Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Hivi kwanini watu mnadhani Mungu ni kama mtu wa kumchezeachezea kama peremende?
Mungu hanaga utani na mwanadamu, ana upendo usio na kikomo na at the same time ghadabu kali mno Kwa wanaomuasi kwa makusudi .
Yaani utumie uchawi then umrudie Mungu unaongea kwa urahisi hivyo?
Chagua upande, ukitaka kumtumikia Mungu Mtakatifu mtumikie , ukitaka uchawi nenda.
Kwanza ni nani kakuambia Mungu ameumba note za pesa? Mungu kaumba dhahabu na minerals zingine za thamani, so hizi pesa Kuna mmiliki wake(mungu wa pesa) anaitwa mammon.
Mbona kuna mashoga wanamuhasi Mungu wengine wanamwita ni mwanamke na bado wanatoboa tena wanapesa mbaya
 
Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
Nilikuwa najua una content
Nimefahamu licha ya kuwa dr ila una matatizo
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Nani kakwambia kila Mtu anataka kuwa Tajiri?



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Andiko machachari hivi bila rejea (reference) linakosa mashiko
 
Ndio Mungu ameumba maradhi kifo uzima uhai yoooote hayo ni Mtihani wakujaribiwa imani zetu je tutakufuru atuingize katika moto wa jahanamu au tutasubiri ili atulipe pep. Shetani hawezi kukudhuru mpaka apewe izini ya Mungu kukudhuru.
Kwahyo mungu alimuumba binadamu kwa lengo la kuja kumjaribu ?

Na kipi kilianza kuumbwa kati ya Jahanamu na Shetani ?
 
Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.

Hapa ndipo unapozidi kijichanganya ukihisi upo sawia.

Unasema Mungu amekuleta duniani na kukupa mtihani then unasema Mungu ndio hupanga kifo chako (Maana yake kwamba anajua A - Z ya maisha yako)

Inamaana hata mchawi, jambazi, anajua kwamba watakuja kua hivyo kabla hata hajafanya maamuzi ya kuwaumba na watakufa kwa namna flani ambayo itawapelekea kwenda motoni.

Yani ni kama saivi wewe upewe option ya kuzaa mtoto kisha upewe ufahamu wa kupanga au kutambua fika huyu atakuja kuwa jambazi, mwizi, mchungaji, malaya, shoga, tajiri je utachagua yupi kati yao??
 
Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
Kwahy mungu kashanipangia kuhusu kifo changu na kilakitu kunihusu mimi,

Sasa kwann anipeleke jahanamu wakati kila kitu yeye ndo kanipangia ??
 
Hapa ndipo unapozidi kijichanganya ukihisi upo sawia.

Unasema Mungu amekuleta duniani na kukupa mtihani then unasema Mungu ndio hupanga kifo chako (Maana yake kwamba anajua A - Z ya maisha yako)

Inamaana hata mchawi, jambazi, anajua kwamba watakuja kua hivyo kabla hata hajafanya maamuzi ya kuwaumba na watakufa kwa namna flani ambayo itawapelekea kwenda motoni.

Yani ni kama saivi wewe upewe option ya kuzaa mtoto kisha upewe ufahamu wa kupanga au kutambua fika huyu atakuja kuwa jambazi, mwizi, mchungaji, malaya, shoga, tajiri je utachagua yupi kati yao??
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom