Uchawi niliowahi kuushuhudia!

Uchawi niliowahi kuushuhudia!

ebwanaeee,. Tena utakuta dogo kafungwa kamba kiunoni ina kibusta kama andazi vile

Kule MARAMBA wanaita Kondensa, hirizi nyingine zinafungwa mkononi karibu na kwapa, usicheze na ushirikina weye
 
Basi wewe huijui Tanga, Je unamkumbuka Sheikh Omari Vikapu?
Huyu alikuwa na shamba lake la minazi basi kuna vjana walikwenda kuiba nazi, shambani kwake. Akatangaza na kuwapa siku saba wezi wajisalimishe la sivyo atasoma hiyo Halal Badri, wezi wakakaidi. Basi Mzee Omari Vikapu akashusha dua ya Halal Badri, kilichotokea ilikuwa ni maafa, wale vijana wote walifariki isipokuwa mmoja alisalimika, punda waliobeba zile nazi waliangamia, minazi iliyotumika kufungwa wale punda ilikauka, vyuma vilivyotumika kufulia zile nazi vilivunjika vipande vipande. aliyesalimika ni kijana mmoja aliyekwenda kujisalimisha kwa huyo mzee na kuomba radhi, lakini aliambiwa ni too late dua ishasomwa. hata hivyo alimshika kichwani na kumuombea dua. alisalimika, lakini alioza pua na mdomo na baada kuhangaika sana akapona lakini alikuwa ameharibika sura kwani sehemu ya pua na mdomo ilikuwa imeondoka na hivyo kuacha kinywa wazi, alikuwa anafunga kigozi ili kuficha meno yasionekane. watu wakawa wanamwita Omari Kigozi na shughuli zake zilikuwa ni pale Soko la Ngamiani. Naamini waliowahi kuishi hapo miaka ya 80, watakuwa wanamkumbuka.

dah! hii inanikumbusha mheshimiwa mmoja usukumani alikuwa akiitwa ng'wanamalundi. inasemekana alikuwa mkali sana na kuna siku kulikuwa na mkesha wa ngoma kijijini kuni zikaisha. alipoambiwa alinyosha kidole tu kwenye msitu jirani akasema
"kuni si hizo mchukue" mara miti yote kwenye ule msitu ikakauka pamoja na mifugo iliyokuwa kwenye huo msitu, na watu pia! mheshimiwa huyu alihukumiwa kifungo miaka saba lakini kabla hajakamatwa aliacha maziwa kwenye kibuyu na kumueleza mkewe akiona maziwa yameganda ajue ndio ameishakufa vinginevyo maziwa yatabaki fresh mpaka arudipo! naam, maziwa yalibaki fresh miaka 7! jamaa akarudi akayakuta. Habari hii ipo kwenye kitabu kinaitwa "Ng'wanamalundi..."
 
Nina ombi.

Kama kuna mchawi yeyote humu, basi naomba anifanyie jaribio.

Naomba aniroge.
 
Cape city hivi unamjua yule Basha maarufu shabiki wa Coastal Union anaitwa Bwan Kaka?
kana humjui basi wewe Tanga huijui.

Anaitwa Hamisi Mduruma, golkipa wa Coastal Union enzi za kina Omar Zimbwe ! Alikuwa na timu yake mwenyewe na aliupenda mpira haswa, Razak Yusuf aka Careca ni moja ya products zake! Bonge la mtu ! Mungu amrehemu bwana kaka !
 
Last edited by a moderator:
Basi wewe huijui Tanga, Je unamkumbuka Sheikh Omari Vikapu?
Huyu alikuwa na shamba lake la minazi basi kuna vjana walikwenda kuiba nazi, shambani kwake. Akatangaza na kuwapa siku saba wezi wajisalimishe la sivyo atasoma hiyo Halal Badri, wezi wakakaidi. Basi Mzee Omari Vikapu akashusha dua ya Halal Badri, kilichotokea ilikuwa ni maafa, wale vijana wote walifariki isipokuwa mmoja alisalimika, punda waliobeba zile nazi waliangamia, minazi iliyotumika kufungwa wale punda ilikauka, vyuma vilivyotumika kufulia zile nazi vilivunjika vipande vipande. aliyesalimika ni kijana mmoja aliyekwenda kujisalimisha kwa huyo mzee na kuomba radhi, lakini aliambiwa ni too late dua ishasomwa. hata hivyo alimshika kichwani na kumuombea dua. alisalimika, lakini alioza pua na mdomo na baada kuhangaika sana akapona lakini alikuwa ameharibika sura kwani sehemu ya pua na mdomo ilikuwa imeondoka na hivyo kuacha kinywa wazi, alikuwa anafunga kigozi ili kuficha meno yasionekane. watu wakawa wanamwita Omari Kigozi na shughuli zake zilikuwa ni pale Soko la Ngamiani. Naamini waliowahi kuishi hapo miaka ya 80, watakuwa wanamkumbuka.

Aliitwa Shariff Kikapu na huyo kijana aliitwa khalfan kigozi ! Yeye aliambiwa atabakia kuwa ushahidi. Wasoma albadir wa sasa wengi ni wezi na hawana karama ! ingawa ni dhambi kubwa kusoma hiyo kwani una hukumu moja kwa moja.
 
