Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

kifo kipo tu, kwaiyo ww habari ya kifo ndio inayokuforce kuamini na visivyo

Hawa watu wa hizi imani jau sana.

Mtu anakwambia Mungu ndio mpangaji wa kila kitu na anajua kila kitu (kuanzia kuzaliwa kwako, ukuaji wako, jinsia yako, leo yako, kesho yako mpaka kifo chako)

Lakini ikija issue ya motoni au pepono wanasema umejichagulia wewe mwenyewe.

Dini ni hatari kuliko hata maradhi.. yani unatawaliwa na kufungwa kifikra na unaogopa kujipambazua na kuwazua pamoja na elimu yako kwa hofu ya kukufuru.

Wapo watu nawajua ni smart sana kielimu, kimaamuzi, kifikra ila linapokuja swala la imani hapo ndipo naona namna mzungu aliamua kucheza na akili zetu.
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Hizi ni kufuru....any way hakuna Alie wai anzisha mtiti na MUNGU akashinda.....

Wap FARAO, Wap Nebucadreza, Wap Goliath, Wap Nimrod ,Wap Pirato.....
Ni list ndefu...

Achana na hii mijadala ya kum challenge Almighty God..
 
USIINGILIE UGOMVI WA MUNGU NA SHETANI ATA HAUJUI CHANZO CHAO ILIKUWA NI NINI WEW MWANADAMU WA JUZI TU, VITA VYAO HAVIKUHUSU,

IPO SIKU WAKIJA KUPATANA SIJUI UTASIMAMA UPANDE UPI

Wakumbuke kwamba vitabu hivyo wanavyovitumia katika imani vinasema Mungu anasamehe ila wao wanakwambia shetani hawezi samehewa tena yani unaweza hisi wao ni wapanga maamuzi na Mungu.
 
Hizi ni kufuru....any way hakuna Alie wai anzisha mtiti na MUNGU akashinda.....

Wap FARAO, Wap Nebucadreza, Wap Goliath, Wap Nimrod ,Wap Pirato.....
Ni list ndefu...

Achana na hii mijadala ya kum challenge Almighty God..

Usitishie mtu njoo na facts, hao watu unaowataja wewe mwenyewe umeishia kuwasikia na kuhadithiwa pasipo kuwa na uhakika na ukweli juu yao.

Hata wewe ipo siku utakufa tuu kama wao na watu wataulizana “wapi am 4 real”
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Umetukana mambamto ungalipo sawa tumekupata
 
Usitishie mtu njoo na facts, hao watu unaowataja wewe mwenyewe umeishia kuwasikia na kuhadithiwa pasipo kuwa na uhakika na ukweli juu yao.

Hata wewe ipo siku utakufa tuu kama wao na watu wataulizana “wapi am 4 real”
Hakuna mtu mbishi kama humu Jf kama Kiranga likija swala la IMANI za dini....
Still na wew nakuingiza kwenye list yangu kuwaombea Ili siku Moja muitangaze injili ya Yesu kristo wa Nazareth kua ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu....

Nakusalimia🤚
 
Shetani ndiye mtawala wa ulimwengu huu na ndiye chanzo cha mambo yote mabaya.

Ni maskini duniani ila kwa Yehova sisi ni matajiri.
Hazina zetu tunaweka mbinguni huko mchwa, nondo hawawezi kiziharibu. Hata wezi hawawezi kutuibia...
Shetani anasingiziwa sana,kwa hiyo huyo Mungunameshindwa kum control shetani.
 
Hakuna mtu mbishi kama humu Jf kama Kiranga likija swala la IMANI za dini....
Still na wew nakuingiza kwenye list yangu kuwaombea Ili siku Moja muitangaze injili ya Yesu kristo wa Nazareth kua ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu....

Nakusalimia[emoji1672]

Mimi sitaki kuombewa nataka UKWELI juu ya ukiaminicho ili na mimi niweze kujiombea na kuombea wengine.
 
Hivi Nimrod mwisho wale ulikuwaje?
NIMROD alikua ni MTAWALA pia alikua ni Hunter mzuri sana..
na aliwai kiamini kua Kwa utaalamu na Nguvu alizo kua nazo akipiga Arrow angani mshale uta mpata malaika (strike an Angel) 😇

Na ndie muhasisi wa kujenga TOWER OF BABEL (Mnara wa babel)
Aliamini kua huu Mnara wake angefika mbinguni (paradise) Kwa uraisi mkubwa.......

history haielezei Zaid tunacho kisoma ni kua Mungu Ali msambalatisha nimrod na ufalme wake....
 
NIMROD alikua ni MTAWALA pia alikua ni Hunter mzuri sana..
na aliwai kiamini kua Kwa utaalamu na Nguvu alizo kua nazo akipiga Arrow angani mshale uta mpata malaika (strike an Angel) 😇

Na ndie muhasisi wa kujenga TOWER OF BABEL (Mnara wa babel)
Aliamini kua huu Mnara wake angefika mbinguni (paradise) Kwa uraisi mkubwa.......

history haielezei Zaid tunacho kisoma ni kua Mungu Ali msambalatisha nimrod na ufalme wake....
Hivi kwa kilugha chenu, malaika mna mwitaje ??
 
Back
Top Bottom