Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,671
- 853
Okay. Nimesikia kuna binti hivi majuzi alipata GPA ya 4.8 inagawa sikumbuki alisoma kozi gani.
yule alisoma BSc Actuarial Sciences
Okay. Nimesikia kuna binti hivi majuzi alipata GPA ya 4.8 inagawa sikumbuki alisoma kozi gani.
yaani hiyo ndo unasema alivunja record? tafta ya Nyanto Salvatory, anasoma PhD huko Lowa marekani
Duh huyo haoleki maana ni shida nyingine duniani! Haya masomo mpaka upate first class lazima unalala library
Jamaa kichwa sana....Mwalimu Nyerere alimwandaa vizuri sanaa Maalim Seif...
His IQ is clearly the best and unquestionable...!!!
Ha ha umenikumbusha huyu jamaa tulitoka nae boys pale jamaa wa kigoma.kumbe analamba PhD kwa Obama alikuwa serious na kitabuyaani hiyo ndo unasema alivunja record? tafta ya Nyanto Salvatory, anasoma PhD huko Lowa marekani
Wewe ni mshamba kwelikweli. GPA haina uhusiano wowote na siasa. Si onawaona Ma-prof wengi wanaingia ulingoni wanachemka?
yule alisoma BSc Actuarial Sciences
Bana alipata 4.9 gpa.
Hizi ndo taarifa nilizo nazo mimi na kimsingi, hata kuingia kwake UDSM inasemekana hakukutokana na kuwa na sifa hizo bali kulinda zaidi muungano na kuwafanya wa-Zenj wengi zaidi kuingia chuo kikuu!Huyu naambiwa alishindwa kabisa Mwl akamsaidia ili kulinda muungano.
Ndugu yangu feedback umetu-insult waislam wote tunaoamini katika madrassa, please kuwa muungwana na tuombe msamaha, ni vizuri tukapunguza chuki hizi za kidini na kudharauliana, ni ushauri tu
wewe ni pacha wanguKumbe mi na GPA yangu 4.4 Finance sifui dafu kwa Seif
Mkuu hiki kilichoasisiwa na ccm ndani ya Tanzania si siasa halisi ni uongo ndo maana maprofesa wetu wanachemsha ndo maana badala ya kuenda mbele kama nchi tunarudi nyuma.Wewe ni mshamba kwelikweli. GPA haina uhusiano wowote na siasa. Si onawaona Ma-prof wengi wanaingia ulingoni wanachemka?
Huyo binti ni mtu wa kujirusha,hajui tution inafananaje,kozi aliyochukua ni mpya inahusiana na Hifadhi ya Jamii,alisoma EGM Benjamin Mkapa na mwaka wao aliongoza kwa somo la Economics Tanzania