data tunazozijua ni kuwa WALTER RODNEY kafanya paper zake nyingi za kuwa professor, na kazibiwa na hao hao maprof. ila baada ya kufariki ndipo walipoona aibu na kumpa huo uprofessor. sio roho mbaya?. hii inatokea kwa wengi tu!.
kama mkuu wa nchi alienda kuomba wataalamu nje ya nchi akidai tanzania hamna wataalamu, wakati chuo kimeendelea kutoa sheria tandu miaka nenda rudi, hivi unataka jibu gani kuwa chuo hiki cha udsm hakijakidhi matatizo ya nchi.
all the efforts so made since independence have been futile na sasa tunahitaji njia nyingine ya watu kuja na mawazo mapya. hatusiti kuwashutumu hao wanaotetea ufisadi kuwa nao ni mafisadi. au tunahitaji kumtumia DR Slaa na mwakyembe autumie circumstancial evidence kuwaunganisha na hao mafisadi?
tusiuje na hoja moja tu ya degree feki kuover rule others. hii hoja imeisha kubalika na pande zote na hivyo it is not in dispute. sasa hoja nyingine je.......
mimi ninadhani kitendo cha Rais wetu kudai hatuna wataalam ni dhairi kuwa UDSM imefubaza elimu ya tanzania.
BIG UP!!!
Rais alipo sema tz inaiingia mikataba mibovu kwa sababu haina wataalamu watu walisema kawa shushia hadhi lakini ukweli ndio huo.
Tanzania ni nchi tajiri mno kila kitu imejariwa ila tatizo ni kufeli kwa udsm kulikopelekea kufeli kwa elimu ya juu tz na consequences zake ni kufeli kwa uchumi wa tz.
Nitarudia kusisitiza
Hakuna nchi inayoweza kuendelea kama haina wataalamu,wabunifu kutoka elimu ya juu ktk nchi husika, Nchi iliyo na kila sababu ya kua moja ya nchi tajiri lakini cha kushangaza ndio masikini karibu kuliko zote duniani na kinacholitafuna taifa hili ni kufeli kwake kwa elimu ya juu.
Na unapoongelea elimu ya juu kwa tz unaongelea udsm .
Udsm imefubaisha elimu yetu udsm inabidi iangaliwe kwa jicho kali ili nchi ipate kujinusuru kielimu pia kiuchumi.
Ndugu yangu ni kweli hili limekua tatizo wenda tuliita janga la kitaifa.
Na kama kweli tunahitaji kujikomboa kiuchumi na kielimu hatuna budi kubadili uelekeo huu uelekeo tulio nao ndio kabisa tunaelekea kaburini.
Hili swala ni gumu na wote tunaoishi saizi tukubali kubali kuumia kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Mimi binafsi ningeshauri hivi serikali kwanza lazima ikubali kuingia gharama na ifanye hivi-
1.Ijitoe mhanga ihakikishe kila kona ya nchi kuna umeme.
2.Ijitoe mhanga kuhakikisha kila kona ya nchi inapata mawasiliano hasa internet kwa bei rahisi .
3. ihakikishe inafuta ushuru wa kuingiza computer,printer na vifaa vya namna hiyo .
4.ijenge chuo kingine kipya kikubwa na wahadhiri wake iwatoe nje ya nchi kama vile INDIA,CHINA,ISRAEL,VIETNAM,KOREA,ULAYA ,MAREKANI,JAPAN hawa waachiwe hiki chuo wafundishe miaka kama 15 ama zaidi ndio baadae waanze kuwaingiza taratibu wa tz .