Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
ngoja kwanza nikupe stori ya kweli kwenye shughuli za watu.
mie naish uswaz nusu sasa huku shughuli ni almost kila wiki. kuna katabia kale ka watu kusoma dua kwenye menu ya sherehe like wengi wanaopenda mambo ya ushirikina wanatafuta mganga wa vitabu anasoma dua kwenye vyakula kabla havija pikwa na kuandika dua nyingine kwenye maji.
sasa bana hata kama ni watu mia mbili ukapika kg 20 zinaenea kabisa manake mtu akipewa upawa mmoja tu hawez kula tena yaani vinakinaisha usipime halafu unaviona vitam mno. kumbe vimesomewa ma dua ya kiganga nyie mnakinai mnapokula.
binafsi huwa kula kwenye shughuli ni kitu cha mwisho kwangu.
Mkuu hiyo inatumika dua aliyofanya Bwana Yesu pale alipomaliza kuhubiri na makutano wamejaa na wana njaa ! Akauliza kuna chakula gani ? Akaambiwa kuna kipande cha samaki na mkate. Akavichukua, akaomba, kisha akaanza kuwagaiya makutano, walikula hadi na kusaza ! Ni hivyo tu hapo hamna uchawi ni duwa tu !