Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,812
- Thread starter
- #101
Mbona kuna mashoga wanamuhasi Mungu wengine wanamwita ni mwanamke na bado wanatoboa tena wanapesa mbayaHivi kwanini watu mnadhani Mungu ni kama mtu wa kumchezeachezea kama peremende?
Mungu hanaga utani na mwanadamu, ana upendo usio na kikomo na at the same time ghadabu kali mno Kwa wanaomuasi kwa makusudi .
Yaani utumie uchawi then umrudie Mungu unaongea kwa urahisi hivyo?
Chagua upande, ukitaka kumtumikia Mungu Mtakatifu mtumikie , ukitaka uchawi nenda.
Kwanza ni nani kakuambia Mungu ameumba note za pesa? Mungu kaumba dhahabu na minerals zingine za thamani, so hizi pesa Kuna mmiliki wake(mungu wa pesa) anaitwa mammon.