Maisha yametokana na interplay ya nguvu nyingi za kiasili, si nguvu moja.
Hata wanasayansi miaka mingi sana wamekuwa wakitafuta "the theory of everything", lakini, miaka ya hivi karibuni wameanza kujihoji kama hiyo "theory of everything" ipo kweli, au wanahamishia kasumba zao za kidini kwenye sayansi na kumtafuta Mungu katika theories za kisayansi!
As far as the origin of our universe, which may be one of many, the current scientific thinking and the Big Bang model require us to reconcile Einstein's Relativity with Quantum Mechanics to produce a Quantum Gravity Theory, which will explain what happenned t the singularity of the Big Bang.
So, we have to work on that, people are working on that.Perhaps with the help of quantum Computer and AI, we will make some leaps.
But these things are neither in The Bible, nor in The Quran.