UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

Mchungaji kasema kweli na watanzania tunahitaji watu wakweli Na wasio na uoga ili tupate mabadiliko ya kuelekea kwenye maendeleo.

Tabia ya woga kwa watanzania walio wengi ndio imetufikisha hapa tunaonekana Tanzania taifa la wendawazimu!
 
Kwa hiyo kazi yenu ni moja kung'oa wakristo kwenye nafasi za uongozi na kuhakikisha kila chama kinasimamisha wagombea waislamu ili mjenge mfumo ISLAMU!.. Unampigia debe ZITTO ili mfumo islamu umpokee JK!

Si anampigia bali anajipigia kampeni ili auondoe mfumo kristo na auingize kwa kasi MFUMO ISLAM
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

tatizo la uamsho ni kushambulia wrong enemy.
Huyu mchungaji kasema ukweli mtupu,kama uamsho hawataki muungano washambulie serikali,wazuie wabunge wa zanzibar kushiriki bunge la muungano otherwise wataonekana wahuni tu.
 
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!

- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!

- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!

LE MUTUZ

Katika watu waliofilisika kiakili na kifikra we unaongoza.

Nadhani ndio maama uko CCM kwa baba yako unangojea uongozi wa fadhila na urithi kwa sababu hufai popote pale.

Nani kakudanganya wachungaji na mashehe si watanzania na hawastahili kuengelea siasa!

Ndio matatizo ya kukariri
 
We ni mwongo na mdini!

Mfumo kristo umeingiaje hapa!

Pamoja Na hayo uamsho wamesema, wameandamana, kufanya vurugu na uharibivu. Utafananishaje uamsho na huyu Mchungaji? tumia akili.

Hayo majina ni ya kawaida sana kuitwa unapozungumzia mfumo kristo Tanzania. Kwa hiyo endelea tu. Kama chizi anaweza kutoa mchango kama wangu na mwenye akili akatoa kama wa kwako, tafsiri ya neno akili ina maana nyingine.

Unauliza mfumo kristo umeingiaje??

1) Hii habari ya kanisani lakini iko kwenye jukwaa la siasa. This means wachungaji wanachanganya dinii na siasa.

2) Uamsho au hata waislamu wa kawaida wakizungumzia siasa misikitini watu huwa mnabwatuka.

Serikali pia inawasikiliza walalamikaji kwa kuwakamata waislamu sio wachungaji kama huyu ambaye licha ya kuzungumza siasa ametukana na viongozi kabisa kwa kuwaita machizi.

3) Katika viongozi wa Uamsho waliokamatwa hakuna hata mmoja aliyefanya hayo maovu mnayoyasema.

Si siasa, si ukabila bali ni dini ndiyo itakayotugawa wa Tanzania tusipokuwa makini
 
Hivi wote mnaochangia hapa mmeshatoa maoni kwenye Tume ya Katiba? Isijekuwa tunafurahisha tu hapa. Twendeni kwenye Tume ya Warioba tukayasemee haya huko
 
mchungaji kaongea ukweli mtupu! Big up, 1:43 ! Haina mana kua sawa katika uwakilishi bali wao wachukue uwakilishi kulingana na ratio yao, pia mchungaji katoa maoni yake, Je kataja wapi ukristu kwenye hiyo sentensi? Na wewe ulieanza kusema ukristu ebu fafanua apo inakuaje umeingiza udini wakati mchungaji katetea nchi yenye wakazi mill 43 ambao ni mchanganyiko wa dini zote + wasio na dini.
 
sishangai udini umeletwa na ccm tangia enzi za cuf mpaka kwa chadema, hivi nchi ina mfumo kriso kweli? kwani pale magogoni anakaa mkristo, waislamu acheni hizo tujenge Tanzania yetu.
 
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!

- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!

- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!

