado ni tata na shida bila kukimbilia kamusi kutafuta tafsiri.

Ni vipi tutaweza kuwa na waelimika wengi ikiwa twatumia lugha ngeni ambayo mpaka leo miaka 47 ya kujiendesha tunashindwa kuitumia?

Naafiki kabisa kama tungefundisha fizikia kwa kiswahili, ungepata wanafunzi wengi wenye utashi wa kusoma ili waelewe fizikia hivyo kuongeza watu wenye kuweza kutumia elimu kuboresha maarifa na vipaji.

Kiingereza ni muhimu kujifunza kama lugha kwa ajili ya mawasiliano na si kitu cha kuona aibu kama utachapia kimombo au kushindwa matamshi! Tunaona ni ufahari na kuwa tumeelimika tukizungumza na kutoa matamshi ya Kiingereza bila mshindo wa kilugha au kubabaika. Hayo ndio tunayaita maendeleo!
 
Ngoja niongeze chumvi kwenye huu mjadala.. Hii ni kutoka gazeti la Mwananchi la March 1 2008

http://www.mwananchi.co.tz/newsre.asp?id=4781


Mwanafunzi Chuo Kikuu Dar ajiua kwa kunyimwa shahadaNa Kizitto Noya

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Nilla Makingu amejiua kwa kunywa sumu baada ya uongozi wa chuo hicho kugoma kumtunuku shahada yake.

Habari zilizolifikia gazeti hili miezi kadhaa baada ya kifo cha mwanafunzi huyo na baadaye kuthibitishwa na ndugu wa marehemu zinasema kuwa mwanafunzi huyo aliyekuwa anasomea shahada ya uhandisi, alijiua baada ya kushindwa kuwasilisha utafiti wake kwa wakati na chuo kukataa kuipokea.

Hata hivyo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala ametupilia mbali mdai hayo na kufafanua kuwa kifo cha mwanafunzi huyo si tukio la kuhusishwa na kushindwa kwake mitihani kwani alikuwa na njia mbadala ya kukamilisha masomo yake.

Kabla ya kifo chake mwanafunzi huyo aliyekuwa anahitimu mwaka wa nne katika Kitivo cha Uhandisi Julai 16 mwaka jana, aliandika kwa mkono ujumbe unaowalaumu maprofesa kadhaa wa chuo hicho (majina tunayo) kuwa wamemwonea kwa kukataa wake aliowasilisha kwa kuchelewa kutokana na ugonjwa.

"Nilishindwa kuwasilisha ripoti yangu kutokana na ugonjwa, pamoja na kutoa taarifa hiyo kwa uongozi wa chuo, bado hawakutaka kunielewa. Nimeona nichukue hatua hii ngumu kwa sababu ni wazi kwamba nimeshindwa kufikia matarajio yangu," sehemu ya ujumbe wa marehemu inasomeka na kuongeza:

?Ninasikitika kwa uamuzi huu ambao utamhuzunisha mpenzi na ndugu zangu lakini naamini mtanisamehe na kusahau muda mfupi ujao. Mnisamehe pia kwa kuwa tegemezi kwenu kwa muda mwingi lakini sikuwa na namna wala njia yoyote ya kuwasaidia.

?Nimejiua mwenyewe na kutaka taifa linizike hapa Dar es Salaam kwani hakuna sababu za kutumia gharama nyingi kunisafirisha kwenda Matongo - Bariadi. Nitupeni popote ili mradi tu nirudi kwenye udongo na asilaumiwe mtu. Ni mimi Nilla," uliendelea kusema ujumbe wake ambao nakala yake halisi ilipelekwa kituo cha polisi Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam.

Ndugu wa Marehemu katika taarifa yao waliulaumu uongozi wa chuo hicho wakisema kuwa isingewezekana mtoto wao anyimwe shshsda kwa kushindwa somo moja wakati masomo mengine yote amefaulu vizuri.

Wameonyesha wasiwasi juu ya mfumo wa vyuo vikuu wakidai kuwa ni wa kirasimu, unyanyasaji na ukandamizaji huku wakihusisha rushwa kuwa ni jambo lililokuwa likilalamikiwa na marehemu katika kushindwa kwake kumaliza masomo.

"Pia kulikuwa na mazingira ya rushwa, kujuana, ukabila na kunyanyasana huku wasionacho wakikosa haki zao," ilisema sehemu ya taarifa yao kwa vyombo vya habari.

Wazazi hao wameiomba serikali kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na suala hilo ili kubaini ukweli wake na kufanya mabadiliko ya mfumo wa uongozi katika chuo hicho.

"Wazazi wangependa kuona suala hili linachunguzwa kwa kina na serikali na mhusika, wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria kwani inaonekana ?madokta? na maprofesa ni miungu watu na mfumo wa uendeshaji wa chuo hicho ni mbovu na unahitaji marekebisho makubwa," ilisema taarifa yao.

