THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
dah,kauli yake ina ukakasi sana mchungaji
Kwa hiyo kazi yenu ni moja kung'oa wakristo kwenye nafasi za uongozi na kuhakikisha kila chama kinasimamisha wagombea waislamu ili mjenge mfumo ISLAMU!.. Unampigia debe ZITTO ili mfumo islamu umpokee JK!
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.
Sasa mchungaji analalamikia uchizi upi? Huyu mchungaji anapaswa kuhojiwa na polisi kwa kuwadhalilisha waasisi wa muungano kwa kuwaita machizi.
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ
We ni mwongo na mdini!
Mfumo kristo umeingiaje hapa!
Pamoja Na hayo uamsho wamesema, wameandamana, kufanya vurugu na uharibivu. Utafananishaje uamsho na huyu Mchungaji? tumia akili.
Call a spade by it's name.....
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ
hawa wakristo wanachuki sana na uislam hawawezi kuwa ndugu zetu wanajifanya wao ni ndugu zetu kumbe ni unafiki
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.