Chuja mawazo yako, acha kuongea mawazo ghafi...In no time utasema kuwa...kwenda shule (kuelimika), kukalia makochi, women rights, human rights, kuvaa nguo za ndani n.k vyote ni mfumo Kristo.
William unasema makanisa uchwara ?
Baba yangu anakimbiza ujumbe wa Membe kwa yule Baba Paroko wa kuleeee mahala ili aweze kumvaa Kardinali Pengo ili ampigie chapuo Membe .Na gari kapewa kumpelekea unataka tumwagike na data hapa ? Leo unasemaje makanisa uchwara ?Mbona Lowasa anayatumia kujiweka sawa si makanisa ? Au baba yako alipoenda kuitwa J4 kwa jina la madaraka haikuwa dini ? Unajua CCM mnachekesha sana .Mmeanzisha wenyewe sasa mnaweweseka tutawafuta hukohuko makanisani na misikitini we know your ways hakuna siri siku hizi .Mwambie baba yake tunajua anacho fanya juu ya Membe na kanisa katoliki .It is matter of time tutafunguka hapa hapa.We are watching you
Willy ..
Watu wengi huwa wanatupia vimaneno Kwenye comment zako Kama Kubwa Jinga, weruweru, mwaibisha baba yake, bonge zero Na mengi ambayo Mimi siwezi kuadjoin sentensia zao kuzikubalia au kuzikataa lakini nadhani Mimi Kwa utu wangu Na heshima nikikuita Kwa majina hayo itakuwa zaidi ya haya Kwa mzee wako tunayemuheshimu bado. Lakini nikushauri
Mch Gwajima Kwenye sentensi yake hakuongelea udini, hakuongelea makanisa Wala ukanisa, hakuongelea SADAKA Wala usadaka hoja yake ni hiyo aliyo iweka wazi, Kama unadhani hukubaliani nae Kwa upevu wa kisiasa wako au wa kuuliza kwa wakubwa zako ungekuja Na hoja kufafabua Hoja iliyobandikwa Kwa mtazamo wako nadhani ungepevukia kimawazo. Lakini mwanasiasa chipukizi Kama wewe kukurupuka kubandika bandiko Kama Hili ni haya sana Hata kwako binafsi.. Na iko siku utamface huyo Gwajima Na Sijui utaeleza Nini Kwenye bandiko lako hili.. Unazianza vibaya siasa kijana..
Acha ushabiki wa KIJINGA, uamsho wanachoma makanisa, sijui yanahusika vipi na Muungani?
Ila nadhani ile sala ya kufufua mtu ndio ilikuwa kutafuna muneno!HANA Kupepesa ulimi, kila kitu anakipa jina lake vilevile, chungwa linaitwa chungwa sio "kakitu katamtam hivi" pilipili anaiita pilipili na si "kajidude kakali mdomoni", Maneno yake ndio "NDIO' na sio "SIO"
"Kipande cha nchi Chenye idadi ya wakaazi Milioni Moja Tu Kinaungana na Kipande kikubwa cha nchi chenye zaidi ya watu zaidi ya Milioni arobaini na Tatu, halafu vipande hivi viwili vinakuwa na Nguvu sawa kwenye Kuunda Hatma ya Nchi (Katiba), Huu ni Uchizi.. "Mch Gwajima, Sunday speech Leo.
Hayo majina ni ya kawaida sana kuitwa unapozungumzia mfumo kristo Tanzania. Kwa hiyo endelea tu. Kama chizi anaweza kutoa mchango kama wangu na mwenye akili akatoa kama wa kwako, tafsiri ya neno akili ina maana nyingine.
Unauliza mfumo kristo umeingiaje??
1) Hii habari ya kanisani lakini iko kwenye jukwaa la siasa. This means wachungaji wanachanganya dinii na siasa.
2) Uamsho au hata waislamu wa kawaida wakizungumzia siasa misikitini watu huwa mnabwatuka.
Serikali pia inawasikiliza walalamikaji kwa kuwakamata waislamu sio wachungaji kama huyu ambaye licha ya kuzungumza siasa ametukana na viongozi kabisa kwa kuwaita machizi.
3) Katika viongozi wa Uamsho waliokamatwa hakuna hata mmoja aliyefanya hayo maovu mnayoyasema.
Si siasa, si ukabila bali ni dini ndiyo itakayotugawa wa Tanzania tusipokuwa makini
Its Freshthinking; wachungaji waachane na siasa. Kinyume chake wataligawa taifa kwa misingi ya dini.
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.
Tofauti ni kubwa, huyu hachomi makanisa wala matawi ya CCM na kuacha ya mkewe CUF.
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ
Willy ..
Watu wengi huwa wanatupia vimaneno Kwenye comment zako Kama Kubwa Jinga, weruweru, mwaibisha baba yake, bonge zero Na mengi ambayo Mimi siwezi kuadjoin sentensia zao kuzikubalia au kuzikataa lakini nadhani Mimi Kwa utu wangu Na heshima nikikuita Kwa majina hayo itakuwa zaidi ya haya Kwa mzee wako tunayemuheshimu bado. Lakini nikushauri
Mch Gwajima Kwenye sentensi yake hakuongelea udini, hakuongelea makanisa Wala ukanisa, hakuongelea SADAKA Wala usadaka hoja yake ni hiyo aliyo iweka wazi, Kama unadhani hukubaliani nae Kwa upevu wa kisiasa wako au wa kuuliza kwa wakubwa zako ungekuja Na hoja kufafabua Hoja iliyobandikwa Kwa mtazamo wako nadhani ungepevukia kimawazo. Lakini mwanasiasa chipukizi Kama wewe kukurupuka kubandika bandiko Kama Hili ni haya sana Hata kwako binafsi.. Na iko siku utamface huyo Gwajima Na Sijui utaeleza Nini Kwenye bandiko lako hili.. Unazianza vibaya siasa kijana..
Sitegemei maoni tofauti sana na ya kwako kwa sababu ya mfumo uliokulea. Totauti ya UAMSHO na huyu ni dini zao. Kama unaweza rejea threads nyingi dhidi ya Uamsho, wengi walikuwa wakiuliza Uamsho imesajiliwa kufanya shughuli za dini au za kisiasa. Nawewe huenda ulikuwa miongoni mwao. The same question inabidi uliulize kwa huyu mchungaji. Kwanini anajadili siasa kanisani?
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.
Tatizo uamsho wengi waarabu na wanafuga midevu miingi kama osama au alqaeda