African Sports waliwahi kuroga wakapitiliza ! Walifanya kufuru kwa kusoma "yasin" usiku kucha ! Masheikh walichukia sana kwani dua hiyo husomwa kama kuna vita au tishio la maangamizi ya kiasili, wao wakafanya kwa ajili ya mpira ! Ndo maana mpaka leo jamaa hawapandi daraja !
 
Anaitwa Hamisi Mduruma, golkipa wa Coastal Union enzi za kina Omar Zimbwe ! Alikuwa na timu yake mwenyewe na aliupenda mpira haswa, Razak Yusuf aka Careca ni moja ya products zake! Bonge la mtu ! Mungu amrehemu bwana kaka !

Aiyaaaaa, kumbe alikushakufa!
Watu hawakawii kusema alikufa kwa UKIMWI hapa

Mie nilisimuliwa habari zake na mjomba wangu, na nilimjua kwa jina hilo la Bwan Kaka
 
Aliitwa Shariff Kikapu na huyo kijana aliitwa khalfan kigozi ! Yeye aliambiwa atabakia kuwa ushahidi. Wasoma albadir wa sasa wengi ni wezi na hawana karama ! ingawa ni dhambi kubwa kusoma hiyo kwani una hukumu moja kwa moja.

Ni kweli uko sahihi, mie nilisimuliwa na mjomba habari zake, ahsante kwa kunyoosha maelezo, je huyo Khalfan Kigozi yupo hai au kafa?
 
Aliitwa Shariff Kikapu na huyo kijana aliitwa khalfan kigozi ! Yeye aliambiwa atabakia kuwa ushahidi. Wasoma albadir wa sasa wengi ni wezi na hawana karama ! ingawa ni dhambi kubwa kusoma hiyo kwani una hukumu moja kwa moja.

Halafu kulikuwa na gwiji wa NDUMBA mkoani TANGA almaarufu kwa jina la MANDONDO, nasikia alikuwa ni kiboko hasa, Je unazifahamu khabari zake Bwana Ally Kombo?
 
Aiyaaaaa, kumbe alikushakufa!
Watu hawakawii kusema alikufa kwa UKIMWI hapa

Mie nilisimuliwa habari zake na mjomba wangu, na nilimjua kwa jina hilo la Bwan Kaka

Mimi nimemona ! Timu yake ilikuwa inafanya mazoezi shule ya msingi mkwakwani. Alikuwa na timu nzuri sana na wachezaji wake wengi walikuwa wanajiunga na Coastal wakitokea kwake, kama sikosei hata Alli Maumba na Khalid Dodo na Majisu na huyu kocha wa Timu ya Mgambo JKT alipitia kwake ! Hakuwa "Basha" bali alikuwa ni Foreman Bandari ya Tanga, sasa tabia za watu wa Bandarini zinajulikana !
 
Mimi nimemona ! Timu yake ilikuwa inafanya mazoezi shule ya msingi mkwakwani. Alikuwa na timu nzuri sana na wachezaji wake wengi walikuwa wanajiunga na Coastal wakitokea kwake, kama sikosei hata Alli Maumba na Khalid Dodo na Majisu na huyu kocha wa Timu ya Mgambo JKT alipitia kwake ! Hakuwa "Basha" bali alikuwa ni Foreman Bandari ya Tanga, sasa tabia za watu wa Bandarini zinajulikana !

Basi hizo sifa za ubasha atakuwa amekufa nazo kimakosa.
Basi mjomba wangu alikuwa akitusimulia khabari zake huku akimuigiza sauti yake vile anavyooongea kama anabashia vile, hadi raha, maana nilikuwa nacheeeeka mpaka basi
 
Weweee ! Mambo mengine hajaribiwi oooh hoo ! Ukipigwa SHAKIZI, break ya kwanza uko Darfur tena kambi ya wakimbizi na bakuli la uji !

We mwache tu huyo Nyani Ngabu, kuna kitu anakitafuta, hajui kuna magwiji wanafuatilia huu uzi kwa karibu sana, mwambie aangalie hapo chini, atawaona.
 
Last edited by a moderator:
We mwache tu huyo Nyani Ngabu, kuna kitu anakitafuta, hajui kuna magwiji wanafuatilia huu uzi kwa karibu sana, mwambie aangalie hapo chini, atawaona.

Zinduna, kuna ma Zinduna wawili wanafanya kazi PiliPili FM, Mombasa, Kenya. Wananifurahishaga sana. Wana maneno balaa.

Wewe unamjua mchawi yeyote yule?
 
Basi hizo sifa za ubasha atakuwa amekufa nazo kimakosa.
Basi mjomba wangu alikuwa akitusimulia khabari zake huku akimuigiza sauti yake vile anavyooongea kama anabashia vile, hadi raha, maana nilikuwa nacheeeeka mpaka basi

Mie niliishi karibu na timu yake ilipokuwa ikifanya mazoezi, pia nimesoma mkwakwani na Baba yangu alikuwa mpezi wa Coast, hivyo sikuwa nakosa game za Copast. Nilikuwa nikihudhuria mazoezi ya Timu yake, ni mtu aliyependa mpira sana na pia kurecruite young players tena kwa gharama zake ! Hakuwa mlevi wala mla mirungi. Yeye ni mpira tu. Mambo mengine ilikuwa ni uhuni wa bandarini na aliwafanyia wahuni wenziwe. Aliheshimu sana vijana wake, hata mie nilimshudia kuwa ni mtu poa tu !
 
Back
Top Bottom