Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,679
- 12,380
Hivi kwa kilugha chenu, malaika mna mwitaje ??
Must you show your foolishness everywhere??
Hivi kwa kilugha chenu, malaika mna mwitaje ??
Must you show your foolishness everywhere??
Must you show your foolishness everywhere??Funga bakuli lako.
Mungu ni shog.
Upo sahihi kaka, waafrika wengi ni waoga kuhoji mambo ya imani kwa lugha UNAKUFUR, huu uoga ndio unaotuathiriUoga wa kutafuta facts ndio unafanya Africa tunazidi kuonekana mbumbumbu na kubakia masikini wakubwa duniani tukiogopa kukufuru na kitafuta ukweli juu ya hizi imani.
Ni kweli, ila sidhani kama alimuua. Mungu yupo fair sana.NIMROD alikua ni MTAWALA pia alikua ni Hunter mzuri sana..
na aliwai kiamini kua Kwa utaalamu na Nguvu alizo kua nazo akipiga Arrow angani mshale uta mpata malaika (strike an Angel)
Na ndie muhasisi wa kujenga TOWER OF BABEL (Mnara wa babel)
Aliamini kua huu Mnara wake angefika mbinguni (paradise) Kwa uraisi mkubwa.......
history haielezei Zaid tunacho kisoma ni kua Mungu Ali msambalatisha nimrod na ufalme wake....
una mambo mengi sana ya kujifunza,Mpumbavu mmoja alisema ety kwann wachawi wengi ni masikini mtu anamiliki nafsi 400 za washirikina unamuita masikini njoo kwenye realm huku ye nikama moHivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.
Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?
Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?
Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?
Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?
Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?
Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?
Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu
Jifunze kuishi kwa technique.
Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
utajiri ha utafutwi bali mtu hupewa atafutae utajiri huisjia kuuwa watuUtajiri au umasikini ni ujanja wako tu, haihusiani na Mungu
Namtusi ili ajue haogopwi.Must you show your foolishness everywhere??
Tubu kwa hilo tusi lakoFunga bakuli lako.
Mungu ni shog.
Nitubie kwako??Tubu kwa hilo tusi lako
UNAIELEWA VIZURI HABARI YA FARAO AU UMESOMEWA BIBLIA, MUNGU YEYE MWENYEWE ALIMFANYA FARAO AWE NA MOYO MGUMU HASIWAACHIE WANA WA ISRAEL,Hizi ni kufuru....any way hakuna Alie wai anzisha mtiti na MUNGU akashinda.....
Wap FARAO, Wap Nebucadreza, Wap Goliath, Wap Nimrod ,Wap Pirato.....
Ni list ndefu...
Achana na hii mijadala ya kum challenge Almighty God..
Kila mara fanya ivi na jitamkie namwomba Mwenyez MUNGU...Roho mtakatifu wake Angie ndani yangu ni ijue Kweli..na kupitia kwel namimi niwe huru....
Fanya hivi mara Kwa mara Kwa Imani....
Mkuu wewe ni Masonic au Atheist? Kwa nini una hasira na Mungu kiasi hicho?Nitubie kwako??
Mkuu we utakua ""foka""Nini.
Aliufanya mgumu Ili watu mama kama nyinyi muweze kuelewa......................UNAIELEWA VIZURI HABARI YA FARAO AU UMESOMEWA BIBLIA, MUNGU YEYE MWENYEWE ALIMFANYA FARAO AWE NA MOYO MGUMU HASIWAACHIE WANA WA ISRAEL,
SASA APO KOSA LA FARAO NI NINI IKIWA KAMA YEYE MWENYEWE MUNGU NDIO ALIYEUKAZA MOYO WAKE UWE JEURI KUZIDI KUWASHIKILIA WAISRAEL.
SAWA, KWAIYO APO DHAMBI AMEIPATA NANI, MUNGU AU FARAO.Aliufanya mgumu Ili watu mama kama nyinyi muweze kuelewa......................
Mungu humchagua amtakaye hum hurumia amhurumiaye.......
MUNGU HUMCHAGUA AMTAKAE HUMPA KIPIGO NA ROHO MBAYA NA NGUMU AMTAKAYE....
KUSUDI LA MUNGU KUCHAGUA LITASIMAMA
Tupo pamoja ndugu yangu
😂😂Hamna mkuu.Mkuu wewe ni Masonic au Atheist? Kwa nini una hasira na Mungu kiasi hicho?