kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,309
- 17,843
Hata wewe pia sio mtz bali ni mjaluo
Siku izi miujiza ya kuwatoa watu misukule imekwisha! viongozi wa dini wanaanza kuongelea siasa..damn it!
Hata wewe pia sio mtz bali ni mjaluo
Kwa hiyo kazi yenu ni moja kung'oa wakristo kwenye nafasi za uongozi na kuhakikisha kila chama kinasimamisha wagombea waislamu ili mjenge mfumo ISLAMU!.. Unampigia debe ZITTO ili mfumo islamu umpokee JK!
]
Inawezekana nikawa Zoba nawewe Zoba square. Ushahidi wa unayoyasema huna. Kwanini maaskofu na wachungaji wanapuzungumzia hoja za kisiasa makanisani mnawasupport na kuwapigia makofi lakini mashkh wanapozungumza hivyo wanakamatwa na kuteswa bila dhamana. MFUMO KRISTO UNAZIDI KUJIDHIHIRISHA ndani ya Tanzania.
Lakini tunaweza kurekebisha vipengele hivyoNdio Muungano wetu huo...umeshatokea tena
Call a spade by it's name.....
hawa wakristo wanachuki sana na uislam hawawezi kuwa ndugu zetu wanajifanya wao ni ndugu zetu kumbe ni unafiki
wachungaji wetu wanakazi ya kuhubiri imani yao sio siasa
We inaonekana unawa.zi.mu
wewe muono wako ni upi baada ya kuliona hilo swala lakusadikika kuwa kuna mfumo kristo tanzania..
Hazijaungana kilichobadilika ni jina tu kuondoa TANGANYIKA.
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.
- Huyo Mchungaji hamuwakilishi anybody zaidi yake mwenyewe, ameonyesha kwamba uwezo wake wa kufikiri unaanzia wapi na kuishia wapi, siku hizi Makanisa yamekuwa sehemu ya Biashara na kutafuta kuwa-blackmail wanasiasa wasiojitambua ndio wanahangaika kila siku Makanisani, I mean ndio maana mimi siku hizi nayaogopa sana haya Makanisa Uchwara ambayo kwa Viongozi wake kutafuta mlo yameacha mafundisho ya dini na kililia siasa kila siku!
- Waumini wa hilo Kanisa ni bure tupu na Maskini Mchungaji wao!!, kama anataka agombee uongozi wa siasa otherwise ya Kaizari amuachie Kaizari!!
- CCM OYEEE!! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
LE MUTUZ