LE MUTUZ

Willy ..
Watu wengi huwa wanatupia vimaneno Kwenye comment zako Kama Kubwa Jinga, weruweru, mwaibisha baba yake, bonge zero Na mengi ambayo Mimi siwezi kuadjoin sentensia zao kuzikubalia au kuzikataa lakini nadhani Mimi Kwa utu wangu Na heshima nikikuita Kwa majina hayo itakuwa zaidi ya haya Kwa mzee wako tunayemuheshimu bado. Lakini nikushauri

Mch Gwajima Kwenye sentensi yake hakuongelea udini, hakuongelea makanisa Wala ukanisa, hakuongelea SADAKA Wala usadaka hoja yake ni hiyo aliyo iweka wazi, Kama unadhani hukubaliani nae Kwa upevu wa kisiasa wako au wa kuuliza kwa wakubwa zako ungekuja Na hoja kufafabua Hoja iliyobandikwa Kwa mtazamo wako nadhani ungepevukia kimawazo. Lakini mwanasiasa chipukizi Kama wewe kukurupuka kubandika bandiko Kama Hili ni haya sana Hata kwako binafsi.. Na iko siku utamface huyo Gwajima Na Sijui utaeleza Nini Kwenye bandiko lako hili.. Unazianza vibaya siasa kijana..
 
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!

- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!

- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!

LE MUTUZ

Hakuna cha makanisa uchwara!.. Hoja hii imetulia. Zanzibar inabebwabebwa tu kwa gharama za Wabara!
 
Kwa maneno haya kawapigia TRA kupitia CCM wataanza maneno yao mara kofi , Mara ni mnyarwanda nk .Mwisho wa Wazanzibari sasa watu wa makanisa wameamka na wanafunguka let us see .But what I know wazanzibari wanaupenda muungano maana hawana maisha nje ya Muungano .Maisha yao hao wapemba yako Bara sasa wacha tuone .Wameanza wao .
 
hawa wakristo wanachuki sana na uislam hawawezi kuwa ndugu zetu wanajifanya wao ni ndugu zetu kumbe ni unafiki

Umeonawapi wakristo wameweka maspika na vipaza sauti na kuanza kutukana waislam kama mnavyofanya nyie mkiongozwa na huyu kenge anayeitwa shehe ponda
 
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!

- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!

- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!

LE MUTUZ

Usisahau historia Bw FMES, baba yako John alianzisha Movement ya kutaka serikali ya Tanganyika na akaunda kundi la G55, kitu ambacho ni uasi kuliko hata wa huyu mchungaji aliyetamka maneno tu. Au unataka na sisi tuirejee historia na kuanza kumporomoshea kashfa mzazi wako??? By the way si ndio anayekuweka mjini, au umeisha panga nyumba?
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

Acha ushabiki wa KIJINGA, uamsho wanachoma makanisa, sijui yanahusika vipi na Muungani?
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

Chuja mawazo yako, acha kuongea mawazo ghafi...In no time utasema kuwa...kwenda shule (kuelimika), kukalia makochi, women rights, human rights, kuvaa nguo za ndani n.k vyote ni mfumo Kristo.
 
...Nadhani ni muafaka nikianza kwa nukuu ya Mwalimu Nyerere kutoka kwa kijitabu cha TUJISAHIHISHE (1962, ukurasa wa 8):
Watu walio hatari ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja ya kujifunza zaidi.
Inawezekana Mch. Gwajima hakuwahi kusoma kitabu hiki cha Mwalimu Nyerere (1962) na inawezekana Mch. Gwajima ana matatizo ya "ugonjwa" wa ubinafsi zaidi ya tunavyodhani! Nina sababu ya kudhani hivyo; na siwezi kuuma maneno juu yake, hoja zifuatazo zina kila sababu ya kujibu madai yake juu ya UCHIZI anaouona yeye (Mch. Gwajima). Hoja zangu ni hizi:

  1. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni zao la Mkataba wa Muungano (Articles of Union) baina ya nchi mbili;
  2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliridhiwa Tanganyika na kupitishwa kwa Sheria Na. 22 ya mwaka 1964 inayotambua kwamba, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni "muungano" wa nchi MBILI (Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar)...rejea Kifungu cha 3 na 4 cha Sheria Na. 22, 1964...kwa jinsi hiyo, MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar si muungano wa WATU isipokuwa ni muungano wa JAMHURI mbili (Tanganyika na Zaznibar).

