ahahahahhaaa!?!?Tanga,tanga!! inaitwa Tanga na Tangata bwana,Tanga ya sasa sio ile ya mwaka 47,hadi vibibi vizee sasa vimebanwa vinafanya ukahaba,ila dadangu Zinduna wewe nashindwa kukupata kuna siku uliwahi kunitishia kunisomea ahl badr dah!!,nakumbuka tanga ilikuwa tanga enzi hizo miaka ya 80 na 90 siyyo sasa nakumbuka enzi hizo majestik sinema na mapicha ya kihindi duh!!enzi hizo coasstal union na affrican sports kina mwameja,razaq carecca na kina juma mgaza na juma mgunda tanga ilikuwa noma.mi niikuwa na kaa karibu na hapo uwanja wa gym khana enzi hizo huo mtaa wa shule ya bombo basi nakumbuka kuna dada mmoja jilani etu alikuwa form 2 alipita asubuhi anawahi shule njia a makaburini ya shule ya msingi bombo asubuhi peke ake si akakanyaga jini bwana alilotegeshewa mwingine likamwingia likadai binti awe mganga mara atake kaniki mara pete mara kile liliwasumbua...,nakumbuka ukitaka kwenda kota za NASACO kuna ukuta pale uko wazi basi ikifika killa saa 8 usiku ukipita hapo lazima watu waliobeba mienge wawatimue mbio!!!ni kweli haya jamani,nakumbuka enzi hizo tukienda beach karibu na mkonge hotel dah si majini hayo jamani yapo kama watu ukiwatongoza tu utakoma labda wakukubali wenyewe,kwa vihoja tanga utapapenda yaani vinatisha mbaka basi,ukioa binti wa kitanga so siri hata kama utamwona mstaarabu na alietulia kiasi gani ujiandae kutengenezwa!!nakumbuka enzi hizo wa2 wanatngoza majini tanga bila kujijua ila kwa sisi tuliokulia pale mjni tulikuwa tuna hafadhali kidogo kucompare na waliokuwa wakiishi mbali na town,nakumbuka mbabe wa Tanga enzi hizo alikuwa anaitwa Pama alikuwa mwizi balaa halafu alikuwa mwembamba ila nguvu sijui alikuwa anazitolea wapi mana alikuwa anapiga,nusura anipore baiskeli angu aina a shangshang enzi hizo sifa ake alikuwa akikupiga kibao lazima upoteze fahamu!!maneno a chumba geni hayo baba si majini hayo huko yaani kunatisha si mchezo,ndio mana mi hata sasa nkirudi tanga hata nikitaka kuchukua malaya usiku huwa nipo makini nao sana.