Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,113
- 136,818
Tuma your real I'd na majina ya wazazi wako ya utotoni wote wawili, tuanze kazi ! Unamjua mchuzi wa nyoka ?!
Nitume wapi na kwa nani?
Na kwa nini hadi "real I'd"?
Kwani huyo mchawi hawezi kutumia hizo nguvu zake za kichawi kujua mimi ni nani?