Nadhani Mch. Gwajima anahitaji "aelewe" kwamba: ZILIZOUNGANA NI NCHI MBILI; NA SI WATU WA NCHI MBILI! Kwa kuwa nchi mbili (Tanganyika + Zanzibar) ndizo zilizoungana hakuna sababu yeyote kudhani kwamba kwa wingi wa WATU wa sehemu moja ya muungano ndivyo tunavyoweza kufanya maamuzi juu ya MUUNGANO ambao asili yake (kwa mujibu wa Articles of Union na Sheria Na. 22 ya 1964) ni mkataba wa kisheria baina ya NCHI MBILI HURU (NA ZILIZO SAWA MBELE YA SHERIA).

Hata kama kulikuwa na jitihada za makusudi za kupora UHURU wa nchi moja (Tanganyika) na kuipoteza kwenye ramani ya nchi za dunia kwa kisingizio cha MUUNGANO; bado sehemu ya wenye AKILI za upembuzi ulikuwa ukitafuta wakati wa kuliweka jambo hilo sawa na kulitafutia MUAFAKA (Zanzibar walipofanya Marekebisho ya Katiba 2010 waliamua kuandika wazi kwamba: Zanzibar ni NCHI inayounda MUUNGANO)...huu ndio mwanzo, na tamko (kauli) ya Mch, Gwajima inaonyesha wazi "agenda" iliyojificha nyuma ya tamko (kauli) lake/yake na hatuwezi kudhani kwamba amefanya hivyo akiwa na AKILI TIMAMU, au kama hajui kwamba MUUNGANO uliundwa kwa mujibu wa "makubaliano" yaliyoridhiwa na watu wawili (NYERERE na KARUME) kwa niaba ya NCHI MBILI (Tanganyika na Zanzibar).

Mwisho, kama Mch. Gwajima anadhani kwamba Watanganyika milioni 43 (sasa, kwa mujibu wa Matokeo ya Idadi ya Watu, 2012) wanaweza kuwameza Wazanzibari milioni 1+; hii ni dhana HASI (-) inayohitaji kukemewa kwa NGUVU (za UHURU, HAKI na USAWA) kwa kuwa Zanzibar ilikuwa NCHI na bado ni NCHI kama ilivyo TANGANYIKA. Kama dhana ya idadi ya watu ndio kigezo cha kufanya maamuzi ya kisiasa kuhusu MUUNGANO, basi Articles of Union (1964) na Sheria Na. 22 zingaliweka kipengele hicho kwenye nmuktadha wa sheria ili kwa sheria hiyo muafaka wa kisiasa baina ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar waamue justakabali wao kwa njia hiyo. Uchizi wa dhana hiyo unaweza kusomeka kwa mtu asiyehoji kisheria kwa MUUNGANO uliyofanywa kisheria; isipokuwa anataka (huyo mtu) kuhoji kwa utashi wa atakavyo yeye au kama anavyoona yeye pasipokuwa na hoja zenye mashiko ya kisheria na au rejea rasmi zilizokubaliwa na NCHI mbili (Tanganyika na Zanzbiar).


Muungano umefanyiwa marekebisho mengi; na wasomi wa SHERIA wameandika sana juu yake, kwa hiyo namuomba Mch. Gwajima (na wenye mawazo kama yake) warejee rejea za kisomi juu ya sherehe (upembuzi na usanifu) wa tasnia ya MUUNGANO kwa mtazamo wa UHURU, HAKI na USAWA. Tusitengeneze wafuasi juu ya kuchukia jambo (au mambo) usiyoyajua...na kwa anayejiita "mtu wa mungu" kama Mch. Gwajima lazima atambue kwamba MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar haukuwa "muungano wa watu" ulikuwa muungano wa kisheria baina ya NCHI MBILI HURU; na si kinyume chake - HUU NDIO UKWELI...kinyume chake Mch. Gwajima anataka atuaminishe UONGO (kwa maslahi yake).
 
Back
Top Bottom