Mdogo wa marehemu Nhandi Makingu aliliambia gazeti hili kuwa baada ya kushindwa kupata shahada yake, marehemu alikuwa anafundisha shule ya chekechea iliyoko Gongo la Mboto Dar es Salaam.

Alisema awali baada ya rufaa yake kukataliwa, marehemu alikuwa amekata tamaa ya kuishi na kuanza kuwakimbikia ndugu na rafiki zake kabla ya kuamua kufundisha katika shule hiyo ya awali.

Akifafanua zaidi Mukandala alisema mwanafunzi anayeshindwa kutimiza masharti ya kipindi, pamoja na kupewa alama ya kufeli, anapewa muda wa kurudia mtihani au anaweza kuendelea na masomo huku anarudia mtihani aliofeli au kurudia mwaka wa masomo jambo ambalo Nilla hakutaka kulifanya.

Kuhusu tuhuma za rushwa, Profesa Mukandara alisema haamini kwamba kuna wahadhiri wanaoweza kumdai mwanafunzi fedha ili wamfaulishe mitihani ingawa anaamini pia kuwa wahadhiri wa vyuo vikuu si malaika. "Mimi siamini kwamba kuna Profesa anayeweza kumwomba mwanafunzi fedha ingawa pia wao si malaika. Lakini katika hali ya kawaida mwanafunzi ana hela gani ya kumhonga Profesa?" alihoji Profesa Mukandara.
 
Kwa kuanza nime-install engine ya wikipedia. Hivyo mnaweza kutembelea www.elimupedia.com . Nafanya custumization ya lugha. Kwa hiyo naomba michango yenu katika kutafsiri link na navigation button. Tutaendelea kutumia JF kama forum.

yani hayo maneno magumu inabidi wataalamu wa kiswahili

Harafu kingine si lazima tutumie neno la kiswahili jipya,tunaweza tumia neno la kiingereza ila tukalifanya kua la kiswahili.
noja nijaribu ila sio sahihi
1.Edit=peruzi/pekua
2.discussion=majadiriano/mjadara
3.project page=ukurasa wa projekiti/mahala pa projekti/sehemu ya projekti
4.main page=ukurasa wa yaliyomo
5.current event=matukio motomoto/
6.recent changes=mabadiriko yalifanyika mda mfupi
7.community portal =lango la kuingilia
8.help =saidia
9.donann=changia/harambee
 
Tatizo mitoto mishamba yote inataka iende dar kuosha macho! njia pekee kufika huko ni kujiunga UDSM! ikiwa na ndoto za kufanya kazi BOT, TRA, TANROAD!

Kuna chuo kama SAUT wahadhiri wake ni watawa, pale hakuna rushwa wala ukabila ni kitabu tu. Yupo mhadhiri maalumu wa ushauri nasaha anaitwa Prof.Aidan ni mtawa angeliweza kumpatia huyu kijana ushauri wa kitaaluma na kiroho.

wahadhiri wa UDSM (eg. prof.baregu, dr.mvungi, prof.mkandara etc) kila wiki wako tvt wakipiga poroja ka masanja mkandamizaji! watapata wapi muda wa kufuatilia taaluma za chuoni?
 
Sisi tunatumia elimu ya Chuo Kikuu kama filtration system ambayo ina-discourage progress na hivyo kuishia kuwa na idafi finyu ya watu walioelimika na kuweza kutuongezea wataalamu na wabunifu. Tumefikia kuzalisha tabaka kubwa la Wanaohitimu kwa kufaulu mitihani na kushindwa kutumia elimu yao kwa jamii.

Nakumbuka sifa za Muhimbili, Kitivo cha Uhandisi na hata Sheria vilivyokuwa vikisifika kwa ku-disko watu na hata Waalimu kujisifu kwa kusema "mwaka huu nimewakomoa wanafunzi walikuja 100 nitahakikisha 10 tuu ndio wanafaulu!"
Hii si dhana endelezefu bali ni dhana dumazi! No wonder hata UDSM wanakuwa wagumu kukubali kuwa kuna taasisi nyingine ambazo zinaweza kuwa na uwezo wa kuwa vyuo.

Haswa Mkuu! Tunatambia visivyo na maana! watoto wa chekechea wanavaa graduation gowns and caps!!! Hatutafuti elimu bali tunatafuta sifa.
 
UDSM wakumbuke kuwa tz inavyuo vikuu 32! na serikali iko tayari kumgharimia mwanafunzi katika chuo chochote ilimradi ametimiza vigezo vitakavyowekwa. Serikali kwa sasa inaconcentrate na dodoma university na haina mpango tena na udsm.

UDSM wapandishe tu ada wakitaka wotoze 20m kwa semista, ila wakikosa wanafunzi wasitegemee ruzuku ya serikali sanasana tutakibinafisisha kwa mama Rwakatare.
 
Back
Top Bottom